Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Aaaa aaaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we ndio bebi wa kumoyo, usipagawe na maneno ya kizushi wengine tia maji tia maji tu. Af unajua deep venye nakufeel msupu wangu!
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Msitutishe bhana...tutaendelea kutongoza.
 
Morning bebz, usipate shida sie hatupo level hizo bana. Naona umeanza kuhisi vibaya, u know whats gonna happen this December. Dont sweat it!
Khaa ngoja moyo wangu utulie kwanza maana hapa unaruka kichurachura
 
Hiyo ndio shida ya watu kutongoza vivuli, wengine naweza kuwazaa kabisa wanajitia kushusha mistari nawachekii nasema hiiii
Kwa hiyo unamaanisha mtu akijidai kukutongoza hapa ni kazi bure hukubali mtu asilani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…