Chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa Bilionea?

More love brother πŸ™πŸ’ͺ
 
🀣🀣🀣🀭Mi nikija kumpata mtu seriously ni mtu mtulivu mno(serious asiyesumbuliwa sana uchumi)....sema niko free ndo najiachia na Kila mtu humu ndani....nani atanichunga?πŸ€’
πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ, Vipi nije kumuibaπŸ˜‚πŸƒπŸƒ
 
Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.

Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Dona mandondo mzee hii kitu bora useme nimuache mdogo wakoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…