Chama cha ACT - Wazalendo chajiondoa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Chama cha ACT - Wazalendo chajiondoa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Pascal Mayalla, Utakuwa mjinga hasa kushiriki kwenye kitu ambacho unajua hakina maana kwa sababu hakina matokeo ya maana.

Kwenye udikteta uchaguzi huwa hauna maana na wala huwa hauzai matokeo yoyote chanya. Ni vema kuwekeza kwenye jitihada ambazo unajua unaweza kufanikiwa au kushindwa kuliko kuwekeza mahali ambapo unajua kwa uhakika wa 100% hutafanimiwa.

Hongera sana CHADEMA, hongera ACT. Sasa ni wakati wa kuamua kuwekeza kwenye nini ambako tunadhani tunaweza kupata matokeo chanya.

Report ya TWAWEZA - CCM inapendwa na kuungwa mkono zaidi na watu wajinga. Mipango yoyote ya kuondokana na udhalimu wa CCM ilenge kwenye kutumia akili, na huko CCM kwa kuwa wengi ni wajinga, ushindi utapatikana.
 
Crocodiletooth,

Kuna uovu mwingi unafichwa na hawa watawala ndiyo maana haya yanafanyika wale wapenzi wa uovu huu manafikiria kuwa mtatawal na kudhulumu haki ya wengine milele.

Haiwezekani hizi kiki za mikopo zitakoma na kwa sababu wanakopa na kujinunulia na kufanya mambo ya kijinga yasiyo na faida kwa watu mwishoe watu wataelewa tu wapiga zumali wataelewa na ndiyo watakuwa wakwanza kuleta fujo.

Ndege na flyover hazina faida kwa watu, zinaongeza ugumu wa masha tu, reli ya zamani wameshindwa kuiboresha na kuitumia kujenga reli mpya mnafikiri itawasaidia mfano Ethiopia. Mikopo italeta hali ngumu sana.

Waueni wanyimeni haki muda utaamua nanyi mtakuwa wadogo sana mbele ya umma wenye njaa ya mahitaji ya msingi.
 
BAHARI J, Kama kuna kosa kubwa unaweza kulifanya wakati wa mapambano ya kudai kiti chochote ni kufuata maelekezo ya adui yako.
 
Rais alisema hataongeza muda wa kukaa madarakani anafuata katiba ilivyoandikwa. angalia Katiba iliyonayo kama ndio alionao judge.
 
Pamoja na changamoto ndogo ndogo CCM tutashiriki uchaguzi kwani ni haki yetu kikatiba hatutawasikiliza vibaraka wa mabeberu aslani
 
Ndio jambo la kushangaza maana kuna taarifa zake za utata wa Uraia wake, shule ya msingi, sekondari, nenda sasa huko unakosema vyuoni taarifa zake sio za kuridhisha hata kidogo, TISS mlikuwa wapi? Au kazi yenu ni nini hasa mbona nchi hii mmeiletea majanga?
ndio maana yule afisa wa mwanzo tulimwondoa.
 
Report ya TWAWEZA - CCM inapendwa na kuungwa mkono zaidi na watu wajinga. Mipango yoyote ya kuondokana na udhalimu wa CCM ilenge kwenye kutumia akili, na huko CCM kwa kuwa wengi ni wajinga, ushindi utapatikana.
Please take time unisome hapa

P
 
Pascal Mayalla,

Jiongeze
Nd.Pascal umekosea sana,kiuchambuzi,Watanzania si wajinga kamwe wala si mbumbumbu tena,labda wachache tu tena si kwa kukosa elimu bali kwa uchu wa madaraka.
Kama CCm ingelikuwa na mtaji wa watu ,wasingeli fanya mkakati huu wa kuiba kura,
Tena wasingelitumia mbinu za kukamata,kuuwa,na kuzuia upinzani kufanya mikutano au kampeni.
Hii inaonesha wazi kuwa CCm imekwisha,sasa wanatumia zaidi nguvu za dola na fedha nyingi kuwarubuniwatanzania,hasa wapinzani dhaifu.[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom