Chalamila awasili Kariakoo awaambia Wafanyabiashara “Fungueni maduka, Biashara sio Siasa”

Hivi Serikali ikiamua kuwafutia leseni wafanyabiashara wote waliogoma ikizingatiwa tin namba zinasoma na wapigwe marufuku kokote kufanya biashara Kwa sababu za uhujumu uchumi kwani watafanya nini?
 
Hivi Serikali ikiamua kuwafutia leseni wafanyabiashara wote waliogoma ikizingatiwa tin namba zinasoma na wapigwe marufuku kokote kufanya biashara Kwa sababu za uhujumu uchumi kwani watafanya nini?
wanatumia ID za watu wengine ambao hawako kwenye mifumo ya kulipoa kodi. Kufikia hapo serikali inakuwa imefanya ujinga.
 
Sasa Waziri wa Biashara kakubali kuongea nao na kuwasililiza malalamiko yao. Wewe chawa mwenye roho mbaya umebaki kuropoka. Yani mnajifanya mna hasira kuliko Waziri mwenyewe. Pole sana.
Bando la bure anafanya chochote tu hata cha kijinga tu
 
Moja kati ya kiongozi wa hovyo anaefanya mambo kwa mihemko na kumfurahisha mteuzi
 
wanatumia ID za watu wengine ambao hawako kwenye mifumo ya kulipoa kodi. Kufikia hapo serikali inakuwa imefanya ujinga.
Sio kweli Kila mtu taarifa zake zipo kuanzia za kibayometric Hadi za physical,huwezi Anza kutanga Tanga kushindana na Serikali kisa unafanya siasa za ujinga.

Bora ujinga huo wa Serikali kuliko fedheha.Wafanyabishara wa Kariakoo wasijifanye spesho sana,Nchi hii inaweza enda bila hao wajinga.
 
Unaleta hoja dhaifu sana, ungekuwa hata na genge ungeelewa
Hakuna Cha genge,Mimi nauza dawa la bidhaa za Kilimo,Kodi nalipa na maisha yanaenda,kwamba nyie pimbi wa Kariakoo ndio mna malalamiko sana kuliko sisi wa Mikoani au?

Serikali iwashughulikie tuone itapata hasara zipi.
 
Hivi Serikali ikiamua kuwafutia leseni wafanyabiashara wote waliogoma ikizingatiwa tin namba zinasoma na wapigwe marufuku kokote kufanya biashara Kwa sababu za uhujumu uchumi kwani watafanya nini?
Kasome sheria ya leseni ya biashara, kwanza katika adhabu hakuna kufungiwa biashara Bali fine au kufunguliwa kesi mahakamani. Muwe mnasoma kwanza kabla ya kuropoka.
 
Kwetu kuna msemo "buli kuundi buli kumbali" (kama siyo shida yako, iko pembeni/siyo shida yako). Hawa wafanyabiashara ni wao wanaojua mambo wanayoyapitia. Ni wao wanaopata hasara kama wakifunga maduka, lakini kama wameona heri wapate hasara kuliko faida wanayoipata inayoambatana na kero wanazozilalamikia, pengine zinazo wapa pia hasara na kushindwa kulipa kodi wanayotakiwa walipe, halafu hatua waliyoichukua ili kero hizo ziweze kufanyiwa kazi, wewe usiyepata hizo kero/hasara uone ni utoto, naona ni ukosefu wa consideration na kwa kiongozi ni lack of good judgement.
 
Hakuna Cha genge,Mimi nauza dawa la bidhaa za Kilimo,Kodi nalipa na maisha yanaenda,kwamba nyie pimbi wa Kariakoo ndio mna malalamiko sana kuliko sisi wa Mikoani au?

Serikali iwashughulikie tuone itapata hasara zipi.
Ulisema u mkulima, Leo unadai unauza bidhaa za KILIMO!!

KAZI Yako ni uchawa, huna unachofanya zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…