Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,577
Kuanzia kesho huko Bongo jina linabadilika na wataanza kuitwa JK BOYZ .
Hilo ndilo huwa linanikera eti wakishindwa Taifa Stars ,wakishinda JK boyz, hatuna kitu kinachotuunganisha kama Taifa , ila kila mahali ni siasa tuu.
Hilo ndilo huwa linanikera eti wakishindwa Taifa Stars ,wakishinda JK boyz, hatuna kitu kinachotuunganisha kama Taifa , ila kila mahali ni siasa tuu.