CHADEMA yapoteza ushawishi mitaani. Sare zake hazivaliki

CHADEMA yapoteza ushawishi mitaani. Sare zake hazivaliki

Mmefanya mengi kweli kweli hadi kukausha mito na mabwawa
Tuendelee kupiga magoti ili Mwenyezi Mungu atupatie mvua,lakini vile vile tupunguze shughuli za kibinadamu katika vyanzo vya maji ikiwepo kuchungia mifugo au kulima kandokando ya vyanzo vya maji,tuvitunze vyanzo vya maji ili navyo vitutunze, lakini pia ni lazima tuyatunze mazingira yetu bila kufanya uharibifu wa kimazingira Kama vile kukata Miti hovyo na kuchoma misitu, na mwisho ni lazima tujitahidi kupanda Miti mingi kwa maeneo yote tuliyo nayo
 
Ukiona chadema wamepoteza ushawishi ujue idadi yenu wajinga imeongezeka maradufu kutoka kipindi kile cha ushawishi wao na sasa [emoji851]
Watanzania siyo wajinga Bali ni waelewa na wanaofahamu Ni chama gani kilicho mtetezi wao, watanzania wametambua kuwa CCM ndio mtetezi wao ndio sababu ya Kuendelea kuiunga mkono CCM
 
Furahia siku yako, mwamba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Walipoanza kupinga JPM wakati jwa kiasi kikubwa alitekeleza sera ambazo wai walikuwa wakizisimamia kidete miaka nenda rudi chini ya Dr Slaa hapo ndipo walipopoteza usgawishi kwa watanzania wengi siku hizi wapo kama hawapo vile.
 
Walipoanza kupinga JPM wakati jwa kiasi kikubwa alitekeleza sera ambazo wai walikuwa wakizisimamia kidete miaka nenda rudi chini ya Dr Slaa hapo ndipo walipopoteza usgawishi kwa watanzania wengi siku hizi wapo kama hawapo vile.
Chadema wamebaki Kama wanachama hewa tu maana hata kufikiri kwa Sasa Ni Kama kulishasimama
 
Hali itatulia tu mkuu, uwe na Imani na mama yetu
Shida,matatizo na mahangaiko ndiyo vimeipiku CHADEMA umaarufu.Ukame,ukosefu wa maji,umeme na ufukara wa kipato hadi akili vimetamalaki Tanzania.CHADEMA haiwezi kufurukuta mbele ya hizo hoja za haja.Umeme na maji oyeeeee!
 
Shida,matatizo na mahangaiko ndiyo vimeipiku CHADEMA umaarufu.Ukame,ukosefu wa maji,umeme na ufukara wa kipato hadi akili vimetamalaki Tanzania.CHADEMA haiwezi kufurukuta mbele ya hizo hoja za haja.Umeme na maji oyeeeee!
Utendaji kazi uliotukuka wa CCM Ndio ulioipoteza Chadema katika Ramani ya CCM
 
Utendaji kazi uliotukuka wa CCM Ndio ulioipoteza Chadema katika Ramani ya CCM
Kwa ukosefu wa umeme,ukosefu wa maji safi na salama,ukosefu wa kipato cha fedha na ujinga ulikithiri kwa wanachi ndiyo mafanikio ya CCM yaliyoipoteza CHADEMA?Hivi kitambulisho chako cha "chuo kikuu cha Milembe" bado unacho au ulikiuza?😂
 
Tuendelee kupiga magoti ili Mwenyezi Mungu atupatie mvua,lakini vile vile tupunguze shughuli za kibinadamu katika vyanzo vya maji ikiwepo kuchungia mifugo au kulima kandokando ya vyanzo vya maji,tuvitunze vyanzo vya maji ili navyo vitutunze, lakini pia ni lazima tuyatunze mazingira yetu bila kufanya uharibifu wa kimazingira Kama vile kukata Miti hovyo na kuchoma misitu, na mwisho ni lazima tujitahidi kupanda Miti mingi kwa maeneo yote tuliyo nayo

Tuendelee kupiga magoti ili Mwenyezi Mungu atupatie mvua,lakini vile vile tupunguze shughuli za kibinadamu katika vyanzo vya maji ikiwepo kuchungia mifugo au kulima kandokando ya vyanzo vya maji,tuvitunze vyanzo vya maji ili navyo vitutunze, lakini pia ni lazima tuyatunze mazingira yetu bila kufanya uharibifu wa kimazingira Kama vile kukata Miti hovyo na kuchoma misitu, na mwisho ni lazima tujitahidi kupanda Miti mingi kwa maeneo yote tuliyo nayo
Mimi si mfuasi wa vyama bali ni mfuasi wa hoja zenye manufaa kwa ustawi wa watu na taifa.

Japokuwa aliyekuuliza ametumia kejeli ktk swali lake, lakini hii ni hoja kubwa Sana inayotuumiza Wananchi kutokana na serikali ya ccm kushindwa kuweka sera nzuri za kulinda mazingira na kutoa unafuu wa matumizi ya nishati asilia ambayo ni mbadala wa uharibifu wa mazingira hasa kwa Wananchi maskini.

Je, mpango wa gesi ya mtwara iliyotusababishia vifo na ulemavu kwa kutupiga kama wanyama uko wapi? Je hii siyo sera mbovu?

Ama kuhusu ccm kuimarika na upinzani cdm kukosa ushawishi, siyo kweli maana huku mitaani hakuna hata kijana anayejisikia uhuru au kujihisi furaha kwa kujinasibu na uccm.

Mfano mzuri kwa uchunguzi binafsi nilioufanya hapa Dar ktk chaguzi za viongozi wa uvccm kata, wengi wa vijana waliogombea ni wale wenye uelewa mdogo Sana wa masuala ya kijamii na wenye kiwango kidogo cha elimu. Vijana wengi walio na uelewa mpana wa kielimu hawajagombea.

Mwisho hata hayo mavazi ya ccm hawayavai mitaani isipokuwa tu ktk vikao vyao vya chaguzi na ziara za viongozi wao.
 
Mimi si mfuasi wa vyama bali ni mfuasi wa hoja zenye manufaa kwa ustawi wa watu na taifa.

Japokuwa aliyekuuliza ametumia kejeli ktk swali lake, lakini hii ni hoja kubwa Sana inayotuumiza Wananchi kutokana na serikali ya ccm kushindwa kuweka sera nzuri za kulinda mazingira na kutoa unafuu wa matumizi ya nishati asilia ambayo ni mbadala wa uharibifu wa mazingira hasa kwa Wananchi maskini.

Je, mpango wa gesi ya mtwara iliyotusababishia vifo na ulemavu kwa kutupiga kama wanyama uko wapi? Je hii siyo sera mbovu?

Ama kuhusu ccm kuimarika na upinzani cdm kukosa ushawishi, siyo kweli maana huku mitaani hakuna hata kijana anayejisikia uhuru au kujihisi furaha kwa kujinasibu na uccm.

Mfano mzuri kwa uchunguzi binafsi nilioufanya hapa Dar ktk chaguzi za viongozi wa uvccm kata, wengi wa vijana waliogombea ni wale wenye uelewa mdogo Sana wa masuala ya kijamii na wenye kiwango kidogo cha elimu. Vijana wengi walio na uelewa mpana wa kielimu hawajagombea.

Mwisho hata hayo mavazi ya ccm hawayavai mitaani isipokuwa tu ktk vikao vyao vya chaguzi na ziara za viongozi wao.
Katika suala la mazingira Ni wajibu wetu sote kuyatunza na kuyalinda, lakini pia suala la ushawishi Ni ukweli ulio wazi kuwa CCM Ina ushawishi mkubwa Sana kwa vijana
 
Back
Top Bottom