Chahali: Madini yanatoroshwa kwa kasi ya kutisha

Muigai Jr njoo usome hapa update majibu ya maswali ambayo hukuelewa kwenye post yangu. Pythagoras uko deep sana
 
Hii ni hate writting yaani umesema mambo mengi nusunusu ni kama vile mtu aliyetenguliwa channel yake ya ulaji halafu hata baada ya Magu kuondoka bado channel haijarudi...
 
anamaanisha nini anaposema ufisadi umerudi kwa kasi ya kisurisuri... kuna mahala nashindwa kuwaelewa Watanzania tunataka nini sasa...

mmeshiba ~~ ndiooo.
mna njaa ~~ ndiooo.
Sasa nn kisichoeleweka hapo, eti anamaanisha nn, au unazuga huelewi, Ana maana utawala huu mpya unaopendwa mitandaoni, umelegea, ufisadi umeanza kurudi.
Aya umeelewa?
 
Magufuli alikuwa mwizi na shetani mkubwa,akichofanya ni kuhakikisha hakuna mtu anayejua habari za wizi wake!

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Mtapambana sana, with time, kila goti litapigwa na mtamkumbuka kwa mazuri, sababu hamna evidence ya uwizi wala ushetani wake, na huenda ukawa ww ni lishetani zaidi ya shetani mwenyewe.
Uzuri ni kwamba everything will come to light na tutajua who was real and who wasnt
 
Leta evidences mzee, hii maneno tupu bila evidence utadanganya mambwiga, evidences za ubaradhuli awamu hii zinazidi kuonekana na watu hadi waliompinga wanaanza kureport.
Mtapambana na maiti mpaka mchoke
 
Na hii ndio sababu binafsi niliona Upinzani is nonsense kwasababu Magufuli qlijitahidu sana still watu walipinga. So tueleweje Sasa sisi kama wananchi wa kawaida.
 
Una any tangible evidence ya kuprove unacho kiongea au ndio umeliokota mitandaoni ukalibeba kama lilivyo.
Haya wewe una evidence yoyote hata siyo tangible ya kujua 1.5tr zilipoenda?
 
Kwangu kitu hiko hakipo na hakijawahi tokea,ww unayesema 1.5tl imeibiwa tupe ushahidi.
So hujui Assad baada ya kuliibua hilo alifanyiwa hila na kutolewa. Bwana yule alikuwa hapendi kuambiwa ukweli japo kila siku anajigamba eti "lazima tuelezane ukweli". Sasa wewe mwambie ukweli uone rungu litakavyo kushukia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…