Aaaa aaaa.Nilikutana na chombo wakati huo nikiwa kijana pichani mtu wa maana. Tulipoonana, demu ni mfupi ingawa si sana na mnene. Yaani alivaa shanga lakini pale kiunoni akilala chali hqzionekani sababu ya minyama uzembe.
Sura ni yenyewe ila umbo dah. Mi napenda wanawake warefu wembamba. Mbaya zaidi ananuka mdomo. Nilimla kwa tabu asubuhi huyooo ndukii.
[emoji23][emoji23][emoji23] umenifanya nikajiangalie kwenye kioo na chunusi zanguDem kwenye pcha anaonekana na sura soft ukikutana nae sasa sura ina chunusi kama fenesi
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we ndio bebi wa kumoyo, usipagawe na maneno ya kizushi wengine tia maji tia maji tu. Af unajua deep venye nakufeel msupu wangu!
AiseeeWananiiba kwa software ila kwa hardware bado, wanajaribu kunihack tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila password zako kali mpenzi!
Msitutishe bhana...tutaendelea kutongoza.Utashangaa mtu hajawahi kukuona, avatar umeweka sio wewe lakini bado anakutongoza.
Ngoja niwarahisishie
1. Mzoee mtu hata kama lengo lako kumtongoza
2. Mkishazoeana mtahamia kwingine ambako kwa kuwa anakuchukulia rafiki hatafake hats kama ni picha zitakua ni yeye
3. Ukiona amekidhi vigezo sasa funguka
Hii tongoza tongoza IPO siku watakuja kutongoza wanaume wenzao mi nawaangaliaga tu
Endeleeni ila mjue kuna watu mnawaumizaMsitutishe bhana...tutaendelea kutongoza.
Ila nimecheka saana.Endeleeni ila mjue kuna watu mnawaumiza
We Cheka tuIla nimecheka saana.
Hayajawahi kukuta?
Ila pia na wanawake mnatukimbia sio sie tu.We Cheka tu
Morning bebz, usipate shida sie hatupo level hizo bana. Naona umeanza kuhisi vibaya, u know whats gonna happen this December. Dont sweat it!Aiseee
Acheni kutongozana PMIla pia na wanawake mnatukimbia sio sie tu.
Khaa ngoja moyo wangu utulie kwanza maana hapa unaruka kichurachuraMorning bebz, usipate shida sie hatupo level hizo bana. Naona umeanza kuhisi vibaya, u know whats gonna happen this December. Dont sweat it!
Tulizana mama, cheki nyimbo ya Mr.Paul-Nakuzimia ina ujumbe wangu kwako bebi!Khaa ngoja moyo wangu utulie kwanza maana hapa unaruka kichurachura
Sikumbuki
Hujaamua kukumbuka.Sikumbuki
Tulizana mama, cheki nyimbo ya Mr.Paul-Nakuzimia ina ujumbe wangu kwako bebi!
Hiyo ndio shida ya watu kutongoza vivuli, wengine naweza kuwazaa kabisa wanajitia kushusha mistari nawachekii nasema hiiiiHujaamua kukumbuka.
Kwa hiyo unamaanisha mtu akijidai kukutongoza hapa ni kazi bure hukubali mtu asilani?Hiyo ndio shida ya watu kutongoza vivuli, wengine naweza kuwazaa kabisa wanajitia kushusha mistari nawachekii nasema hiiii
Sasa mbona unanichimba DabyKwa hiyo unamaanisha mtu akijidai kukutongoza hapa ni kazi bure hukubali mtu asilani?