Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Hata serikali wakati mwingine huwa inafanya uwekezaji wa hasara. Kwajifunze kukabiliana na hali mbalimbali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Heeeh.. kwani tumeachana lini mbona una babe mwingine?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ we ndio bebi wa kumoyo, usipagawe na maneno ya kizushi wengine tia maji tia maji tu. Af unajua deep venye nakufeel msupu wangu!
 
Hahahahahah
Mkuu tabia ni muhimu kuwa nzuri, but hayajakukuta
 
Hivi kwanini mtu u act.

Why tu usijiamini. Harafu wasilolijua huwa tuna appreciate sana mtu anayejiamini. Kuna viti vingi vinaweza pelekea mtu akupende. Si lazima uact
Sio acting mkuu ni strategies tu, which means kila aina ya chick kuna strategies zake ambazo wazee wakazi tunazitumia, bila hivo hizi papuchi utaendelea kuziona kwa wanyama wa kufuga tu na kuvizia watoto wanaoogeshwa nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…