mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
wacha kabisa😂 hiko chakula kimenileamshamba_hachekwi unapenda wali maharage😂😂, mpaka ukiona comment ya hivyo unafurahi kinyama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wacha kabisa😂 hiko chakula kimenileamshamba_hachekwi unapenda wali maharage😂😂, mpaka ukiona comment ya hivyo unafurahi kinyama
Ni matamu ile mbaya!Majani ya maharage yanaliwa mkuu?
Ya maboga najua
Aisee SI tulikuwa watatu ila tunapika kilo2😂😂wacha kabisa😂 hiko chakula kimenilea
Asikwambie mtu, ukipata mpishi mzuri hutojutiaNi matamu ile mbaya!
Aisee nimecheka kifala 😂😂, ko kila Mara tuunguze ubwabwa ehh😂Siwezi kuacha Kula ukoko, Bora uninyime wali lkn sio ukoko.
mtanzania wa kawaida haipiti siku 3 hajala wali maharageAisee SI tulikuwa watatu ila tunapika kilo2😂😂
Msosi ni starehe yangu pendwa 😍😍Marehemu Makongoro aliimba "Kuleni kuku mayai, mboga, samaki, maziwa"
Mkuu mbona mi imepitaa miezi 4 sijala🤔🤔mtanzania wa kawaida haipiti siku 3 hajala wali maharage
si unaishi dar 😂Mkuu mbona mi imepitaa miezi 4 sijala🤔🤔
unafocus kwenye biashara sio 😂Nipo kahama kwa kina Mr kenice, nakula likizo kidogo 😂😂.
Kidogo tu😂😂, mi mchimba chumvi tuunafocus kwenye biashara sio 😂
Being called a fool is malicious enough to me.Mkuu nimekushangaa kulazimisha uzinzi😂😂. Eti tusioupenda tuna tatizo🤔, I mean no malice to nobody
Peace Buddha, I mean no malice to nobodyBeing called a fool is malicious enough to me.
Anyways whatever makes you feel better. Peace🤘