NEUROANATOMIST
Senior Member
- Jul 10, 2022
- 134
- 239
WEWE MREMBO NDIO MAANA HUOLEWI.KUMBE NA WEWE NI CHAWA WA CCM?Nani avae sare zenye nuksi, zenye laana damu zawatu yaani kama lema anadai nipo kwa ajili ya wananchi wanafungwa wote halafu yeye anatolewa na chama na wanawaacha wafuasi wao ndani .
Kimya , nani ashangilie chama ambacho viongozi wanafungwa fungwa hovyoo huo ni uchuro uchivu bora ubaki njia kuu penda usipende
Toa nuksizako hatuolewi umeona nalala mwenyewe?WEWE MREMBO NDIO MAANA HUOLEWI.KUMBE NA WEWE NI CHAWA WA CCM?
MATANGAZO YA KUTAFUTA MUME YA NINI? NUKSI UNZAITAFUTA MWENYEWE .Toa nuksizako hatuolewi umeona nalala mwenyewe?
Wewe ni kimaMimi siandiki hapa kwa malipo Bali natumia Uhuru wangu kutoa maoni yangu
machawa wenzako wanapiga uchawa wao kwenye mikutano ya ccm hadharani wanaonekana na wanapata ulaji. wewe unapiga uchawa jf kwa ID fake?...narudia tena hauko sawa kichwani.Kwani nani kakwambia kuwa Tanzania Ni kisiwa? Hufahamu hata sheria au baadhi ya vitu huwa tunabeba kutoka kwa wenzetu pale tunapoona vinaweza kuleta manufaa na faida kwa Taifa letu? Au unafikiri Taifa letu lipo katika sayari yake ya kujitegemea?
Naoona akili na mawazo yako yapo katika ulaji ndio maana hata huko chamani kwenu chadema Akili zenu zipo katika kutafuna michango na kila Senti iingiayo chamani, Kama mlivyo fanya hivi majuzi kwenye hela za join the chain ambazo mpaka Sasa Hakuna anayejuwa mlipata kiasi gani kwenye Ile mifuko mliyokuwa mnakusanyiamachawa wenzako wanapiga uchawa wao kwenye mikutano ya ccm hadharani wanaonekana na wanapata ulaji. wewe unapiga uchawa jf kwa ID fake?...narudia tena hauko sawa kichwani.
Yote heri tuWewe ni kima
Naona akili yako unawaza uteuzi tu, kwani Kuna mahali nimeandika habari za uteuzi hapoUmeamua nakuandika jina lako kabisa ili upate uteuzi.TANZANIA hatuwezi kuendelea kwa style hii ya kujikomba na unafiki.
wewe ni mpumbavu tu usiyejua hata mwenendo wa siasa za tz kwa sasa. Upumbavu wa kutukana vyama vya siasa mitandaoni ulishaisha, zama hizo hazipo tena. kila mtu is looking ahead to reconcilliation na namna bora ya kuendesha siasa tz, acha ujuha, show how educated you are.Naoona akili na mawazo yako yapo katika ulaji ndio maana hata huko chamani kwenu chadema Akili zenu zipo katika kutafuna michango na kila Senti iingiayo chamani, Kama mlivyo fanya hivi majuzi kwenye hela za join the chain ambazo mpaka Sasa Hakuna anayejuwa mlipata kiasi gani kwenye Ile mifuko mliyokuwa mnakusanyia
Kusema mnatafuna Sana hela za chama siyo matusi Bali Ni ukweli usiyohitaji maridhiano zaidi ya uwajibikaji kwa wale wote mchwa waliotafuna pesa za chama, Embu niambie unajuwa pesa za join the chain Ni kiss gani kilipatikana? Unajuwa ziliko?wewe ni mpumbavu tu usiyejua hata mwenendo wa siasa za tz kwa sasa. Upumbavu wa kutukana vyama vya siasa mitandaoni ulishaisha, zama hizo hazipo tena. kila mtu is looking ahed to reconcilliation.
hiyo ni ngojera ya wapumbavu wasio na akili kama wewe iliyopitwa na wakati. kama wanatafuna hela ya chama chao chama chako kinatafuna hela ya nani? na wewe unatafuna hela ya nani kama si yako au wewe ni shoga unatafuna hela ya wanaume wenzako?..... acha ujuha wewe, onyesha usomi wako. una hoja za kimalaya sana.Kusema mnatafuna Sana hela za chama siyo matusi Bali Ni ukweli usiyohitaji maridhiano zaidi ya uwajibikaji kwa wale wote mchwa waliotafuna pesa za chama, Embu niambie unajuwa pesa za join the chain Ni kiss gani kilipatikana? Unajuwa ziliko?
Ijue historia ya watu wewe zuzu, Dr Slaa alirudi nyumbani. Alidandia tu Chadema baada ya kutemwa kugombea ubunge kupitia CCM ndipo akakimbilia Chadema.Kwani wewe hukuona mpasuko uliotokana na Dr slaa kuondoka?
Kweli wewe bonge la zuzu, Mzee Mwanakijiji hakuwahi kuwa mwana Chadema, ni CCM miaka yote.Hukuona watu Kama mzee mwanakijiji waliamua kuitupa mkono Chadema?
Chadema ilikuwa kimbilio kwa Lowassa mwaka 2015 kama ilivyokuwa kimbilio kwa Dr. Slaa mwaka 1995.Lakini Leo haina nguvu hiyo kutokana na kuwa 2015 waliamua kuwabeba na kuwanadi wote waliowaita mafisadi
Hakuna Mtanzania mwenye akili anayewapuuza Chadema. Wajinga hawana nafasi ndani ya Chadema kwani ujinga ni mtaji mkubwa sana CCM.na hivyo kuwakatisha Tamaa watanzania ambao wakaamua kuwapuuza chadema mpaka leo
Ninyi ndio hamjitambui maana chama chenu hakina uwezo wa kuandaa mgombea ndio maana yoyote ajaye kwenu anapewa nafasi ya moja kwa moja kugombea Urais kwa kuwa nyie huko hamna watu wa kuweza kugombea, uchaguzi ujao pia tutawapa ili msikose mgombeaIjue historia ya watu wewe zuzu, Dr Slaa alirudi nyumbani. Alidandia tu Chadema baada ya kutemwa kugombea ubunge kupitia CCM ndipo akakimbilia Chadema.
Kweli wewe bonge la zuzu, Mzee Mwanakijiji hakuwahi kuwa mwana Chadema, ni CCM miaka yote.
Chadema ilikuwa kimbilio kwa Lowassa mwaka 2015 kama ilivyokuwa kimbilio kwa Dr. Slaa mwaka 1995.
Hakuna Mtanzania mwenye akili anayewapuuza Chadema. Wajinga hawana nafasi ndani ya Chadema kwani ujinga ni mtaji mkubwa sana CCM.
Serikali ya CCM inaiogopa CHadema kama ukoma. Angalia serikali ya CCM inavyohangaika kuwanyamazisha Chadema wasisikike kwa wananchi!
Tunataka hesabu za hela mlizokuja kuwachangisha watanzania wanyonge mitaani na siyo kuleta matusi hapa, laana ya wanyonge mliyo wachangisha na kutafuna kwa kunywea mapombe haitaawacha salaama Kama msipotubu hadharanihiyo ni ngojera ya wapumbavu wasio na akili kama wewe iliyopitwa na wakati. kama wanatafuna hela ya chama chao chama chako kinatafuna hela ya nani? na wewe unatafuna hela ya nani kama si yako au wewe ni shoga unatafuna hela ya wanaume wenzako?..... acha ujuha wewe, onyesha usomi wako. una hoja za kimalaya sana.
kwani mbowe yupo wapi? mbona yupo kimya kalambishwa?
Wamepandishiwa kiwango siku hizi wanalipwa 8,500Hivi utaratibu wa buku saba unaendelea pale Lumumba?
Tunataka hesabu za hela mlizokuja kuwachangisha watanzania wanyonge mitaani na siyo kuleta matusi hapa, laana ya wanyonge mliyo wachangisha na kutafuna kwa kunywea mapombe haitaawacha salaama Kama msipotubu hadharani
Unaona ulivyo mjinga. Kwanza mimi si Chadema, mimi ni adui wa wajinga CCM. Pili vipi wana Chadema wanaokimbilia CCM na kupewa nafasi ya kugombea au hata kuteuliwa kuwa viongozi? Lucas mwashambwa, unahangaika na dunia na ili iweje?Ninyi ndio hamjitambui maana chama chenu hakina uwezo wa kuandaa mgombea ndio maana yoyote ajaye kwenu anapewa nafasi ya moja kwa moja kugombea Urais kwa kuwa nyie huko hamna watu wa kuweza kugombea, uchaguzi ujao pia tutawapa ili msikose mgombea