Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #161
Tena kiporo Cha wali kisichemshwe, maharage ya Moto na chai 😂😂Wali ndondo weeeeee
Ugali na dagaa wa kurumagia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena kiporo Cha wali kisichemshwe, maharage ya Moto na chai 😂😂Wali ndondo weeeeee
Ugali na dagaa wa kurumagia
mshamba_hachekwi mwenzio huyu😂😂Wali ndondo weeeeee
Ugali na dagaa wa kurumagia
Sijui nitamgaji dronedrake au basi 🤣🤣🤣🤣🤣Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Swali lako ni la ajabu kidogo. Mimi siyo bilionia lakini hata nikiwa bilionia nitaendelea kula vitu vyote navyokula wakati huu.Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Pweza na ngisi kandokando ya stendiWanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Mdojolela je?Ugali kwa hizi mboga.
Kisamvu
Mangatungu
Kikande
Pitiku
[emoji104][emoji104]
Ugali na mlenda.
Mtori na chapati 1
Ugali na dagaa rosted ukimix na tubamia, kakiazi na vinyanya chungu.
Wali maharage na kachumbari
UnyumbaWanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Mkuu ni vile tu hatujafika huko, but I got friends wako miles away.Swali lako ni la ajabu kidogo. Mimi siyo bilionia lakini hata nikiwa bilionia nitaendelea kula vitu vyote navyokula wakati huu.
Unapenda chini Sana 😀😂Unyumba
SI utaonekana, una tafuta nguvu za kiume😂😂Pweza na ngisi kandokando ya stendi
We Depal wewe..!!! Au wa kishua?Majani ya maharage yanaliwa mkuu?
Ya maboga najua
😂😂 Huku kwetu hiyo miudambudambu ni unyamaaa. Yani naipigilia deileee sipigi kujiandaa na shooSI utaonekana, una tafuta nguvu za kiume😂😂
Dah mini mikubwa Ina Raha take, nahisi ka Niko jelaa😂😂Nakubali🖐🏿
Komaa MKUU 😂😂Dah mini mikubwa Ina Raha take, nahisi ka Niko jelaa😂😂
We nahisi Baada ya wiki 1, au 2 narudi mzigoni😂😂Komaa MKUU 😂😂
KikandeeUgali na makande?
😂live pamepoa kiaina ila Kwa mapumziko panafaa mkuuWe nahisi Baada ya wiki 1, au 2 narudi mzigoni😂😂
TamuuuuI mean no malice to nobody, hivyo vi emoji vina maana gani[emoji848]