The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,989
- 45,411
Hadi wewe unazitenga😅...Njugu mawe bhana hazina mvutoNjugu mawe ni shida,wakichanganya kwenye makande nakula mahindi pekee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi wewe unazitenga😅...Njugu mawe bhana hazina mvutoNjugu mawe ni shida,wakichanganya kwenye makande nakula mahindi pekee
Hahaha mkuu supu ya karanga inaandaliwajetambi......supu ya karanga
Hakna chakulà spendi Kama ile wanaita KUMBI KUMBI, nilikula kwa Mara ya kwanza ukubwan kabisa, tumbo liliniuma Sana , nikajaribu siku nyingine mwendo ule ule Tumbooo[emoji45]
Hadi wewe unazitenga😅...Njugu mawe bhana hazina mvuto
Naomba huo mwili na mimi[emoji2088]Mie mbaguzi wa vyakula,makongoro,soseji,mafuta ya samli havipandi
Hahaha mkuu supu ya karanga inaandaliwaje
Nimekula sana? Sijawahi kuzipenda, nina penda kiburu na shiro kwa chaiUmewahi kula ngararimo na chai ya rangi ww!
Kiburu noma sanaa...!!Nimekula sana? Sijawahi kuzipenda, nina penda kiburu na shiro kwa chai
Hivi mlonge una Nini hata Mimi nakuwa hivyo?Mlonge nikinywa aisee naugua hapo hapo, kizunguzungu na mwili kukosa nguvu, nimejaribu mara kwa mara lakini hali ni hiyo hiyo nikunywa mlonge ni balaa, pia makongoro yalinishinda