Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Tumia hiyo bodabodašNipande basi la nini tena wakati bodaboda ninayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia hiyo bodabodašNipande basi la nini tena wakati bodaboda ninayo
Na ndiyo maana ya maendeleo kwa wote! Big up sana Mkuu!!Toeni changamoto ili zitatuliwe
Usijali achaa kwanza waanze na sit hizo ili kadri siku zinavyokwenda soko litawaongoza nini cha kufanya kwendana na soko!!Bwana wewe tulishatoka huko kwenye 3x2 sasa ni two by two. Sasa sii bora nipande basi kuliko hiyo miminyano
Kutoka twitter kwa Somebarry1. Upande wa ticket SGR wameshindwa, unakata online ukifika station unapanga bonge la foleni kuprint ticket.
2. Wanayoyaita mabehewa ya VIP wala sio VIP, tofauti yake na 'economy class' ni mpangilio wa siti tu 2x2 vs 3x2.
3. 'Mashine za kuscan ticket' upite hazifanyi kazi.
Hizo changamoto zitatatuliwa tu tuwatie moyo ni mwanzo mzuri.1. Upande wa ticket SGR wameshindwa, unakata online ukifika station unapanga bonge la foleni kuprint ticket.
2. Wanayoyaita mabehewa ya VIP wala sio VIP, tofauti yake na 'economy class' ni mpangilio wa siti tu 2x2 vs 3x2.
3. 'Mashine za kuscan ticket' upite hazifanyi kazi.
Emirates Airways ipo ya seat 3-4-3, yaani row moja ina siti kumi. Sasa sijui nako huko mlishatoka muda mrefu!Bwana wewe tulishatoka huko kwenye 3x2 sasa ni two by two. Sasa sii bora nipande basi kuliko hiyo miminyano
Mie mambo ya ndege nayajulia wapi ndugu yangu....ndio kwanza wanifungua macho. Kumbe ndage nazo kama daladala tuuEmirates Airways ipo ya seat 3-4-3, yaani row moja ina siti kumi. Sasa sijui nako huko mlishatoka muda mrefu!
View attachment 3020572
Ukitaka kujua train za wenzetu angalia hii ya Ethiopia kuanzia dakika 4:25 utaelewa sana1. Upande wa ticket SGR wameshindwa, unakata online ukifika station unapanga bonge la foleni kuprint ticket.
2. Wanayoyaita mabehewa ya VIP wala sio VIP, tofauti yake na 'economy class' ni mpangilio wa siti tu 2x2 vs 3x2.
3. 'Mashine za kuscan ticket' upite hazifanyi kazi.
Kupanda basi haitatatua tatizo..!Panda basi.
Muhimu ni space hata kwenye ndege za majuu 3Ć2 ipo bado.Eeh! Yaani karne hii bado kuna usafiri wa 3 x 2?!!! Aisee hapo tumebugi
Shauri yakošKupanda basi haitatatua tatizo..!...
Mbona ndege zina 2x3x2, 3x3 nk na hatulalamiki?Eeh! Yaani karne hii bado kuna usafiri wa 3 x 2?!!! Aisee hapo tumebugi
Ndege na mie wapi na wapi mzeya...hayo ndio nayasikia leoMbona ndege zina 2x3x2, 3x3 nk na hatulalamiki?
Ushawahi kupanda AIRBUS au Dreamliner?Kuna mpaka six by three au fouršEeh! Yaani karne hii bado kuna usafiri wa 3 x 2?!!! Aisee hapo tumebugi
Jamani eeh mie ndege sijawahi kupanda....hivyo haya mambo ndio mnanifugua machoUshawahi kupanda AIRBUS au Dreamliner?Kuna mpaka six by three au fourš
š¤£š¤£š¤£š¤£ si tunaangalia kwa picha mkuu!Ndege na mie wapi na wapi mzeya...hayo ndio nayasikia leo