Chagua idea ya nyumba unayopenda ili nikubunie ramani ya kuendana na uchaguzi wako

Chagua idea ya nyumba unayopenda ili nikubunie ramani ya kuendana na uchaguzi wako

Umeipenda ipi?

ab2b3c09f9b862a53c6df0178b3b652c.jpg

0c59a4804b425c23dc4a14fb50b4a4b7.jpg

01d7cc31e338e64aff076d520d79b112.jpg
 
Sasa si uweke namba yako ili tukutafute? Ila angalia usije ukawa umeikosoa CCM kabla hujaweka namba humu. Wakaku-deal upotelee baharini tukuokote Koko beach. Au labda wewe ndio unataka kuwatega watu? Maana humu JF kuna mbinu nyingi sana za watu wa kitengo kutafuta watu wanaoikosoa CCM

Unaweza kukuta Jumanne Muliro anajifanya mchora ramani za nyumba!
 
Weka picha nyingine.
Huyu kuna watu anawatafuta anatumaini watawasiliana nae! Mwogopeni.

Ni sawa na wale wanaotuma private messages eti "kaka napenda thread zako zinaonyesha wewe mtu makini sana na unachoongea na zinafundisha sana. Una mawazo mazuri naomba tufahamiane zaidi. Naitwa Maimuna, namba yangu hii hapa".

Kuna wahanga walidanganywa kirahisi na hizo private message na picha fake wakaishia Koko beach!

Kuna wengine wanaomba msaada wa pesa kidogo, eti brother nimebanwa sana leo, naomba unirushie angalau Tshs 20,000. Ukimrushia tu unaishia Koko Beach!

Huwa najiuliza, katika watu wote waliomo humu JF, kwa nini unichague mimi kuomba Tshs 20,000 wakati hujui hata kipato changu?
 
Huyu kuna watu anawatafuta anatumaini watawasiliana nae! Mwogopeni.

Ni sawa na wale wanaotuma private messages eti "kaka napenda thread zako zinaonyesha wewe mtu makini sana na unachoongea na zinafundisha sana. Una mawazo mazuri naomba tufahamiane zaidi. Naitwa Maimuna, namba yangu hii hapa".

Kuna wahanga walidanganywa kirahisi na hizo private message na picha fake wakaishia Koko beach!

Kuna wengine wanaomba msaada wa pesa kidogo, eti brother nimebanwa sana leo, naomba unirushie angalau Tshs 20,000. Ukimrushia tu unaishia Koko Beach!

Huwa najiuliza, katika watu wote waliomo humu JF, kwa nini unichague mimi kuomba Tshs 20,000 wakati hujui hata kipato changu?
Hatari kweli kweli...
 
Huyu kuna watu anawatafuta anatumaini watawasiliana nae! Mwogopeni.

Ni sawa na wale wanaotuma private messages eti "kaka napenda thread zako zinaonyesha wewe mtu makini sana na unachoongea na zinafundisha sana. Una mawazo mazuri naomba tufahamiane zaidi. Naitwa Maimuna, namba yangu hii hapa".

Kuna wahanga walidanganywa kirahisi na hizo private message na picha fake wakaishia Koko beach!

Kuna wengine wanaomba msaada wa pesa kidogo, eti brother nimebanwa sana leo, naomba unirushie angalau Tshs 20,000. Ukimrushia tu unaishia Koko Beach!

Huwa najiuliza, katika watu wote waliomo humu JF, kwa nini unichague mimi kuomba Tshs 20,000 wakati hujui hata kipato changu?
Kuna mmoja aliwahi kuniomba elfu 5 PM, nikamkatalia aisee. Maana ni kazi sana kutofautisha mtu mwenye shida ya kweli, na mjinga mmoja anayetaka kudhuru watu wasio na hatia.
 
Kuna mmoja aliwahi kuniomba elfu 5 PM, nikamkatalia aisee. Maana ni kazi sana kutofautisha mtu mwenye shida ya kweli, na mjinga mmoja anayetaka kudhuru watu wasio na hatia.
Sintashangaa kuwa wengine wamejipenyeza huku ndani kama moderators, au kwamba baadhi ya moderators wanakuwa recruited kama informers. Natumaini Mexime amechukua tahadhari stahili
 
Huyu kuna watu anawatafuta anatumaini watawasiliana nae! Mwogopeni.

Ni sawa na wale wanaotuma private messages eti "kaka napenda thread zako zinaonyesha wewe mtu makini sana na unachoongea na zinafundisha sana. Una mawazo mazuri naomba tufahamiane zaidi. Naitwa Maimuna, namba yangu hii hapa".

Kuna wahanga walidanganywa kirahisi na hizo private message na picha fake wakaishia Koko beach!

Kuna wengine wanaomba msaada wa pesa kidogo, eti brother nimebanwa sana leo, naomba unirushie angalau Tshs 20,000. Ukimrushia tu unaishia Koko Beach!

Huwa najiuliza, katika watu wote waliomo humu JF, kwa nini unichague mimi kuomba Tshs 20,000 wakati hujui hata kipato changu?
Uko sahihi sana
 
Back
Top Bottom