Chama cha ACT - Wazalendo chajiondoa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Chama cha ACT - Wazalendo chajiondoa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Kususa nako kuna kanuni zake, wewe ukisusa, wenzio twala.
.
P
Wamesuswa kabla ya kususa
 
Mkuu Nusu Hela, kwanza nakubaliana na wewe kuwa haki ya mtu ni stahiki, haiombwi wala hauletewi kwenye kisahani cha chai bali haki hudaiwa.

Kwa vile sisi Watanzania tulipata uhuru wetu bila kumwaga damu, hivyo Watanzania ni watu peaceful sana, hata tufanyiwe nini kazi yetu ni kupiga tuu kelele mchana, usiku tutalala .
P
Na nikwambie kitu kimoja pamoja na ccm kujidanganya kuwa watu ni waoga lakini sio wote nakwambia majasiri tupo hata kama ni wachache lakini tupo mark my words.
 
Upinzani haijasusa,isipokuwa imeamua kuachana na mambo ya kitoto.
-------------------------------
-------------------------------

Binafsi mimi ni mwana CCM kindaki ndaki lakini sikuona sababu za kimsimsingi za chama langu na ccm kwa kwa ujumla wake kuwa na hofu namna hii juu ya uchaguzi huu kwa kiasi hiki cha kupelekea kunyima haki katika baadhi ya mambo madogomadogo ikiwepo kujificha kwa baadhi ya watendaji.

BINAFSI NILIDHANI KATIKA UCHAGUZI HUU NDICHO KINGEKUWA KIPIMO KIZURI CHA KUKUBALIKA KWA AWAMU HII YA TANO.

N.B.-SIAMINI KWA YOTE HAYA YALIYOFANYWA NA AWAMU HII KAMA KUNGEKUWEPO KWA TATIZO LOLOTE LILE JUU YA USHINDI MNONO.
Kuongozwa na mkosa akili ni kazi sana, matokeo yake ndio haya sasa tunayoyaona mtu anaaagiza yafanyike mambo ya kipuuzi kweli yeye anaona ndio ujanja, mpaka aibu aisee.
 
Ila kisheria chama cha siasa ili kiwe chama cha siasa ni inatakiwa kiwe na maono ya kumiliki dola. Kushiriki uchaguzi ni namna ya kuonyesha kua una maono ya kumiliki dola.

Usiposhiriki uchaguzi unakua hauna tofauti na asasi nyingine za kiraia ambazo zinawasemea wananchi.

So kwa hivi vyama kutoshirikia uchaguzi naona wanamrahisishia msajili wa vyama kuvifuta hivyo vyama. Hii ni Political Parties and Election, MSD III.
 
Kususa nako kuna kanuni zake, wewe ukisusa, wenzio twala.
.
P
Mtoto akiongea maneno ya kikubwa tunasema "mtoto amekua" ila mkubwa akiongea maneno ya kitoto kuna walakini mahali.
 
Kuleni tu Mzee baba. Huu udhalimu hautadumu milele.
Pascal Mayalla , hili Ni doa kubwa sana katika historia ya demokrasia ya nchi yetu.
Nashauri tu, kwakuwa msukuma anapendwa sana na kukubalika yeye na chama chake, basi aufute rasmi mfumo wa vyama vingi, atangaze kuwa Watanzania hatuna haja ya chama kingine, Wala mawazo mengine isipokuwa ya mwenyekiti, na Kwamba yeye Ni rais wa maisha. Tuelewe moja
Afute vyama vingi aone mabeberu watakavyomkaanga, mabeberu wa kiarabu tu walimtoa jasho mpaka akurudisha dhahabu zao zilizo kamatwa Mwanza akaamuliwa kuwaachia na wale askari nane kutoka gerezani Butimba na akatii, sasa achokoze mabeberu ya kizungu yamuonyeshe kazi.
 
Siasa siasa

Unajua unapo zungumza kuusu siasa Kuna vitu vingi Sana.

Huwezi kushinda kisiasa kama uja fanya jitihada za kumcha fua mpinzani wako.

.. Nieleweke kuwa sio kumtusi au vinginevyo Bali kuangalia mapungufu Aliyo nayo wewe uyatumie kama seem ya kujipatia ushindi

Nikweli kabisa figisu figisu zipo lakini hapa tuangalie je wanao fanyiwa hizo figisu Wana chukua hatua gani mana sheria na kanuni zipo.

Ukisha jua kuwa mwenzio ni mchezaji mchafu unatakiwa upambane ili uweze kudhibiti mianya yote ya wewe kukuchezea rafu

Na zani yakifanyika hayo mambo yatakuwa salama japo sio Sana ila itakuwa nafuu
Hatua ya kwanza ndio hii kujitoa, yeye si anasema mhimili wake umejichimbia zaidi, sasa atajaza mwenyewe na mhimili wake?
 
CCM waliingiwa na wazimu nini?, hivi ilikuwaje wakampa nchi huyu jamaa?, taarifa zake tunazisikia kutoka vyuo mbalimbali ina maana hata tiss hawakuwa na taarifa hizi
Ndio jambo la kushangaza maana kuna taarifa zake za utata wa uraia wake, shule ya msingi, sekondari, nenda sasa huko unakosema vyuoni taarifa zake sio za kuridhisha hata kidogo, tiss mlikuwa wapi? Au kazi yenu ni nini hasa mbona nchi hii mmeiletea majanga?
 
Mbinu za kudhibiti huo mchezo mchafu ni kususia uchaguzi.
Chadema, Act wamechukua hatua nzuri sana kukataa kubariki uchaguzi haramu uonekane halali, akileta za kuleta na 2020 hakuna kushiriki wajipitishe wenyewe tu wapate ushindi wa kishindo mapimbi hawa.
 
Ila kisheria chama cha siasa ili kiwe chama cha siasa ni inatakiwa kiwe na maono ya kumiliki dola. Kushiriki uchaguzi ni namna ya kuonyesha kua una maono ya kumiliki dola.

Usiposhiriki uchaguzi unakua hauna tofauti na asasi nyingine za kiraia ambazo zinawasemea wananchi.

So kwa hivi vyama kutoshirikia uchaguzi naona wanamrahisishia msajili wa vyama kuvifuta hivyo vyama. Hii ni Political Parties and Election, MSD III.
Tofautisha kushiriki uchaguzi na uchafuzi, huu ni uchafuzi sio uchaguzi.
 
Tofautisha kushiriki uchaguzi na uchafuzi, huu ni uchafuzi sio uchaguzi.
Kwa tafakuri ya kawaida.

Mtu amekua radhi kukuondoa kwakua hukufuata taratibu ambazo hakukwambia. Atashindwa nini kukufuta kama chama kwa kutoshiriki?

Mi naona hiko ndiyo kinachoviziwa.
 
Nchi vipande vipande. CCM inavuna ilichopanda. Tukianza kushughurikiana mitaani sijui moto utazimwaje, soon tutaheshimiana, make hakuna uovu uliowahi kushinda haki
 
Kususa nako kuna kanuni zake, wewe ukisusa, wenzio twala.
.
P
Mnakula kwenye hamna
 
Kwa tafakuri ya kawaida.

Mtu amekua radhi kukuondoa kwakua hukufuata taratibu ambazo hakukwambia. Atashindwa nini kukufuta kama chama kwa kutoshiriki?

Mi naona hiko ndiyo kinachoviziwa.
Hebu afanye aone maana Jiwe karibia anaingia kwenye kumi na nane za mabeberu, watamtwanga one strike.
 
Pascal Mayalla ifikie pahali tuukubali ukweli...wewe unaona haya yaliyotokea ni mazuri?
Kwa nini chama kiogope ushindani huru?
Maaana yake chama hakijiamini.fujo zilizofanywa safari hii ni aibu kubwa..
Pascal hili si swala la kulichukulia juu juu ujue athari zake ni kubwa mno na huenda zikadumu hadi 2025.
Niseme tu kama ni amani ya nchi hii watakaoivuruga ni hiki hiki chama chenye nguvu.
Yaani 2025 mbali hivoo, tufanye maamuzi 2020 tusivumilie mateso mpaka 2025
 
Back
Top Bottom