Pre GE2025 Chadema yapigilia msumari masharti ya kushiriki kwao, wakisisitiza 'No reform, no election'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Akifika kwenye kujadili muungano naomba mnijuze..
 
wana shida sana tena sana, lakini bado ni class ile ile ya Lumpen proletariat! They resist changes as long as wanapata bamia na mlenda wanakula na jioni wanapata K kwa wake zao...all is over!
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€we jamaa
 
sidhani........ yafute matumaini hayo....tafuta njia sahihi za kuzuia uchaguzi na si watanzania waoga kama tulivyo wewe na mimi......
Mkuu mi nadhani kwa maoni yangu na mtazamo ninavyouona, mbinu pekee ambayo Chadema wanaweza kuzuia uchaguzi ni kutengeneza "unrest" situation. Napata mashaka hayo baada ya kuanza kuona tuvikundi kundi kama hawa vijana wanaoibuka hivi sasa wa NATO sijui. Maana narejea hali kama hii kipindi cha JK mara usikie sijui CWT wana hili mara kule kuna hili.
Lakini kwa yote hayo binafsi siyaungi mkono. Chadema ingeshiriki uchaguzi na kutumia namna zote kulinda kura. No Reform No Election I don't think if it will work out.

TANZANIA KWANZA!
MAJADILIANO NDIO SULUHU
MUNGU TUSAIDIE..
 
Watanzania wazalendo kwa nchi yao wanajiuliza kwa jinsi jua lilivyokali mwaka huu hivi ingekuwaje mgao wa umeme kama Hayati Magufuli asingejenga bwawa la umeme la mwl Nyerere?.
Ni majenereta mangapi yangeingizwa? Zingezaliwa Richmond ngapi?
Mwaka huu mvua ni chache nchi nzima na jua linatandika kwelikweli kiasi kwamba wakulima wamekosa mazao yao kwa kukauka shambani, lakini bado mafisadi yanaona aibu kutangaza mgao wa umeme kwa sababu wanaogopa watawaambia nini Watanzania kwa sababu wanajua bwawa lao la umeme walilojengewa na Rais wa wanyonge limekamilika na linauwezo wa kutoa megawati 2115.
Mafisadi kwa vikao vyao yanajiuliza sasa tutakula wapi? Na yanapofikia hiyo hatua humlaani Hayati Magufuli kwa kuanzisha ujenzi wa bwawa hilo na yakimaliza yanamlaani pia Rais Samia kwa kukubali kumalizia miradi yote iliyoachwa na Magufuli ikiwemo hilo bwawa la umeme.
Matarajio ya mafisadi ilikuwa ni kwamba pale tu Magufuli alipofariki na ujenzi wa bwawa ungeishia hapo.
 
1. CCM will never heed to majadiliano. Forget about that, CCM acknowledging "defeat" in the sense that, to them, accepting free and fair elections is a defeat jeopardizing their grip of power!
2. Unrest situation will be met by police fierce brutality! This is the obvious!
3. NATO and the like ...a big question: are they ready to sacrifice Life?
4. Only M23 can make sense as Shisekedi is calling for serikli ya umoja wa kitaifa..coalition government!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…