wali maharage ....... Aisee hapo acha lawama zije tu nionekane tajiri wa masharti.Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Toa kitimoto, niwekee maziwa mgandoππ. Dah acha nitafute pesaaπππDagaa rost,mixer bamia,nyanya chungu, kitimoto,ugali....
Upate kiporo Cha wali kisichemshwe, maharage ya Moto na chai aiseeππ ni π₯π₯wali maharage ....... Aisee hapo acha lawama zije tu nionekane tajiri wa masharti.
Atari[emoji119]Dah upate chapati nzitoo, maharage ya karanga ni [emoji91][emoji91]
mshamba_hachekwi mwamba mwingine huyu hapaππwali maharage ....... Aisee hapo acha lawama zije tu nionekane tajiri wa masharti.
Mi napenda sambusa za nyama aisee, kipindi naenda home nilikula Kama 6 hiviππSambusa za viazi, magimbi na mihogo
Mpaka mate yamejaa mdomoni πππππJuzi nimepita mitaa flan nimekuta wanauza vibungo nikanunua nikamuambia aweke na chumvi nyingi sana π
Nimeamini chakula ni starehe pendwa ππ,. Tu enjoy tu wakuuπAtari[emoji119]
Hata mimi nazipenda sana za nyama, ila na za viazi nazielewa. Bora wewe ulikula 6 mimi nikikwambia idadi ya sambusa za nyama niliyokula juzi kati hapa ni aibu na huzuni[emoji23][emoji23][emoji23]Mi napenda sambusa za nyama aisee, kipindi naenda home nilikula Kama 6 hivi[emoji23][emoji23]
Kaagize tu mkuuππ, msosi ni π₯ π₯Mpaka mate yamejaa mdomoni πππππ
Mchunga wa nazi- hupendi ule mchungu[emoji23][emoji23], uono ndo Nini??
Dada haukumaliza kale ka deliππHata mimi nazipenda sana za nyama, ila na za viazi nazielewa. Bora wewe ulikula 6 mimi nikikwambia idadi ya sambusa za nyama niliyokula juzi kati hapa ni aibu na huzuni[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanakua Kama nyama???Dagaaa fulani hivi hupatikana zaidi pande za Tanga sijui na Unguja Kama vile?!
Samahani mkuu [emoji848] [emoji848], kwa nini isiwe kwa jina la MUNGU ??. Maana ye ndo muweza wa yote
Mabungo mkuu πππKaagize tu mkuuππ, msosi ni π₯ π₯
Ila hiyo mabungo ndo Niniπ€π€Mabungo mkuu πππ