Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #181
I mean no malice to nobody ππTamuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siwezi kuacha Kula ukoko, Bora uninyime wali lkn sio ukoko.
No 2 ni must kwako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]1.Ugali Dagaa....Na Chaini zilizowekwa Karanga....
2.Ndizi nyama...
3. Ugali na Utumbo uliochanganywa na mchicha....
4.Wali Maharage..
Uwueeeeeeh!!
Mdojolelaaa navimbiwaga hadi tumbo linaumaa.Mdojolela je?
Hatari sana broo.Kitu ni π₯π₯ ileee
Hata nyumbani havitapikwa? mfano cocastic kasema hataacha kula mihogo ya kukaanga! hio itamzuia nini kula akipata vijisenti?Haya ni mawazo ya alfulionea tu, ukiwa bilionea hauwezi kuwaza wala hata kupata access ya hivyo vyakula.
TRUST ME!
Shida wapishi wakiharibuππ, utalaani balaaHatari sana broo.
nimemshangaa sana!Jamaa ana makasiriko ya kimataifa ππ
Resources are un evenly distributed.. hivi unajua kuwa UPUPU unaliwa?Naishi chini ya dola 3.
Ila sijawahi jua kama majani ya maharage yanaliwa ππ
Hajui watu wako addicted,na vitu walivyokuwa navyo kwenye msotonimemshangaa sana!
halafu ndio ukute ubilionea wenyewe nimeupatia kwenye biashara za mihogo, kisamvu na avocado..
ntatembea na mihogo ya kukaanga kwenye Prado yangu na kila atakayeniomba lift ntaomba na kipande cha muhogo wa kuchemsha anyonye
Najiskia hovyo sana wanangu mniombee
Funny boe ni msukuma wa bariadi, mlaji mzuri sana wa michembeHajui watu wako addicted,na vitu walivyokuwa navyo kwenye msoto
Maziwa mtindiWanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Hovyo kiaje mkuu? unajisikia kuishiwa nguvu?Najiskia hovyo sana wanangu mniombee
Samahani mkuu π€ π€, kwa nini isiwe kwa jina la MUNGU ??. Maana ye ndo muweza wa yotePokea uponyaji Kwa Jina la Yesu Kristo [emoji123]
Kwa kupigwa kwake sisi tumepona.
Aliyachukua magonjwa yetu yote!