Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ameeen.Pole sana Mungu akuepushe na yote mabaya katika Jina la Yesu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameeen.Pole sana Mungu akuepushe na yote mabaya katika Jina la Yesu.
Mkubwaa😂😂😂, dah usiwe una wabaka tu🤔🤔kula beki 3 na za kienyeji
Kwa style take, huko uarabuni atanyongwaa😂😂Utafungwa mwanafyale😅
🤣🤣🤣🤣View attachment 2632606
Siwez acha
Dah Tena wali usichemshwe, ila hayo maharage yawe ya Moto😂😂nakazia hapa.
Dah mjumba unapenda chini Sana🤔😂😂Iliyopevuka 18+🤣🤣 haina jela hiyo.
Tena ukute kienyeji ya uswazi ina shanga mpaka kifuani.
ula power bank AKA MIHOGO NA KACHUMBARI, PEPSI BARIDI AFU JUA LIWE LIMEWAKA😀😀Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafitaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Tena ule mlenda wa mkoani ni 🔥🔥, wenye karanga😂😂Mlenda ni mzuri kwa afya shem darling..
Mlenda, ugaliWanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafitaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Dagaa na.mchnganyiko wa bamia na nyanya chunguugali dagaa
Dah mkuuu mihogo mchana😂😂K
ula power bank AKA MIHOGO NA KACHUMBARI, PEPSI BARIDI AFU JUA LIWE LIMEWAKA😀😀
Hi kitu ni 🔥 🔥, upate mpishi anaye ijuliaa tyDagaa na.mchnganyiko wa bamia na nyanya chungu
Unahisi Kama uko mbinguni 😂😂chapati ndondo
Yah ikipata mpishi mzuri ni hbari nyingne hii mbgaHi kitu ni 🔥 🔥, upate mpishi anaye ijuliaa ty
Unautafuta usingizi wa mchana hapoK
ula power bank AKA MIHOGO NA KACHUMBARI, PEPSI BARIDI AFU JUA LIWE LIMEWAKA😀😀
Pole sana mwambaNajiskia hovyo sana wanangu mniombee
Mbona unakula uchafuUgali na mlenda.
Mtori na chapati 1
Ugali na dagaa rosted ukimix na tubamia, kakiazi na vinyanya chungu.
Wali maharage na kachumbari