Friends and Our Enemies,
Nimemskia mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akihamasisha wafuasi wake eti kesho wajitokeze kwa wingi kushiriki maandamano ya amani na maombolezo.
Kinachostaajabisha zaidi yeye anasema ni amani na maomboleze kisha hapo hapo anatembea na kauli mbiu ya kusema Samia must go..!
Umeshasema must go,amani itokee wapi hapo?
Na wale ambao ni walinda amani ya nchi hii na mali za watanzania wengine ambao siyo wafuasi wa CHADEMA na ambao siyo wafuasi wa wanasiasa wowote unataka wakae kimya wakuangalie?
Hamasisha wafuasi wako ingieni Road kisha tuone mwisho wake.
Shame on you CHADEMA, before hamjafikia hatua ya kusema.Samia must go,mlipaswa kwanza kuanza slogan hiyo na Freeman Mbowe.
Soma Pia:
Mnataka kuonyesha sharubu kisa Samia mwanamke siyo?yule mwanaume mwenzenu mlifyata mikia mkakimbia nchi .