Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Ukiona mwanaume hapendi chini ujue ana walakini kwenye uanaume wake.Dah mjumba unapenda chini Sana🤔😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona mwanaume hapendi chini ujue ana walakini kwenye uanaume wake.Dah mjumba unapenda chini Sana🤔😂😂
Mkuu usipende kutumia ujinga wako, ili kuthibitisha upuuzi🤔🤔.Ukiona mwanaume hapendi chini ujue ana walakini kwenye uanaume wake.
Kitu ni 🔥🔥 ileeeMuhogo wabkukaaga na kachumbari: asee naifataga hadi shuke ya msingi inapokaangwa
Mkuu sema hujapata mpishi ambaye ni mtaalamu, Kuna watu wanapika bhana.kusema kweli mi hakuna chakula nachopenda sana had ifikie hatua niseme siwezi kuacha
Ila vyakula nisivyopenda vipo kwakeli mi hunilishi mlenda,samaki wenye shombo Kali hao wapo kule ziwa victoria unakutana na mtoto kala samaki juzi ila shombo anayo Hadi leo, kitukingine usicho nilisha ni papai
I mean no malice to nobody, uchafu uko wapi hapo. Au kujikuta wa kishua afu kumbe hate shuka hujafua🤔 ChaliifranciscoMbona unakula uchafu
Uyoga na mlenda (a.k.a lidelele)...!!Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafitaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Kuna uyoga mwembamba na ule mnene Kama nyama, upi Sasa una upenda??Uyoga na mlenda (a.k.a lidelele)...!!
Wale wa kunyumba, unguyugu na ulelema..!!
CC Peramiho yetu, cocastic
Kuna mnene mweupe na mwembamba mwekundu..!!Kuna uyoga mwembamba na ule mnene Kama nyama, upi Sasa una upenda??
Ule Kama nyama ehh??Kuna mnene mweupe na mwembamba mwekundu..!!
Yaani maini kabisaa..!!Ule Kama nyama ehh??
Aisee msosi ni starehe nzuri sanaYaani maini kabisaa..!!
Ndo nini hicho mkuu🤔🤔Siwezi kuacha kula ikifughe
Hasa ule unaoupenda..!! Yaani inafikia hatua, tumbo limeshiba, lakini mdomo bado unatakaAisee msosi ni starehe nzuri sana
Ila napenda pia kujaribu misosi mipya, naonaga kwenye documentary jinsi wachina na wathailanda wanavyo penda kupika ni 🔥🔥Has ule unaoupenda..!! Yaani inafikia hatua, tumbo limeshiba, lakini mdomo bado unataka
Viazi vitamu vimepikwa pamoja na maharage na kubondwa bondwa pamoja. Chakula cha wanyakyusaNdo nini hicho mkuu🤔🤔
Unamuambia muhudumu akuletee na kisado kabisa pembeni cha kuweka maganda 😆Muwa.
Yaani nitaingia kwenye Private jet yangu na miwa kama sita hivi, n8naigonga mmoja baada ya mwingine
Anha Naijua hiyo, sema umpate mpishi mzuri Sasa 🤔Viazi vitamu vimepikwa pamoja na maharage na kubondwa bondwa pamoja. Chakula cha wanyakyusa
sOrRy MKUu nilikA nImeLEWaI mean no malice to nobody, uchafu uko wapi hapo. Au kujikuta wa kishua afu kumbe hate shuka hujafua🤔 Chaliifrancisco