Chakula gani ulikula mara moja na kwa mara ya kwanza hadi leo hutaki tena kukila?

Chakula gani ulikula mara moja na kwa mara ya kwanza hadi leo hutaki tena kukila?

Ni asilimia karibu 99.99 za wauza mabutcher sijui huko machinjioni hali ipoje... Huwa nawamind wanabaki kuniuliza kwani dada umetokea mkoa gani? Nawaambia mikoa yote niliyopita nyama inauzwa kivyake, na utumbo kivyake hizi mixing ndiyo nimezikuta Arusha kwenu.
Mixing ya hatari aisee mbona kali hiyo ...
Ningekuwa nalalamika huko kwenye butcher aisee utumbo haupandi kabisa .
 
Mmhh betroot siziwezi.... Ila kabichi napenda lipikwe na nyama
Beetroot inafaa uweke flavour hivi itafaa kidogo au unaweka tunda kama passion ili kuleta ladha .
 
Back
Top Bottom