Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #121
Hainizuii kuandika habari za chadema maana wametafuna Sana Kodi zetu walizokuwa wanapokea Kama ruzukuYa ngoswe muachie ngoswe..wewe komaa na ccm yako bro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hainizuii kuandika habari za chadema maana wametafuna Sana Kodi zetu walizokuwa wanapokea Kama ruzukuYa ngoswe muachie ngoswe..wewe komaa na ccm yako bro
Kama una uchungu sana na kodi kazae..lakini pia unaweza kufungua kesi mahamakani kama ushahidi unao......kubwata na kuandika utumbo mitandaoni haikusaidii chochote zaidi ya kujipa maumivu ya moyoHainizuii kuandika habari za chadema maana wametafuna Sana Kodi zetu walizokuwa wanapokea Kama ruzuku
Haya ndio matamanio ya kila mwanaccm, na CDM wakilianzisha utasikia CCM wanaanza kulialia na matumizi ya vyombo vya dola yanarejea rasmi. CCM sio chama cha kizazi hiki, hata ifanye nini ni rahisi kuzidiwa pindi ushindani ukianza.Hata mikutano ya hadhara ikianza bado Chadema Haina ushawishi wowote ule kwa sasa
Utapeli wenu huo ndio umepelekea wananchi wawapuuze kwa kila kituKama una uchungu sana na kodi kazae..lakini pia unaweza kufungua kesi mahamakani kama ushahidi unao......kubwata na kuandika utumbo mitandaoni haikusaidii chochote zaidi ya kujipa maumivu ya moyo
Hakuna chama Cha kuisumbuaa CCM nchi hii maana vyama vyote vimejikatia tamaa na kuandamwa na migogoro isiyo Keisha kutokana na ubadhirifu wa viongozi ndani ya vyama vya upinzani inayofanywa na viongozi wanaovitumia vyama Kama Saccos zao au miradi yao binafsiHaya ndio matamanio ya kila mwanaccm, na CDM wakilianzisha utasikia CCM wanaanza kulialia na matumizi ya vyombo vya dola yanarejea rasmi. CCM sio chama cha kizazi hiki, hata ifanye nini ni rahisi kuzidiwa pindi ushindani ukianza.
Hao Chadema Lini wamefanya siasa za hadhara ili kupokea wanachama wapya!?Uungwaji mkono wa CCm kutoka kwa vijana Ni mkubwa Sana kuanzia kuongezeka kwa wanachama wanao chukua kadi za CCM katika ofisi za chama na hamasa ya vijana Katika chaguzi za ndani ya chama
Kwakua Uzi WAKO umelenga Chadema ni vyema utueleze hapa sisi tusiojua:Hakuna chama Cha kuisumbuaa CCM nchi hii maana vyama vyote vimejikatia tamaa na kuandamwa na migogoro isiyo Keisha kutokana na ubadhirifu wa viongozi ndani ya vyama vya upinzani inayofanywa na viongozi wanaovitumia vyama Kama Saccos zao au miradi yao binafsi
Wazazi WAKO walivyokua wanakusomesha ingawa uandishi WAKO bado unaonesha uchanga uliotopea hawakuwahi kuamini kwamba utakuja kuwa hivi:Mimi Ni Lucas Hebel Mwashambwa na mzalendo kweliii kweliii na Nina Imani kubwa Sana Na mama Samia na serikali yangu na sitachoka kuitetea
Rejea migogoro ya chadema na wabunge wake wa Viti maalumu, Rejea migogoro kuanzia Enzi za Zitto kabwe Samsoni mwigamba kitila mkumbo mpaka wakati wa Dr Slaa, Rejea malalamiko ya akina Peter lijualikali juu ya udikteta uliopo chadema, Rejea juu ya migogoro inayoibuka kila mwanachama anapoonyesha Nia ya kutaka kugombea uenyekiti wa chama Taifa, Rejea migogoro ya Bavicha namna walivyokuwa wakimsakama mch Peter msigwa mitandaoni Kama alivyofanya Daniel Naftari, Rejea migogoro Mbeya mjini Kati ya akina China wa China na kundi la mzee wa upako, migogoro Ni mingi Sana inayokuwa inatokana na uchu wa madaraka na ubadhirifuKwakua Uzi WAKO umelenga Chadema ni vyema utueleze hapa sisi tusiojua:
-migogoro ndani ya chadema ni ipi ambayo bila shaka yoyote imewagawa wananchi.
-Taarifa yoyote ya CAG inayoonesha ubadhirifu wa viongozi wake hali inavyofanya chadema kigawangike na kikose ushawishi kwa wanachama!
-Na mammlaka ya serikali yani tukianzia Bot pamoja na TRA ikiwemo pia msajili wa vyama vya kuweka na kukopa aliwahi kuisajili Chadema kama Saccos na wanachama wepi wanaweka na kukopa fedha huko Ili tuone namna Gani kilivyo chama Cha hovyo.
Natumia Uhuru wangu katika kutoa maoni yangu binafsi na siyo kumfurahisha mtu, Mimi naongea ukweli kwa hoja za ukweliWazazi WAKO walivyokua wanakusomesha ingawa uandishi WAKO bado unaonesha uchanga uliotopea hawakuwahi kuamini kwamba utakuja kuwa hivi:
-Maana halisi ya uzalendo ni kunipenda na kuitetea nchi Yako
-Mzalendo yeyote ni mwema Kweli daima wakati wote kwa maana ya makamilifu na mapungufu Ili kuwepo na marekebisho.
Umekaririshwa kwamba kukosoa ni usalifi na uhaini, na makosa wapaswa kuona wewe na sio kuoneshwa.
Kwa hiyo wewe sio mzalendo Ila ni msaka tonge na mlamba viatu kwa sababu unamsifia MTU (mama na kesho akija mwingine utamsahau mama KABISA)
Kiufupi ni kwamba kwa sababu siasa nayo ni ajira hasa kwa nchi maskini kama Tanzania unatafuta namna yoyote ya kuwa recognized na system.
Kwa bahati mbaya you are not a good analyzer not even a writer.
Nakushauri mtafute THADEI OLE MUSHI akufundishe namna Bora ya uandishi inayofurahisha watawala! Kwa mtindo huu huaminiki na hata mwenyekiti wa Tawi.
Tunaokusoma ndio tunapima maandiko Yako na kutoa mrejesho! Narejea JF sio fb ni great thinkers platform! Na I must tell you this no frog that jumps in day light without a reasonNatumia Uhuru wangu katika kutoa maoni yangu binafsi na siyo kumfurahisha mtu, Mimi naongea ukweli kwa hoja za ukweli
Naomba usijibu haraka haraka hakuna tunapowahi kwa sasa! Jibu hoja Moja baada ya nyingine na uoneshe namna Gani zimesababisha mpasuko ndani ya chama Cha Chadema!Rejea migogoro ya chadema na wabunge wake wa Viti maalumu, Rejea migogoro kuanzia Enzi za Zitto kabwe Samsoni mwigamba kitila mkumbo mpaka wakati wa Dr Slaa, Rejea malalamiko ya akina Peter lijualikali juu ya udikteta uliopo chadema, Rejea juu ya migogoro inayoibuka kila mwanachama anapoonyesha Nia ya kutaka kugombea uenyekiti wa chama Taifa, Rejea migogoro ya Bavicha namna walivyokuwa wakimsakama mch Peter msigwa mitandaoni Kama alivyofanya Daniel Naftari, Rejea migogoro Mbeya mjini Kati ya akina China wa China na kundi la mzee wa upako, migogoro Ni mingi Sana inayokuwa inatokana na uchu wa madaraka na ubadhirifu
Hakuna chama Cha kuisumbuaa CCM nchi hii maana vyama vyote vimejikatia tamaa na kuandamwa na migogoro isiyo Keisha kutokana na ubadhirifu wa viongozi ndani ya vyama vya upinzani inayofanywa na viongozi wanaovitumia vyama Kama Saccos zao au miradi yao binafsi
Najivunia CCM kutokana na kuwa Ni chama kilichojikita katika kututumikia watanzania wanyongeNi kweli hakuna chama cha kuisumbua CCM maana hivyo vyama vingine havina Backup ya vyombo vya dola. Nje ya vyombo vya dola CCM ni takataka kama takataka nyingine. Hivyo hapa hujivunii ccm kama chama cha siasa, bali unajivunia vyombo vya dola.
Najivunia CCM kutokana na kuwa Ni chama kilichojikita katika kututumikia watanzania wanyonge
Kwani wewe hukuona mpasuko uliotokana na Dr slaa kuondoka? Hukuona hata John Mnyika alivyobakigi chamani Kama kimvuli tu? Hukuona watu Kama mzee mwanakijiji waliamua kuitupa mkono Chadema? Huoni Hadi leo chadema siyo Ile ya 2010-2015? Huoni Hadi leo chadema ilishapoteza ajenda yake iliyoitambulisha kwa watanzania na kuipa umaarufu kutokana na kupinga ufisadi na kuibua ufisadi? Lakini Leo haina nguvu hiyo kutokana na kuwa 2015 waliamua kuwabeba na kuwanadi wote waliowaita mafisadi na hivyo kuwakatisha Tamaa watanzania ambao wakaamua kuwapuuza chadema mpaka leoNaomba usijibu haraka haraka hakuna tunapowahi kwa sasa! Jibu hoja Moja baada ya nyingine na uoneshe namna Gani zimesababisha mpasuko ndani ya chama Cha Chadema!
Na hoja nyingine nilizoweka katika hiyo post uzijibu!