Chalamila yupo sahihi; kuna Bima ya elfu 40. Unajua Mkeo ni mjamzito, huna Pesa. Kata hata hiyo

Chalamila yupo sahihi; kuna Bima ya elfu 40. Unajua Mkeo ni mjamzito, huna Pesa. Kata hata hiyo

Kabla ya kuangalia rasimali zetu kama zinatufaidisha au la
Tuangalie hizi akili za kutungisha mimba siku ya kujifungua hata Elfu 50 huna
Haya tuchukulie mtoto amezaliwa anataka nepi, chandarua, maziwa lishe, vyakula vya mama mzazi, blanket
Unataka na Serikali ikupe Bure eti kwakuwa unalipa kodi
Sipo hapa kujadili sababu za watu kutungishana mimba.
Hoja yangu ni kwenye uwezekano wa watu kukosa elfu 50. Na pia, uzembe wa serikali kushindwa kufikisha huduma za afya ipaswavyo.

___

Kuhusu hoja yako ya sababu za masikini kuzaliana, tafiti mwenyeweni kwa nini hata katika nchi zenye vita ama wakimbizi wanaendeleana kupeana mimba hata katikati ya masaibu.
 
Unafikiri mtu anayekosa beseni na glove anaweza kuwa na ufahamu wa maswala ya BIMA .?


Kauli za viongozi zinafikirisha.
 
Najaribu kukupa mifano walau kupanua ufahamu wako lakini kwa kuwa una kichwa kigumu unaona nikwepa jibu.

Je, huyu aliyeombaomba na kupata hamsini, endapo akipata dharura kabla ya muda wa kujifungua akatumia hiyo fedha, atarudi tena kuomba?

Watu hawana vipato vya uhakika. Kula kwenyewe wanabahatisha. Hawajawahi kuwa na akiba maisha yao yote kwa sababu wanachokipata chote kinaishia tumboni.

Labda nikuulize, masikini wa mwisho kabisa uliyewahi kumwona kwa macho yako, alikuwa anafananaje?
Mkuu ukiona mtu kashindwa kuweka akiba ujue ya kuwa huyo matumizi yake ni makubwa kuliko kipato chake. Imagine mtu uchumi wake haueleweki halafu anampa mwanamke mimba hapo obviously matumizi yataongezeka matokeo yake mtu anakuwa masikini wa kutupwa. Na ukichunguza masikini wengi wana idadi kubwa ya watoto ambao wanashindwa kuwahandle. Ukitaka kukwepa umasikini hakikisha kipato chako ni kikubwa kuliko matumizi.
 
Kwema Wakuu!

Chalamila hapa nitamtaja kama Mhusika bila kuhusisha cheo chake. Ni aina ha watu ambao hawana breki za kuongea na watu wa aina hii mara nyingi huongeaga UKWELI mchungu ambao wakati mwingine huweza kuwaacha watu mdomo wazi.

Chalamila kadiri unavyompa nafasi na Muda WA kuongea ndivyo anavyoweza Kuropoka mambo ambayo ni magumu. Kwa Sisi tunaojua watu aina yake hatuwapagi nafasi Sana ya kuongea au kuwauliza maswali Tata ambayo yatamfanya ajichie.

Chalamila ni kama Kina Tundu Lisu. Tofauti Yao ni Moja. Mmoja anajua kujenga hoja wakati mwingine hawezi kujenga hoja ila wote wanaweza kuwa wanasema ukweli uleule wa Jambo lilelile.

Wasema ukweli mara nyingi hawanaga Staha. Hiyo huwafanya kuitwa roporopo.

Tukirudi kwenye hoja ya Chalamila kuhusu Wajawazito. Yupo sahihi Kabisa

Serikali sio kama imeweza Kabisa lakini angalau inajaribu kujitahidi Kusaidia watu hasa watu wa chini ingawaje zipo changamoto za kiutendaji na kifedha.

Kuna Bima ya CHF kama sijakosea ambayo kwa mwaka ni elfu 40,
Mambo inayotibu Bima hii ni Magonjwa ya kawaida yote.
Ujauzito
Ultrasound
X-ray
Kujifungua na Upasuaji mdogo
N.k.

Hivi mtu unajua Kabisa unaenda kuzaa mtoto au umembebesha Mimba Binti au Mkeo. Kwa nini usiweke angalau kwa siku elfu Moja Miatano kwa siku kisha mwisho wa mwezi wa Kwanza wa Ile Mimba ukate Bima ya elfu 40 kwaajili ya kumsaidia Mkeo au huyo uliyempa Mimba

Au kama umetelekezwa, sio sababu ya kukosa Bima ya elfu 40 kwa Sababusiku hizi Fursa za uzalishaji na kujipatia kipato ni Haki Sawa baina ya Mwanaume na mwanamke. Nikimaanisha huna haja ya kumtegemea Mumeo au mwanaume wakati Fursa zimetolewa Sawa.

Kata Bima ya elfu 40 kwaajili yako kama mwanamke mjamzito.

Na sio kulialia kumtafutia mtu Lawama kwa Jambo linalokuhusu mwenyewe ambalo umerahisishiwa.

Mambo ya huruma huruma, burebure ndio yanaharibu jamii.

Tunajua nchi yetu ni Maskini na jamii zetu nyingi ni Maskini ndio maana serikali kwa sehemu nayo imerahisisha kwa upande wao. Sasa mwaka mzima ushindwe Kutafuta elfu 40 ulipie Bima ati utake serikali ikuhudumie. Huo kama sio Ukengemaji ni nini?

Chukua Bima ya 40 Kisha andaa pesa ya kujifungulia ya dharura na ya uzazi
Hayo ndio majukumu yenyewe. Pumbavu.

Tupo kwa ajili ya wengi wenye kuhitaji msaada wanaoustahili

Tupo hapa

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Naona umeandika vitu usivyovijua
 
Trump kiongozi wa Afrika?
Sio kila muda anatakiwa kuongea Maneno ya Busara
Unazidi kuonyesha uboya wako. Kwa hiyo Trump ndiyo kipimo cha namna viongozi wanavyotakiwa kuzungumza? Kwa sababu Trump ana kauli mbaya basi ni halali wengine kufanya hivyo? Kwanza ujue Trump hasemi vibaya kuhusu raia wake.
 
Kwema Wakuu!

Chalamila hapa nitamtaja kama Mhusika bila kuhusisha cheo chake. Ni aina ha watu ambao hawana breki za kuongea na watu wa aina hii mara nyingi huongeaga UKWELI mchungu ambao wakati mwingine huweza kuwaacha watu mdomo wazi.

Chalamila kadiri unavyompa nafasi na Muda WA kuongea ndivyo anavyoweza Kuropoka mambo ambayo ni magumu. Kwa Sisi tunaojua watu aina yake hatuwapagi nafasi Sana ya kuongea au kuwauliza maswali Tata ambayo yatamfanya ajichie.

Chalamila ni kama Kina Tundu Lisu. Tofauti Yao ni Moja. Mmoja anajua kujenga hoja wakati mwingine hawezi kujenga hoja ila wote wanaweza kuwa wanasema ukweli uleule wa Jambo lilelile.

Wasema ukweli mara nyingi hawanaga Staha. Hiyo huwafanya kuitwa roporopo.

Tukirudi kwenye hoja ya Chalamila kuhusu Wajawazito. Yupo sahihi Kabisa

Serikali sio kama imeweza Kabisa lakini angalau inajaribu kujitahidi Kusaidia watu hasa watu wa chini ingawaje zipo changamoto za kiutendaji na kifedha.

Kuna Bima ya CHF kama sijakosea ambayo kwa mwaka ni elfu 40,
Mambo inayotibu Bima hii ni Magonjwa ya kawaida yote.
Ujauzito
Ultrasound
X-ray
Kujifungua na Upasuaji mdogo
N.k.

Hivi mtu unajua Kabisa unaenda kuzaa mtoto au umembebesha Mimba Binti au Mkeo. Kwa nini usiweke angalau kwa siku elfu Moja Miatano kwa siku kisha mwisho wa mwezi wa Kwanza wa Ile Mimba ukate Bima ya elfu 40 kwaajili ya kumsaidia Mkeo au huyo uliyempa Mimba

Au kama umetelekezwa, sio sababu ya kukosa Bima ya elfu 40 kwa Sababusiku hizi Fursa za uzalishaji na kujipatia kipato ni Haki Sawa baina ya Mwanaume na mwanamke. Nikimaanisha huna haja ya kumtegemea Mumeo au mwanaume wakati Fursa zimetolewa Sawa.

Kata Bima ya elfu 40 kwaajili yako kama mwanamke mjamzito.

Na sio kulialia kumtafutia mtu Lawama kwa Jambo linalokuhusu mwenyewe ambalo umerahisishiwa.

Mambo ya huruma huruma, burebure ndio yanaharibu jamii.

Tunajua nchi yetu ni Maskini na jamii zetu nyingi ni Maskini ndio maana serikali kwa sehemu nayo imerahisisha kwa upande wao. Sasa mwaka mzima ushindwe Kutafuta elfu 40 ulipie Bima ati utake serikali ikuhudumie. Huo kama sio Ukengemaji ni nini?

Chukua Bima ya 40 Kisha andaa pesa ya kujifungulia ya dharura na ya uzazi
Hayo ndio majukumu yenyewe. Pumbavu.

Tupo kwa ajili ya wengi wenye kuhitaji msaada wanaoustahili

Tupo hapa

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Hiyo bima kwa sasa haipo tena wameshaifuta
 
Sipo hapa kujadili sababu za watu kutungishana mimba.
Hoja yangu ni kwenye uwezekano wa watu kukosa elfu 50. Na pia, uzembe wa serikali kushindwa kufikisha huduma za afya ipaswavyo.

___

Kuhusu hoja yako ya sababu za masikini kuzaliana, tafiti mwenyeweni kwa nini hata katika nchi zenye vita ama wakimbizi wanaendeleana kupeana mimba hata katikati ya masaibu.
Kuzaa ni mipango
laZima ujue Kuna mahitaji inatakiwa kuwa nayo ili kiumbe kizaliwe
Serikali tunailaumu Kwa upande wake
Lakini tunawalaumu wazazi kukosa kujiandaa Kwa ajili ya mama kujifungua
 
Kwema Wakuu!

Chalamila hapa nitamtaja kama Mhusika bila kuhusisha cheo chake. Ni aina ha watu ambao hawana breki za kuongea na watu wa aina hii mara nyingi huongeaga UKWELI mchungu ambao wakati mwingine huweza kuwaacha watu mdomo wazi.

Chalamila kadiri unavyompa nafasi na Muda WA kuongea ndivyo anavyoweza Kuropoka mambo ambayo ni magumu. Kwa Sisi tunaojua watu aina yake hatuwapagi nafasi Sana ya kuongea au kuwauliza maswali Tata ambayo yatamfanya ajichie.

Chalamila ni kama Kina Tundu Lisu. Tofauti Yao ni Moja. Mmoja anajua kujenga hoja wakati mwingine hawezi kujenga hoja ila wote wanaweza kuwa wanasema ukweli uleule wa Jambo lilelile.

Wasema ukweli mara nyingi hawanaga Staha. Hiyo huwafanya kuitwa roporopo.

Tukirudi kwenye hoja ya Chalamila kuhusu Wajawazito. Yupo sahihi Kabisa

Serikali sio kama imeweza Kabisa lakini angalau inajaribu kujitahidi Kusaidia watu hasa watu wa chini ingawaje zipo changamoto za kiutendaji na kifedha.

Kuna Bima ya CHF kama sijakosea ambayo kwa mwaka ni elfu 40,
Mambo inayotibu Bima hii ni Magonjwa ya kawaida yote.
Ujauzito
Ultrasound
X-ray
Kujifungua na Upasuaji mdogo
N.k.

Hivi mtu unajua Kabisa unaenda kuzaa mtoto au umembebesha Mimba Binti au Mkeo. Kwa nini usiweke angalau kwa siku elfu Moja Miatano kwa siku kisha mwisho wa mwezi wa Kwanza wa Ile Mimba ukate Bima ya elfu 40 kwaajili ya kumsaidia Mkeo au huyo uliyempa Mimba

Au kama umetelekezwa, sio sababu ya kukosa Bima ya elfu 40 kwa Sababusiku hizi Fursa za uzalishaji na kujipatia kipato ni Haki Sawa baina ya Mwanaume na mwanamke. Nikimaanisha huna haja ya kumtegemea Mumeo au mwanaume wakati Fursa zimetolewa Sawa.

Kata Bima ya elfu 40 kwaajili yako kama mwanamke mjamzito.

Na sio kulialia kumtafutia mtu Lawama kwa Jambo linalokuhusu mwenyewe ambalo umerahisishiwa.

Mambo ya huruma huruma, burebure ndio yanaharibu jamii.

Tunajua nchi yetu ni Maskini na jamii zetu nyingi ni Maskini ndio maana serikali kwa sehemu nayo imerahisisha kwa upande wao. Sasa mwaka mzima ushindwe Kutafuta elfu 40 ulipie Bima ati utake serikali ikuhudumie. Huo kama sio Ukengemaji ni nini?

Chukua Bima ya 40 Kisha andaa pesa ya kujifungulia ya dharura na ya uzazi
Hayo ndio majukumu yenyewe. Pumbavu.

Tupo kwa ajili ya wengi wenye kuhitaji msaada wanaoustahili

Tupo hapa

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Huduma kwa mama mjamzito ni bure, Serikali kama haiwezi iseme. Hadi huduma za mama na mtoto zinawashinda, aibu iliyoje.
 
Mkuu ukiona mtu kashindwa kuweka akiba ujue ya kuwa huyo matumizi yake ni makubwa kuliko kipato chake. Imagine mtu uchumi wake haueleweki halafu anampa mwanamke mimba hapo obviously matumizi yataongezeka matokeo yake mtu anakuwa masikini wa kutupwa. Na ukichunguza masikini wengi wana idadi kubwa ya watoto ambao wanashindwa kuwahandle. Ukitaka kukwepa umasikini hakikisha kipato chako ni kikubwa kuliko matumizi.
Siko mbali nawe...

Kuna watu wanafanya kazi DSM mshahara wa siku ni elfu sita. Hata akijibana vipi lazima matumizi yawe makubwa kuliko kipato. Pia, kuna kundi la watu wasio na ajira. Wanaishi kwa kudura tu, wakipata wanakula wakikosa wanalala.
___
Wanafahamu kuwa maisha yao ni magumu na watoto watateseka lakini hawawezi kuacha kuzaliana.

Kwanza, wana imani kuwa kila mtoto huja na sahani yake.
Pili, raha pekee ya masikini ni ngono.
Tatu, kuzaliana ni ASILI. Haijalishi kiumbe hai yuko katika mazingira gani, akipata nafasi ya kuzaa atazaa tu. Ndiyo maana licha ya mabomu ya Gaza lakini watoto wanazaliwa kila leo.
____
Muhimu ni serikali kuweka vizuri huduma zake.
 
Kuzaa ni mipango
laZima ujue Kuna mahitaji inatakiwa kuwa nayo ili kiumbe kizaliwe
Serikali tunailaumu Kwa upande wake
Lakini tunawalaumu wazazi kukosa kujiandaa Kwa ajili ya mama kujifungua
Kuna watu wanajipanga lakini kuna circumstances zinawaharibia. Na ni rahisi kuharibikiwa kwa kuwa vipato vyao vya uhakika; uchumi wa nchi hauko stable.

Sasa ili hayo yote yasitokee, serikali isinunue magoli ya Simba na Yanga, ipeleke gloves kwenye hospitali.
 
Huduma kwa mama mjamzito ni bure, Serikali kama haiwezi iseme. Hadi huduma za mama na mtoto zinawashinda, aibu iliyoje.
Serikali inunue nepi ya mwanao, blanket, besen, gloves, ndio, kanga, taulo
Kwani wewe baba ni marehemu
Kwanini mnapenda dezo
 
Kuna watu wanajipanga lakini kuna circumstances zinawaharibia. Na ni rahisi kuharibikiwa kwa kuwa vipato vyao vya uhakika; uchumi wa nchi hauko stable.

Sasa ili hayo yote yasitokee, serikali isinunue magoli ya Simba na Yanga, ipeleke gloves kwenye hospitali.
Serikali inunue vifaa beseni, gloves, ndio, blanket, net, vyakula lishe vya mzazi, mwanvuli, chandarua n. K
Kwanini mnapenda dezo
Hospital unakuta Dokta, wauguzi, wakunga, majengo, vitanda n
K
Unaombwa kuchangia unasema we masikini?
 
Kwema Wakuu!

Chalamila hapa nitamtaja kama Mhusika bila kuhusisha cheo chake. Ni aina ha watu ambao hawana breki za kuongea na watu wa aina hii mara nyingi huongeaga UKWELI mchungu ambao wakati mwingine huweza kuwaacha watu mdomo wazi.

Chalamila kadiri unavyompa nafasi na Muda WA kuongea ndivyo anavyoweza Kuropoka mambo ambayo ni magumu. Kwa Sisi tunaojua watu aina yake hatuwapagi nafasi Sana ya kuongea au kuwauliza maswali Tata ambayo yatamfanya ajichie.

Chalamila ni kama Kina Tundu Lisu. Tofauti Yao ni Moja. Mmoja anajua kujenga hoja wakati mwingine hawezi kujenga hoja ila wote wanaweza kuwa wanasema ukweli uleule wa Jambo lilelile.

Wasema ukweli mara nyingi hawanaga Staha. Hiyo huwafanya kuitwa roporopo.

Tukirudi kwenye hoja ya Chalamila kuhusu Wajawazito. Yupo sahihi Kabisa

Serikali sio kama imeweza Kabisa lakini angalau inajaribu kujitahidi Kusaidia watu hasa watu wa chini ingawaje zipo changamoto za kiutendaji na kifedha.

Kuna Bima ya CHF kama sijakosea ambayo kwa mwaka ni elfu 40,
Mambo inayotibu Bima hii ni Magonjwa ya kawaida yote.
Ujauzito
Ultrasound
X-ray
Kujifungua na Upasuaji mdogo
N.k.

Hivi mtu unajua Kabisa unaenda kuzaa mtoto au umembebesha Mimba Binti au Mkeo. Kwa nini usiweke angalau kwa siku elfu Moja Miatano kwa siku kisha mwisho wa mwezi wa Kwanza wa Ile Mimba ukate Bima ya elfu 40 kwaajili ya kumsaidia Mkeo au huyo uliyempa Mimba

Au kama umetelekezwa, sio sababu ya kukosa Bima ya elfu 40 kwa Sababusiku hizi Fursa za uzalishaji na kujipatia kipato ni Haki Sawa baina ya Mwanaume na mwanamke. Nikimaanisha huna haja ya kumtegemea Mumeo au mwanaume wakati Fursa zimetolewa Sawa.

Kata Bima ya elfu 40 kwaajili yako kama mwanamke mjamzito.

Na sio kulialia kumtafutia mtu Lawama kwa Jambo linalokuhusu mwenyewe ambalo umerahisishiwa.

Mambo ya huruma huruma, burebure ndio yanaharibu jamii.

Tunajua nchi yetu ni Maskini na jamii zetu nyingi ni Maskini ndio maana serikali kwa sehemu nayo imerahisisha kwa upande wao. Sasa mwaka mzima ushindwe Kutafuta elfu 40 ulipie Bima ati utake serikali ikuhudumie. Huo kama sio Ukengemaji ni nini?

Chukua Bima ya 40 Kisha andaa pesa ya kujifungulia ya dharura na ya uzazi
Hayo ndio majukumu yenyewe. Pumbavu.

Tupo kwa ajili ya wengi wenye kuhitaji msaada wanaoustahili

Tupo hapa

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Kama angelijibu aende kwa wakunga wa kienyeji badala ya mumeo si ujumbe ungefika? Nani angelaumu wakati mume hakufanya maandalizi
 
Kuna watu wanajipanga lakini kuna circumstances zinawaharibia. Na ni rahisi kuharibikiwa kwa kuwa vipato vyao vya uhakika; uchumi wa nchi hauko stable.

Sasa ili hayo yote yasitokee, serikali isinunue magoli ya Simba na Yanga, ipeleke gloves kwenye hospitali.

Ndio maana kuna Bima Mkuu.
Kata Bima ili kujihami na hizo circumstances
 
Watu wanataka bure tu kila kitu!
Yani hata wakipeana mimba kwa starehe zao wanataka serikali iwahudumie bure!
Nina Bima ya Assemble lkn kipindi wife anaenda kujifungua tulikuta hizo zana hazipo Bahati nzuri nilikuwa nimeshajiandaa!! Kuna shida sana hospital za serikali
 
Back
Top Bottom