Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
ndio mana nakwambia watu ni wajinga haswaaWatoto wawili mnamaliza kg ya nyama na kg2 za mchele?
Akhi my kids aren’t serious with life
😀😀Muuza butcher,mchele watajilia.Kesho kutwa wakiichapaaa usiliee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anapigwa sana.wali wa matandu ndio ni mtamu lakini mkaa 5000 jamaa anapigwa walah
Hiyo Michele ni wingi wa Mchele? Kazi ipo? Dar ni hatari sana! Wakati kwetu unapata mpaka ya elfu 6 kwa kilo!Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Wanashindana kulaMtoa mada muwe mnajitahidi kununua vitu vya jumla, mfano vya kukaa week nzima na kuendelea,
Hiyo inapunguza sana hizo gharama za hapo kati zisizo na ulazima,
Halafu mchele kilo mbili kila siku..?? Nyama kilo moja kila siku..?? Kwa hiyo idadi ya watu..?
2kgs watu wa 4..baba mama na watoto wawil kwa mchele bado ni kipimo kikubwa sanaaa😂😂😂.Watu wawili
nyama kilo?mchele kg 2!!!
Ila na wewe liongo! Watu wanne mnakulaje kilo 2 za Michele? Mafuta na viungo elfu5?Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Unga 1kg, dagaa za bukTufanye familia ya mke na mume tu
Mchanganuo wa hiyo 3000 unakuaje kuanzia asubuhi hadi usiku?
Kitimoto ni tofauti na nyama ya kawaida. Kwanza inaliwa mara moja moja sana, and most of people waana prefer kuila yenyewe na side dishes kidogo. Pia inamafuta mengi. Ukipima kilo moja ya kitomoto ukaipika itakayofika mezani ni robotatu kama siyo nusu, grames zingine zitapotea kama mafuta. So kusema mmekula kilo 2 sioni taabu hiyo technically ni kama kilo moja kwa upimaji wa Dar. Ukienda mkoani huko Mtwara, Naliendele ni kama kilo moja na nusu.2kgs watu wa 4..baba mama na watoto wawil kwa mchele bado ni kipimo kikubwa sanaaa😂😂😂.
Ia kwa nyama ni kipimo kidogo sanaa.
Maana juzi mimi Na wife tuu tumekula kilo 2.5 ya nyama kitimoto (tena nguriwe pori) .Sasa kg 1 ya nyama hata sio ishu kwa familia hiyo ya wa tu wa 4 ni kiasi kidogo sana mnakula kwa kujilamba lamba tu bora mrad mpate shombo ya nyama
You are right. Mimi niko mkoa wa pwan. Nje ya Dar huku tulipo tunakula sana nguruwe pori. Hawa hawana mafuta kabisaa huwez wafananisha na hawa wa kufugwaKitimoto ni tofauti na nyama ya kawaida. Kwanza inaliwa mara moja moja sana, and most of people waana prefer kuila yenyewe na side dishes kidogo. Pia inamafuta mengi. Ukipima kilo moja ya kitomoto ukaipika itakayofika mezani ni robotatu kama siyo nusu, grames zingine zitapotea kama mafuta. So kusema mmekula kilo 2 sioni taabu hiyo technically ni kama kilo moja kwa upimaji wa Dar. Ukienda mkoani huko Mtwara, Naliendele ni kama kilo moja na nusu.
Ni vigumu sana kula kilo mbili ya ng'ombe mkamaaliza kwa watu wawili n watoto wanne coz nyama ya ng'ombe haina mafuta so kilo mbili ni kilo mbili kweli. Jamaa kuna haja ya kuboresha kwenye budgeting.
alafu ana alamika eti hapati matundaAnapigwa sana.
Hapo kwa 2kg kwa watu wanne ndo nimechoka.
Amini kuna watu wanaishi hivyo.Achana na familia ya mke na mume.
Yeye mwenyewe tu aje atueleweshe huo mchanganuo wa pesa hiyo kwa asubuhi mpaka jioni.
Basi tuseme mnapenda nyama..na familia ya ndugu yetu hii ina uwezo kula na kusaza2kgs watu wa 4..baba mama na watoto wawil kwa mchele bado ni kipimo kikubwa sanaaa😂😂😂.
Ia kwa nyama ni kipimo kidogo sanaa.
Maana juzi mimi Na wife tuu tumekula kilo 2.5 ya nyama kitimoto (tena nguriwe pori) .Sasa kg 1 ya nyama hata sio ishu kwa familia hiyo ya wa tu wa 4 ni kiasi kidogo sana mnakula kwa kujilamba lamba tu bora mrad mpate shombo ya nyama
BUKU 3 haiwezekanUnaishi kulingana na kipato chako mkuu! Kuna watu wanafamilia na wanaishi kwa 3000 kwa siku! Na maisha yanasonga! Hatuwezi kufanana
okay sijakuelewa though..main focus yangu hapo ni irrationality ya budgeting..usiwe serious sana kwenye simple matters mkuu. We r not getting paid here!!Basi tuseme mnapenda nyama..na familia ya ndugu yetu hii ina uwezo kula na kusaza
Wakati kuna dagaa na mboga za majani plus matunda haizid 5000 familia inakula balance diet kwa bei chee 😂😂.alafu ana alamika eti hapati matunda
jinga kabisa
Buku 3 pagum sana kifamil familBUKU 3 haiwezekan
Acha uongo mimi hapa olasiti nimelima leshuu na maharage nanunua unga tu wa buku na leshuu mchemsho bila mafuta natumia buku kwa siku.Je laki moja per day njoo Arusha utahama tu