CHADEMA yatimiza miaka 28 tangu kuanzishwa kwake. Asante Mungu kwa kuilinda

CHADEMA yatimiza miaka 28 tangu kuanzishwa kwake. Asante Mungu kwa kuilinda

Masahihisho - Chadema ina wanachama mil 12, 670 , 553 hii ni hesabu ya hadi march 25 2020
Makubwa Sasa hivi ni masaa 12 toka ulipopost mada yako ya kuitakia happy birthday chadema

Katika wanachama wako unaosema chadema inao milioni 12 na laki 6 Ni mmoja tu aliyeungana na wewe kuitakia happy birthday chadema kwenye Uzi wako

Likes ulizopata kwa Uzi wako wa happy birthday chadema ni tano tu .Yaani katika wanachama milioni kumi.na mbili na laki sita watu watano tu ndio wamependa ulichoandika Cha kuitakia happy birthday chadema.Watu watano tu

Meseji Ni nini? Ni kuwa Chadema ina Hali mbaya .Hizi takwimu zipitie hata wewe mwenyewe uhakiki

Chama chenye idadi.hiyo siku ya birthday kupata watu wawili tu wewe na mtu mwingine mmoja tu wa kukipa happy birthday Ni serious case kuwa Chadema iko taabani.Huu Uzi wako mpelekee Mbowe mwambie hi ndio Hali halisi wana chadema hawana mpango hata na birthday ya chadema

Umewatakia happy birthday ya chama aliyeitikia mmoja tu Kati ya wanachama unaoota milioni 12 na laki sita shame on you na chadema

Takwimu hazidanganyi
 
Wacha UONGO WEWE! Huu wizi uwekwe hadharani halafu majizi yaondolewe kimya kimya!? 😳😳😳😳

Na hao ambao Chakubanga Polepole kakatatazwa kuwataja na WAKUBWA ni akina nani!?

Inanikumbukusha Kikwete DHAIFU alipodai kulivua GAMBA ccm baada ya kutishwa kwamba naye wataanika uovu wake hadharani ikiwemo mabilioni ya mafisadi yaliyomuwezesha kumchafua SAS na yeye kuingia Ikulu AKANYWEA 😂😂😂hakuna gamba lililovuliwa wala mama yake gamba.

CCM yote imejaa majizi na wahuni.
Kwani lazima ukubali? Kaulize account ya Ccm ina sh ngapi sasa hivi baada ya kamati ya kufuatilia mali za Ccm na ubadhilifu kufanya kazi yake. Na wewe kwani lazima uambiwe nani anashughulikiwa. Wewe ni nani? Maana watu kibao tu wanashughulikiwa kwa ufisadi kimya kimya.
 
Don’t the change the subject please! I am a taxpayer I need to know everything about my money that I am paying through taxes. Stop your STUPIDITY.

Kwani lazima ukubali? Kaulize account ya Ccm ina sh ngapi sasa hivi baada ya kamati ya kufuatilia mali za Ccm na ubadhilifu kufanya kazi yake. Na wewe kwani lazima uambiwe nani anashughulikiwa. Wewe ni nani? Maana watu kibao tu wanashughulikiwa kwa ufisadi kimya kimya.
 
Masahihisho - Chadema ina wanachama mil 12, 670 , 553 hii ni hesabu ya hadi march 25 2020
Inakuwaje Sasa uwatakie happy birthday chadema Halafu upate likes tano tu Hadi saa hii siku ya pili toka upost Kati ya wanachama milioni 12 na laki sita?

Inakuwaje chaeema mmoja tu aitikie happy day yako? Hayo mamilioni.mengiine yako wapi? Meseji ya happy birthday inapata watu sita tu was kui support mmoja wa kuandika na sita was likes!!!!

Itakuwa ime ku frustrate Hadi umekoma
Mwonyeshe na Mbowe mwambie hii ndio response ya wanachadema Ni lili po I wish happy birthday chadema jamii forums watu sita tu wali respond Kati ya wanachadema milioni 12 na laki sita!!!!
 
Pole sana shabiki wa ccm , maana kwenye wenye ccm haumo , lakini sijasoma post yako popote na wala huwa sihangaiki na viuzi unavyoanzisha , nilishakupuuza kitambo
Mkuu miaka 28 mpaka leo Chama chenu HAKINA ofisi ya kudumu na yenye hadhi ya kuitwa ofisi kuu ya Chama kikuu cha Upinzani TANZANIA, Mnakwama wapi?
 
Don’t the change the subject please! I am a taxpayer I need to know everything about my money that I am paying through taxes. Stop your STUPIDITY.
Mkuu una emotion sana huku kwenye siasa, twende kwenye basketball tu Hahaha maana sio kwa povu hili mkuu
 
Masahihisho - Chadema ina wanachama mil 12, 670 , 553 hii ni hesabu ya hadi march 25 2020
MLIO KARIBU NA MBOWE MULIZENI KWAMBA HIZI PESA ZOTE ZINAKWENDA WAPI?
Chadema inapokea ruzuku ya takribani milioni 337 kila mwezi kutoka serikalini. Michango na makato kutoka kwa wabunge wa viti maalum kila mmoja anachangia milioni 1 Sikumbuki idadi ya wabunge wa Vm wako wangapi, na pia kila mwezi Wabunge wakuchaguliwa pia sikumbuki wako wangapi kila mmoja anachangia laki 5 kila mwezi. Matumizi ya hizi pesa yakoje?
 
Shetani hajawahi kumshinda Mungu

Ngoja tuwe concerned na mambo ya Chadema kwa sababu ni chama cha siasa na ipo (Ila sina uhakika) siku inaweza kuchukua dola. Hofu yetu, mambo ya ovyo wanayofanya chamani wanaweza yafanya serikalini!
 
Mkuu miaka 28 mpaka leo Chama chenu HAKINA ofisi ya kudumu na yenye hadhi ya kuitwa ofisi kuu ya Chama kikuu cha Upinzani TANZANIA, Mnakwama wapi?
Miaka 28 hawajaandaa mgombea wao wa Uraisi wala mgombea umakamu wa Raisi wanaazima CCM akina Lowasa! Na CUF Duni Haji !!! 28 years hawaja groom.watu wao!!!
 
Miaka 28 hongereni sana,
Na CUF nao wana miaka mingapi?
 
Don’t the change the subject please! I am a taxpayer I need to know everything about my money that I am paying through taxes. Stop your STUPIDITY.
Nenda kaulize zile bil nane zilizokwapuliwa na mweyekiti wa Chadema zipo wapi ? Kama mpumbavu ni wewe unayeuliza mambo yasiyokuwepo.
 
Akili FINYU HII unataka kuulizia bilion 8 ambazo CAG hakuona tatizo lakini wakati huo huo UNAKWEPA kuulizia 2.7 trillions ambazo CAG aliona kuna tatizo na ripoti ya majizi ya ccm iliyoandikwa na Bashiru. Kwa sababu ya UNAFIKI na UNDUMILAKUWILI wako.

Nenda kaulize zile bil nane zilizokwapuliwa na mweyekiti wa Chadema zipo wapi ? Kama mpumbavu ni wewe unayeuliza mambo yasiyokuwepo.
 
Akili FINYU HII unataka kuulizia bilion 8 ambazo CAG hakuona tatizo lakini wakati huo huo UNAKWEPA kuulizia 2.7 trillions ambazo CAG aliona kuna tatizo na ripoti ya majizi ya ccm iliyoandikwa na Bashiru. Kwa sababu ya UNAFIKI na UNDUMILAKUWILI wako.
Bil nane zilizokwapuliwa Chadema na mmiliki wa chama ilikuwa ngumu CAG kufahamu huo ufisadi. Sababu CAG alidanganywa mambo mengi, kama deni hewa ambalo mmiliki wa Chadema alikikopesha Chama chake. Hauna uelewa ndio maana unabwatuka kama mbwa koko. CAG huwa anakagua documents. Kama imeandikwa ililipa deni atafanya nini?
Tuhuma za uongo za tril 2.7 zilipatiwa majibu na PAC baada ya kufuatilia hazina na majibu yalitolewa bungeni kuwa maridhiano ya kimahesabu yalifanyika na hakuna upotevu wa pesa.
Kamati ya Dk Bashiru iligundua watu waliokuwa wanakiibia chama na walishughulikiwa. Kwani mpaka utajiwe majina yao ndio ulidhike? Leo Ccm ina kama bil 30 kwenye account yake baada ya kudhibiti ufisadi.
Kalisha makalio utulie uulize zilipo bil 8 alizokwapua huyo mkulu na mmiliki wa Chadema.
Any way subiri Pccb wafanye kazi yao.
 
Ngoja tuwe concerned na mambo ya Chadema kwa sababu ni chama cha siasa na ipo (Ila sina uhakika) siku inaweza kuchukua dola. Hofu yetu, mambo ya ovyo wanayofanya chamani wanaweza yafanya serikalini!
Joined 14 may 2020 , bado sana
 
Wewe ni TAAHIRA tu unayeona bilioni 8 wakati huo huo UNAKWEPA ukweli kuhusu trillions 2.7 zilizoibiwa Ikulu na majizi ndani ya ccm na Serikali.

Pia trillions zilizochotwa hazina bila idhini ya Bunge na kutumiwa kiholela na CAG KUZUILIWA na dikteta ili ASIKAGUE kuhusu matumizi ya pesa hizo.

MBWA KOKO kama wewe ni hasara kubwa kwa Tanzania kwani mnatetea wizi wa mchana kweupe unaofanywa na majizi ya ccm na serikali.

Eti wezi wameshughulikiwa wakati umeshindwa kuleta USHAHIDI wowote ule wa majizi ya trillions kushughulikiwa na kauli za hao majizi mengine Bashiru na polepole ZINATHIBITISHA kwamba wamezuiwa kuwataja hayo majizi.

Toa UPUMBAVU WAKO muongo mkubwa wewe.

Bil nane zilizokwapuliwa Chadema na mmiliki wa chama ilikuwa ngumu CAG kufahamu huo ufisadi. Sababu CAG alidanganywa mambo mengi, kama deni hewa ambalo mmiliki wa Chadema alikikopesha Chama chake. Hauna uelewa ndio maana unabwatuka kama mbwa koko. CAG huwa anakagua documents. Kama imeandikwa ililipa deni atafanya nini?
Tuhuma za uongo za tril 2.7 zilipatiwa majibu na PAC baada ya kufuatilia hazina na majibu yalitolewa bungeni kuwa maridhiano ya kimahesabu yalifanyika na hakuna upotevu wa pesa.
Kamati ya Dk Bashiru iligundua watu waliokuwa wanakiibia chama na walishughulikiwa. Kwani mpaka utajiwe majina yao ndio ulidhike? Leo Ccm ina kama bil 30 kwenye account yake baada ya kudhibiti ufisadi.
Kalisha makalio utulie uulize zilipo bil 8 alizokwapua huyo mkulu na mmiliki wa Chadema.
Any way subiri Pccb wafanye kazi yao.
 
Back
Top Bottom