Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Hivi kwanini mtu u act.

Why tu usijiamini. Harafu wasilolijua huwa tuna appreciate sana mtu anayejiamini. Kuna viti vingi vinaweza pelekea mtu akupende. Si lazima uact
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Mabaharia okoeni jahazi litazama
 
avatar tu
Ok, Ila kusema ukweli huyo mrembo wa kwenye hiyo avatar yako ni mkali vibaya sana unaweza ukajikuta unahonga nyumba na gari.
 
Hili kama tusi hivi!?
 
Kwa haya maelezo najua ulishapiga bila kugonga helmet.
 
We ulishawah tongozwa kwa ushauri wa ushimen uliouona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…