Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #341
Upate kiporo Cha wali kisichemshwe, maharage ya Moto na chai ni 🔥🔥Kiporo cha wali na maharage
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upate kiporo Cha wali kisichemshwe, maharage ya Moto na chai ni 🔥🔥Kiporo cha wali na maharage
Mi mchimba chumvi tu mkuu 😂😂Kule nakuona unakesha sana 😀 utakuwa unafanya kazi sheli ya mafuta usiku.
nyie mnaoishi UK mnatutesa huku pakiwa usiku nyie ndo mchana
😅😅😅 hizo ni mbinu tu za kimedani
Kula chuma hichooo, kwa Usaliti wako😂😂😅😅😅 hizo ni mbinu tu za kimedani
Dogo umekunywa gongo ipi🤔🤔, maana Hadi sisimizi unatuona mbwa😂😂nyie mnaoishi UK mnatutesa huku pakiwa usiku nyie ndo mchana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Majani ya maharage yanaliwa mkuu?
Ya maboga najua
Pole mwananguNajiskia hovyo sana wanangu mniombee
Nshapoa baridi safi now😀Pole mwanangu
Kisu kiunoniHicho chuma nakiyeyusha, Kisha natengeneza Panga😂😂
👉Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉 Roho begani
Kuficha ficha silaha, Ni dalili ya uoga😂😂Kisu kiunoni
Sidhan Kama n kweliKuficha ficha silaha, Ni dalili ya uoga😂😂
Sifa ya silaha ionekane, ili Vita ijulikane😂😂. Kwani tuko kanisani hapaSidhan Kama n kweli
Ingekuwa ni hivyo silaha zisingekua zinafichwa, kwahiyo ukiwa na silaha una vita?Sifa ya silaha ionekane, ili Vita ijulikane😂😂. Kwani tuko kanisani hapa
I mean no malice to nobody, Sera zetu 👉 Panga mkononiIngekuwa ni hivyo silaha zisingekua zinafichwa, kwahiyo ukiwa na silaha una vita?