Mrenda wenye maharageWanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Sijawahi kuchanganya, je ni vitamu??Mrenda wenye maharage
ugal mlenda+dagaaWanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Mbususu ni next level sh!tMbususu
Mbususu
Ntatumia jeki ya mkongoVipi ukiwa bilionea ukapata kisukari na nguvu zikaisha utaendelea kula mbususu
Ugali dagaa zilizochanganywa na nyanya chungu pamoja na bamia alafu ziwekwe nazi.
Nilipita na kukaa pale majani Mapana na Nguvumali. Yaani hadi sasa, nimetoka kula ugali dagaa waliochanganywa na bamia pamoja na nyanya chungu alafu pembeni kulikuwa na kisamvu cha nazi alikipika jana so kimelala. Sasa nimeinua tumbo juu nachat jF. Nasuburi baadaye kidogo saa 2 nipige Pilau nyama yangu then nilale. Bro maisha ndio haya haya. Tunatafuta pesa kwa nguvu sana, wacha tufe tu na pressure na kisukari ila kula vizuri hatuachi ng'ooooooo.Wewe utakuwa ni Mwanakwetu au umekulia TA.
Ngoja kesho Mama Manka anipikie nione jinsi kilivyo hiki chakulaUgali na dagaa zenye karanga aiseeee sitakuja kuacha kula mpaka uzeeni
Kwani dagaa ni chakula cha binadamu? Mbona huku kwetu ni mwendo wa migebuka ya kuchomà na kivunde tu, hao dagaa tunalishia kuku na mbwa tu.Ugali dagaa zilizochanganywa na nyanya chungu pamoja na bamia alafu ziwekwe nazi.