Chalamila awasili Kariakoo awaambia Wafanyabiashara “Fungueni maduka, Biashara sio Siasa”

Kasome sheria ya leseni ya biashara, kwanza katika adhabu hakuna kufungiwa biashara Bali fine au kufunguliwa kesi mahakamani. Muwe mnasoma kwanza kabla ya kuropoka.
Kama hakuna mbona TRA inswafu hua? Rais anatoa decree tuu ,mbona ni wachache mnasakwa na kushikishwa adabu tuu
 
Kumbe mnafanya siasa ,hakuna malalamiko? Samia aache kuleta huruma za kimama kwenye masuala ya Nchi.

Mwisho wewe punguani Kuna Nchi Haina Rushwa Dunia hii?
Nenda China ule Rushwa uone. Unadhani ni kama huku unaiba adhabu ni kuitwa stupid
 
Ukisema u mkulima, Leo unadai unauza bidhaa za KILIMO!!

KAZI Yako ni uchawa, huna unachofanya zaidi.
Wewe achaga kuwa kima ,tangu lini mkulima asiwe mfanyabiashara? Na Kwa taarifa Yako wafanyabiashara 90% wa Mikoani ji wakulima na wengine wameacha hata hizo za kuzozana na TRA wamesalia na kulima.na ufugaji tuu.

Mimi biashara ni ya kuzugia ila shughuli yangu kuu ni Kilimo.
 
Mimi binafsi nawapongeza sana huwezi kufanya biashara kwenye jamii mfu, (silent society)
 
Lipa Kodi. Acha kuchamba
 
Kama hakuna mbona TRA inswafu hua? Rais anatoa decree tuu ,mbona ni wachache mnasakwa na kushikishwa adabu tuu
Na Rais akifanya hivyo hatadumu hata mwezi madarakani. Unafunga biashara, unajua ni mnyororo gani utavunja Kwa kufunga biashara za watu Tena Kariakoo.
 
Hakuna Cha genge,Mimi nauza dawa la bidhaa za Kilimo,Kodi nalipa na maisha yanaenda,kwamba nyie pimbi wa Kariakoo ndio mna malalamiko sana kuliko sisi wa Mikoani au?

Serikali iwashughulikie tuone itapata hasara zipi.
Endelea kuwa na funza kichwani mwako,hujui kinachoendelea ndiyo maana unaropoka ropoka tu kama chizi
 
Kuwaambia kuwa maduka sio hospitali kwamba atakayefunga hamna umuhimu wowote ni kujitoa ufahamu akitaka kumaanisha serikali haina hasara yoyote maduka yakifungwa
 
Poleni sana watanganyika.

Ama kwa hakika janga ambalo nchi ililipata 2015 pengine itachukua miaka 20+ nchi kurudi kwenye mstari

Ni hayo tu.
 
Kwahiyo unataka mla RUSHWA aliyesababisha bandari kuuzwa Kisha gharama za bandarini kuongezeka ndiye aje kuzifunga biashara kariakoo?
Gharama za Bandari
Kwahiyo unataka mla RUSHWA aliyesababisha bandari kuuzwa Kisha gharama za bandarini kuongezeka ndiye aje kuzifunga biashara kariakoo?
Ndio maana nasema Samia anawachekea si unaona unavyoongea upumbavu hapa harafu uchumi uko paralysede.

Siasa za kindezi kama hizi piga ndani hao wapuuzi wakimbie Nchi.
 
Rushwa zinaliwa licha ya adhabu ya kunyongwa.

Scandinavia countries hata hawanyingi mtu ila ndio Nchi Zenye Rushwa kiduchu sana ila sio China.
Ndio nimekuambia nenda China halafu ukale rushwa ndio utajua wananyonga au hawanyongi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…