CHADEMA yapoteza ushawishi mitaani. Sare zake hazivaliki

CHADEMA yapoteza ushawishi mitaani. Sare zake hazivaliki

Kawadanganye wajinga huko bush.
Huku bushi kulikojaa wakulima huwaambii kitu wakulima hasa baada ya mama kufanya kazi kubwa ya kutusaidia wakulima kwenye suala la mbolea baada ya kutoa Ruzuku ya mabillioni na kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni, huku soko likipatikana kwa uhakika na kwa Bei nzuri kabisa
 
Huku bushi kulikojaa wakulima huwaambii kitu wakulima hasa baada ya mama kufanya kazi kubwa ya kutusaidia wakulima kwenye suala la mbolea baada ya kutoa Ruzuku ya mabillioni na kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni, huku soko likipatikana kwa uhakika na kwa Bei nzuri kabisa
Huko vijijini huwa wanapambana wenyewe bila kutegemea serikali, sana sana serikali ndio huwa inawawekea kauzibe. Wanaofaidika na serikali ni viongozi, na familia+ndugu zao. Hao wananchi mnawatumia tu maana hawana uwezo wa kuhoji lolote, zaidi ya kutii inachotaka serikali.
 
Kwani wewe hukuona mpasuko uliotokana na Dr slaa kuondoka? Hukuona hata John Mnyika alivyobakigi chamani Kama kimvuli tu? Hukuona watu Kama mzee mwanakijiji waliamua kuitupa mkono Chadema? Huoni Hadi leo chadema siyo Ile ya 2010-2015? Huoni Hadi leo chadema ilishapoteza ajenda yake iliyoitambulisha kwa watanzania na kuipa umaarufu kutokana na kupinga ufisadi na kuibua ufisadi? Lakini Leo haina nguvu hiyo kutokana na kuwa 2015 waliamua kuwabeba na kuwanadi wote waliowaita mafisadi na hivyo kuwakatisha Tamaa watanzania ambao wakaamua kuwapuuza chadema mpaka leo
Mpaka sasa naamini Chadema haijapasuka kwa sababu hakuna chama kilichoundwa kutokana na chadema Ila Kuna watu wachache wameondoka chadema kutokana na kutoelewana katika baadhi ya mambo.


Mnyika kubaki kama kivuli ndani ya chadema nadhani hayo ni maoni Yako kwa sababu wewe sio mwanachama wa chadema au miongozo ambae unaweza kutuambia kwamba amebaki kama kivuli na hatimizi majikumu yake ipasavyo. Kuondoka kwa wanachama ni Jambo la kawaida kama walivyoondoka kina membe ccm na wengine wengi!

Naomba sasa nijibu hoja hizi:
-Ni lini kumetokea malalamiko Rasmi ya ubadhirifu wa fedha za chadema ambapo wa kuthibitisha Hilo ni CAG, na namna Gani ubadhirifu huo umechangia katika kudhoofisha chama.
-Ni lini ambapo BOT TRA na mammlaka nyingine ziliwahi kuisajili CHADEMA kuwa chama Cha kuweka na kukopa na wanachama wake wanaweka na kukopa kwa utaratibu Gani?
-kuhusu kitu kuwakuta wanaogombea nafasi ndani ya chama, utueleze ni lini Msajili wa vyama vya siasa alishawahi kukichulia hatua chama hicho kwa kukiuka misingi ya demokrasia ya nchi, ya chama na kanuni za uendeshaji wa vyama vya siasa pamoja na sheria zake!
-mwalimu alikaa madarakani miaka 27 na aliendelea kuwa mwenyekiti wa chama kwa miaka mitano baadae! (32) mfumo hii ccm iliona unafaa kwa sababu Rais akiwa mwenyekiti wa Chama ni rahisi matakwa na matarajio ya chama kufikiwa na hata Rais akikosea chama hakiwezi kumwajibisha. Kwahiyo uchaguzi wa nchi unaenda sanjari na uchaguzi wa chama!
Hii umeifanya ccm kudanganya umma kwamba IPO demokrasia wakichagiza na kupokezana vijiti kwa mwenyekiti wakati sio Kweli! Chama kinachofanya ni kupitisha jina la mwenyekiti na sio kuchagua mwenyekiti,.

Umeinagalia chadema sana sasa tuambie hapa bila kupepesa maandishi
Mrema Amekua mwenyekiti wa chama kwa muda Gani
Shibuda, Mbatia? Na wengine kama Rungwe?
 
Huko vijijini huwa wanapambana wenyewe bila kutegemea serikali, sana sana serikali ndio huwa inawawekea kauzibe. Wanaofaidika na serikali ni viongozi, na familia+ndugu zao. Hao wananchi mnawatumia tu maana hawana uwezo wa kuhoji lolote, zaidi ya kutii inachotaka serikali.
Kwa hiyo unafikiri unaweza ukabeba mzigo uliomshinda punda hata Kama utapambana? Unazani wakulima wangelima kilimo kikubwa Kama siyo juhudi za serikali ya mama Samia kutoa Ruzuku na kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni? Vipi kuhusu masoko ya nafaka? Au unafikiri ni kupambana tu bila mchango wa serikali?
 
Huko vijijini huwa wanapambana wenyewe bila kutegemea serikali, sana sana serikali ndio huwa inawawekea kauzibe. Wanaofaidika na serikali ni viongozi, na familia+ndugu zao. Hao wananchi mnawatumia tu maana hawana uwezo wa kuhoji lolote, zaidi ya kutii inachotaka serikali.
Ndio maana wanaambiwa wamshukuru raisi kwa kutoa hela na kuwaletea maji! Na sio serikali iliyotokana na wao, imewajibika na kutimiza wajibu wake!
 
Hao watanzania wanaozungumziwa humu ni wepi? mana uzuri hii post nimesoma nikiwa somewhere na watu nikajaribu kutembeza simu yangu wasome kilichoandikwa, nasikitika kwa majibu yalotoka kwa kila mmoja alosoma hakuna uhalisia wa ulichokiandika hata kwa mmoja wa bahati mbaya. Swali langu linarudi je hao watanzania unaodai ni wepi mana ningejibu mimi kama mimi pengine ungesema sitoshi, la pili embu fatilia hata comment za humu tu utapata jibu.
 
Kwa hiyo unafikiri unaweza ukabeba mzigo uliomshinda punda hata Kama utapambana? Unazani wakulima wangelima kilimo kikubwa Kama siyo juhudi za serikali ya mama Samia kutoa Ruzuku na kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni? Vipi kuhusu masoko ya nafaka? Au unafikiri ni kupambana tu bila mchango wa serikali?
Unazani= unadhani, hii inatia mashaka kiwango chako Cha elimu na uwezo wako wa kutafiti na kujenga hoja shawishi.
 
Kwa hiyo unafikiri unaweza ukabeba mzigo uliomshinda punda hata Kama utapambana? Unazani wakulima wangelima kilimo kikubwa Kama siyo juhudi za serikali ya mama Samia kutoa Ruzuku na kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni? Vipi kuhusu masoko ya nafaka? Au unafikiri ni kupambana tu bila mchango wa serikali?
Kweli kabisa,chadema ndiyo wametuletea ukame &shida ya maji

Ova
 
Halafu Mwashambwa uwe angalau unafanya kautafiti kwa kutumia hata dodoso na kuacha kuandika propaganda gt wanakushangaa sana. Mama anatoa hela zake wapi!
Huku bushi kulikojaa wakulima huwaambii kitu wakulima hasa baada ya mama kufanya kazi kubwa ya kutusaidia wakulima kwenye suala la mbolea baada ya kutoa Ruzuku ya mabillioni na kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni, huku soko likipatikana kwa uhakika na kwa Bei nzuri kabisa
 
Mpaka sasa naamini Chadema haijapasuka kwa sababu hakuna chama kilichoundwa kutokana na chadema Ila Kuna watu wachache wameondoka chadema kutokana na kutoelewana katika baadhi ya mambo.


Mnyika kubaki kama kivuli ndani ya chadema nadhani hayo ni maoni Yako kwa sababu wewe sio mwanachama wa chadema au miongozo ambae unaweza kutuambia kwamba amebaki kama kivuli na hatimizi majikumu yake ipasavyo. Kuondoka kwa wanachama ni Jambo la kawaida kama walivyoondoka kina membe ccm na wengine wengi!

Naomba sasa nijibu hoja hizi:
-Ni lini kumetokea malalamiko Rasmi ya ubadhirifu wa fedha za chadema ambapo wa kuthibitisha Hilo ni CAG, na namna Gani ubadhirifu huo umechangia katika kudhoofisha chama.
-Ni lini ambapo BOT TRA na mammlaka nyingine ziliwahi kuisajili CHADEMA kuwa chama Cha kuweka na kukopa na wanachama wake wanaweka na kukopa kwa utaratibu Gani?
-kuhusu kitu kuwakuta wanaogombea nafasi ndani ya chama, utueleze ni lini Msajili wa vyama vya siasa alishawahi kukichulia hatua chama hicho kwa kukiuka misingi ya demokrasia ya nchi, ya chama na kanuni za uendeshaji wa vyama vya siasa pamoja na sheria zake!
-mwalimu alikaa madarakani miaka 27 na aliendelea kuwa mwenyekiti wa chama kwa miaka mitano baadae! (32) mfumo hii ccm iliona unafaa kwa sababu Rais akiwa mwenyekiti wa Chama ni rahisi matakwa na matarajio ya chama kufikiwa na hata Rais akikosea chama hakiwezi kumwajibisha. Kwahiyo uchaguzi wa nchi unaenda sanjari na uchaguzi wa chama!
Hii umeifanya ccm kudanganya umma kwamba IPO demokrasia wakichagiza na kupokezana vijiti kwa mwenyekiti wakati sio Kweli! Chama kinachofanya ni kupitisha jina la mwenyekiti na sio kuchagua mwenyekiti,.

Umeinagalia chadema sana sasa tuambie hapa bila kupepesa maandishi
Mrema Amekua mwenyekiti wa chama kwa muda Gani
Shibuda, Mbatia? Na wengine kama Rungwe?
Kwa hiyo mnataka Mwenyekiti wenu akae muda mrefu Kama mrema? Unasema hakuna chama kilichoundwa kutokana na mpasuko ndani ya Chadema ,hapa bila Shaka umeingia juzi chadema, Hivi ACT wazalendo unafikiri chimbuko lake Ni lipi? Unaowafahamu walio ianzisha ACT wazalendo? Au hujuwi akina zito,mwigamba,kitila walikuwa chadema? Hujuwi Hawa walikijenga Sana chadema na kukipa sifa?
 
Kawadanganye wajinga huko bush.
Atuambie ni chama Gani kimejitolea kuwafumikia watanzania matajiri wasio wanyonge! Chama kipi kimetengeneza Tabaka la watanzania maskini na matajiri au wanyonge na matajiri?
Hii inathibitisha kwamba ninyi ni mabibgwa wa kutengeneza matatizo na kutatafutia suluhu Ili waonekane wema na wanaojali
Atutajia kiongozi yoyote wa ccm awe mbunge au waziri ambaye ni mnyonge! (Mwenye shida hamjui mwenye njaa)
Ndio maana madelu alisema kama tozo ni nyingi tuhamie Burundi, tulipolalamika sana akaja akadanganya umma kuwa zimefutwa kupunguzwa na kuondolewa (pathetic)
 
Halafu Mwashambwa uwe angalau unafanya kautafiti kwa kutumia hata dodoso na kuacha kuandika propaganda gt wanakushangaa sana. Mama anatoa hela zake wapi!
Kwani Nani anaongozwa serikali hii? Unazani Rais asipochukua hatua za kimakusudi na kidharula mambo yanaweza kwenda? Unayajuwa majukumu ya Rais kikatiba na kisheria? Unajuwa nguvu ya Rais wewe? Kwani Kuna mahali katika katiba Kuna masuala ya Ruzuku? Huoni hayo Ni maamuzi ya kizalendo kuwasaidia wananchi,
 
Kwa hiyo mnataka Mwenyekiti wenu akae muda mrefu Kama mrema? Unasema hakuna chama kilichoundwa kutokana na mpasuko ndani ya Chadema ,hapa bila Shaka umeingia juzi chadema, Hivi ACT wazalendo unafikiri chimbuko lake Ni lipi? Unaowafahamu walio ianzisha ACT wazalendo? Au hujuwi akina zito,mwigamba,kitila walikuwa chadema? Hujuwi Hawa walikijenga Sana chadema na kukipa sifa?
Huu ndio umbumbu wako sasa katika siasa ndugu mshamba!
Baada ya Zito kuondoka Chadema na kuanzisha ACT hakupata kuungwa mkono na watu kutoka ndani ya chadema kama unavyotaka kuaminisha watu!
ACT imepata umaarufu kwa kuvuna migogoro wa CUF baina ya Lipumba na Maalim SEIF (rip) ambayo hutaki kuizungumzia Wala kuiandikia sababu unaijua nafasi ya Msajili, dola na marehemu katika kuihujumu CUF kupitia bwana Lipumba. Kule Zanzibar ofisi zote za CUF zilipakwa Rangi za act kwa ushahidi nitajie ofisi Moja ya Chadema iliyopakwa rangi ya ACT
 
Atuambie ni chama Gani kimejitolea kuwafumikia watanzania matajiri wasio wanyonge! Chama kipi kimetengeneza Tabala la watanzania maskini na matajiri au wanyonge na matajiri?
Hii inathibitisha kwamba ninyi ni mabibgwa wa kutengeneza matatizo na kutatafutia suluhu Ili waonekane wema na wanaojali
Atutajia kiongozi yoyote wa ccm awe mbunge au waziri ambaye ni mnyonge! (Mwenye shida hamjui mwenye njaa)
Ndio maana madelu alisema kama tozo ni nyingi tuhamie Burundi, tulipolalamika sana akaja akadanganya umma kuwa zimefutwa kupunguzwa na kuondolewa (pathetic)
Serikali yoyote Ile duniani lazima ifanye juhudi za makusudi kuhakikisha kuwa kundi nyonge linakuwa la kwanza kuguswa katika mipango yote ya kimaendeleo inayofanyika maana ndio kundi linalohitaji kupewa kipaombele ya kisera na kisheria ili kuwawezesha kukua kiuchumi, huku lile la juu likiwekewa mazingira mazuri ya kuhakikisha linaendelea kutoa mchango wake kwa jamii kupitia ulipaji wa Kodi na utoaji wa ajira kwa vijana,kazi hii ndio imekuwa ikifanywa na serikali ya CCM na ndio sababu ya Kuendelea kuaminika na kuungwa mkono na watanzania wote
 
Kwa hiyo unafikiri unaweza ukabeba mzigo uliomshinda punda hata Kama utapambana? Unazani wakulima wangelima kilimo kikubwa Kama siyo juhudi za serikali ya mama Samia kutoa Ruzuku na kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni? Vipi kuhusu masoko ya nafaka? Au unafikiri ni kupambana tu bila mchango wa serikali?

Hao wakulima wameenza kulima mama Samia alipokuwa rais? Chawa mbona una mawazo mafupi sana!
 
Huu ndio umbumbu wako sasa katika siasa ndugu mshamba!
Baada ya Zito kuondoka Chadema na kuanzisha ACT hakupata kuungwa mkono na watu kutoka ndani ya chadema kama unavyotaka kuaminisha watu!
ACT imepata umaarufu kwa kuvuna migogoro wa CUF baina ya Lipumba na Maalim SEIF (rip) ambayo hutaki kuizungumzia Wala kuiandikia sababu unaijua nafasi ya Msajili, dola na marehemu katika kuihujumu CUF kupitia bwana Lipumba. Kule Zanzibar ofisi zote za CUF zilipakwa Rangi za act kwa ushahidi nitajie ofisi Moja ya Chadema iliyopakwa rangi ya ACT
Sasa hapi ndio umeonyesha upeo kuwa hafifu, Sasa Kama ACT isingekuwapo so akina maalumu self wangekuja chadema ambako ndiko wangewakuta akina zito Dr slaa kitila mkumbo,mashinji kafulila mwampamba Shonza na wengine wengi? Au wewe unaangalia mahali ulipodondokea na siyo ulipojikwaa? Hauangalii mwiba ulipoingilia unaangalia palipovimba?
 
Kwani Nani anaongozwa serikali hii? Unazani Rais asipochukua hatua za kimakusudi na kidharula mambo yanaweza kwenda? Unayajuwa majukumu ya Rais kikatiba na kisheria? Unajuwa nguvu ya Rais wewe? Kwani Kuna mahali katika katiba Kuna masuala ya Ruzuku? Huoni hayo Ni maamuzi ya kizalendo kuwasaidia wananchi,
JF ni GT platform wlewa tena.
Hizo sio fedha zake swala la Ruzuku katika pembejeo na mambo mengine yapo kisheria na katiba ndio sheria mama.
Serikali ainapopitisha bajeti hutunga pia sheria ya utekelezaji wa bajeti husika ambapo pamoja na mambo mengine ruzuku katika baadhi ya sekta huwekwa.
Fedha hukusanbywa kwa mujibu wa sheria na hutumiwa kwa mujibu wa sheria kwa wakati husika na kwa kuzingatia kanuni za utekelezaji wa sheria husika!

Rais Hana hela zake mfukoni Bali ni msimamizi wa hazina kuu ya serikali,
Ndio mana CAG hufanya ukaguzi na kutoa hati iwe chafu iwe mbaya!
Linapokuja swala la dharura bunge hujadili na kutoa maelekezo kwa serikali kama ilivyofanyika kwenye mafuta!
Kama ni maafa upo mfuko ofisi ya waziri mkuu!

Punguza ujinga unanitishia kutokujua mammlaka ya Rais, yule jamaa aliyatumia vibaya akatangulia!
 
Sasa hapi ndio umeonyesha upeo kuwa hafifu, Sasa Kama ACT isingekuwapo so akina maalumu self wangekuja chadema ambako ndiko wangewakuta akina zito Dr slaa kitila mkumbo,mashinji kafulila mwampamba Shonza na wengine wengi? Au wewe unaangalia mahali ulipodondokea na siyo ulipojikwaa? Hauangalii mwiba ulipoingilia unaangalia palipovimba?
Jibu hoja na usiulize maswali yasiyokua na majibu ambayo hata wewe huwezi kuyajibu maana ni ya kufikirika -nge- ni nadharia tunaangalia kilichopo sasa! Chama kilichofanyika baada ya migogoro ndani ya chadema hakipo. Chama kilichopo kutokana na mgogoro ndani ya CUF ni ACT, Chama kilichofanyika kutokana na kuvuta ndani ya CCM ni CCK
 
JF ni GT platform wlewa tena.
Hizo sio fedha zake swala la Ruzuku katika pembejeo na mambo mengine yapo kisheria na katiba ndio sheria mama.
Serikali ainapopitisha bajeti hutunga pia sheria ya utekelezaji wa bajeti husika ambapo pamoja na mambo mengine ruzuku katika baadhi ya sekta huwekwa.
Fedha hukusanbywa kwa mujibu wa sheria na hutumiwa kwa mujibu wa sheria kwa wakati husika na kwa kuzingatia kanuni za utekelezaji wa sheria husika!

Rais Hana hela zake mfukoni Bali ni msimamizi wa hazina kuu ya serikali,
Ndio mana CAG hufanya ukaguzi na kutoa hati iwe chafu iwe mbaya!
Linapokuja swala la dharura bunge hujadili na kutoa maelekezo kwa serikali kama ilivyofanyika kwenye mafuta!
Kama ni maafa upo mfuko ofisi ya waziri mkuu!

Punguza ujinga unanitishia kutokujua mammlaka ya Rais, yule jamaa aliyatumia vibaya akatangulia!
Kwani unafikiri Kama Rais asipokuwa na weledi na umakini katika usimamaizi wa fedha za umma unaweza kuona miradi ikisimama na kukamilika? Mama yetu mpendwa mama Samia tunampongeza kwa usimamaizi mzuri wa fedha zetu watanzania
 
Back
Top Bottom