Chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa Bilionea?

Chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa Bilionea?

Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafitaji nikajiwazia mengi leo.

Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Supu ya utumbo na chapati mbili kwa mama ntilie,ile ladha kwakweli ni unforgettable.Yani sijui huwa wanatumia dawa za mvuto,huwa nikiiona nashindwa kujizuia...
 
Mkuu usipende kutumia ujinga wako, ili kuthibitisha upuuzi🤔🤔.
👉Uzinzi wako unakufelisha, afu unataka wote tuwe hivyo🤔
ohooo tumeanza kuitana wajinga tena chief?

Usijaribu kutumia dhana yako ya kuwa una akili nyingi kudhihaki na kudharau wengine.

Hii JF kwa wengine ni sehemu ya kupoteza muda tu, itakuwa ni upumbavu wa hali ya juu kwa mtu anaejinasibu kuwa na akili nyingi kuchukulia kila kitu hapa kuwa serious.

That being said, kabla sijasahau; mjinga mwenyewe and just so you know, it takes one fool to know the other.
So uwe na siku njema mjinga mwenzangu.
 
ohooo tumeanza kuitana wajinga tena chief?

Usijaribu kutumia dhana yako ya kuwa una akili nyingi kudhihaki na kudharau wengine.

Hii JF kwa wengine ni sehemu ya kupoteza muda, itakuwa ni upumbavu wa hali ya juu kwa mtu anaejinasibu kuwa na akili nyingi kuchukulia kila kitu hapa kuwa serious.

That being said, kabla sijasahau; mjinga mwenyewe and just so you know, it takes one fool to know the other.
So uwe na siku njema mjinga mwenzangu.
Mkuu nimekushangaa kulazimisha uzinzi😂😂. Eti tusioupenda tuna tatizo🤔, I mean no malice to nobody
 
Back
Top Bottom