CHADEMA yatimiza miaka 28 tangu kuanzishwa kwake. Asante Mungu kwa kuilinda

MBWA KOKO na WAPUMBAVU kama wewe ndiyo matatizo makubwa ya UOZO kuendelea Nchini kwetu kunakofanywa na hilo kundi la majizi na wahuni kwa miaka chungu nzima sasa. Hao PAC ni WAHUNI tu dikteta kawaweka MFUKONI hawawezi hata kufurukuta. CAG Assad hakukosea aliposema Tanzania ina Bunge DHAIFU lakini MBWA KOKO unayeishi kwa KUTUPIWA MAKOMBO na mabwana zako HULIONI hili la UDHAIFU MKUBWA wa Bunge likiwa kimya huku UOZO wa kila aina ukiendelea kukithiri Nchini.

Askofu Bagonza: CAG vs TAKUKURU

We una akili timamu? Au unajifurahisha PAC haikutoa majibu bungeni? Hao waliozuiliwa kutajwa nia akina nani. Kama unajua kwa nini hauwataji?
Mbona Waitara ametaja madudu ya Mowe hadharani. Weka hayo majina hadharani. Sio kupiga kelele kama mwehu.
 
So what?
 
Yeah! So what! There is NOTHING we can do as dictator is in power and all important institutions in our country are in his back pocket.

Just remember what HAPPENED to all African dictators including Idi Amin, Bokassa, Nguesso, Bashiru, Abacha, Mubarak and so many other dictators in Africa and around the World.

Iko siku isiyokuwa na jina Watanzania wataamua kusema huu UPUUZI unaoendelea nchini mwetu kwa miaka mingi sasa basi LIWALO NA LIWE.


 
Kabudi huyu ndio huyuhuyu wa sasa ?
 
Reactions: BAK
Wachumia TUMBO Mkuu wanajua sana nini kinahitajika kufanyika Nchini kwetu ili kuleta UHURU NA HAKI ya kweli kwa Watanzania wote bila kujali itikadi, dini au rangi lakini huamua KUJITOA UFAHAMU kwa kumuogopa dikteta.

Mwingine huyu hapa Mkuu lakini leo hii hawezi KUTHUBUTU kutetea tume huru ya uchaguzi.


Kabudi huyu ndio huyuhuyu wa sasa ?
 
Sidhani kama ina umri mrefu ujao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…