Ni rahisi kuifanya chato kuwa Dubai kuliko kuuwa upinzani kama ilivo ngumu kuhamia dodoma kivitendokauli yake ilisikika hivyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni rahisi kuifanya chato kuwa Dubai kuliko kuuwa upinzani kama ilivo ngumu kuhamia dodoma kivitendokauli yake ilisikika hivyo!
Hakika umenena Mkuu.Kikwete na mkapa ndio waloinajisi ikulu yetu kwa kutuwekea chukizo la uharibifu
sijamuona mtu humu!Kuna wapu mbavu WA lumumba waupita tu huu uzi kama waliokuwa hawajuona.
Mh. alisema wazi bila kificho kuwa atahakikisha upinzani unakufa. Sasa upinzani umewarahisishia kazi ya ku-uua. Bado mnataka uwepo kwenye uchaguzi!, mbona mnatuchanganya! Mnataka nini hasa?
Hana la kuongea maana tayari bosi wake kesha maliza kila kituBashiru kaongea nini?
Bado hakunywa damu za wapinzani, wanamkwepaAnataka wamchalenji afu awapige/ue ! Jamaa anaroho mbaya sana! Anaumia sana akiona wapinzani hawapati misukosuko!
Mi mke wangu nimemtuma kachukua kadi ya ccm akitoka kwenye vikao vyao ananiibia siri nami nawapelekea CDM, miccm bado inakenua eti imeongeza wanachama wengi, pumbavu kabisaHajaua upinzani Bali kaua vyama vya upinzani,Bali upinzani kama upinzani unaishi ndani ya mioyo ya watanzania hivo kuuua lazima aue mtu ndo atakuwa kaua upinzani.
Aaah sawa, hivi siku nae huyu akiwa msaliti itakuwaje?Anataka kushindana na hii akili kubwa , amechemsha !
View attachment 1258536
Kwa jinsi anavyo ona utamu wa kuweka ndani wenzake sijui kama akiachia kiti watu wataheshimu katiba kifungu cha kutoshitaki wastaafu. Yale ya Chiluba yata jirudia hapaWamestuka angewaweka ndani wote hadi uchaguzi mkuu upite,kama aliwezabomoa nyumba za watu nini kuwaweka ndani.
Ya chiluba yatajirudia Maisha ni upepo.Atazamae kesho atembei gizaniKwa jinsi anavyo ona utamu wa kuweka ndani wenzake sijui kama akiachia kiti watu wataheshimu katiba kifungu cha kutoshitaki wastaafu. Yale ya Chiluba yata jirudia hapa
Mnajenga mtakachokuja kukibomoa kwa mikono yenu ha ha ha ha
Tunataka roho zao!Mh. alisema wazi bila kificho kuwa atahakikisha upinzani unakufa. Sasa upinzani umewarahisishia kazi ya ku-uua. Bado mnataka uwepo kwenye uchaguzi!, mbona mnatuchanganya! Mnataka nini hasa?
Mbowe ana hekima na akili nyingi kupindukia,Anataka kushindana na hii akili kubwa , amechemsha !
View attachment 1258536
Ni kweli mkuuWanavyosema muuaji hana akili mnadhani huwa wanatania ?
Na tena si mtu mmoja, aue nyumba hadi nyumba na idadi ifikie watu mil 20,na hataweza atakuwa ameuawa yeyeHajaua upinzani Bali kaua vyama vya upinzani,Bali upinzani kama upinzani unaishi ndani ya mioyo ya watanzania hivo kuuua lazima aue mtu ndo atakuwa kaua upinzani.
Kabisa !Mbowe ana hekima na akili nyingi kupindukia,
Eti ataua upinzani,namshangaa sana.Na tena si mtu mmoja, aue nyumba hadi nyumba na idadi ifikie watu mil 20,na hataweza atakuwa ameuawa yeye