Changamoto wanazopitia vijana wetu mpaka wanakuja na kampeni za kataa ndoa

Changamoto wanazopitia vijana wetu mpaka wanakuja na kampeni za kataa ndoa

Wakataa ndoa
FB_IMG_1676710902029.jpg
 
Pitia na hapa kwanza kisha urudi hapa tuendelee, naomba usome comment za page zote
Msimamo ni uleule ndoa itabaki kua ndoa kinachotufelisha ni kutofuata taratibu zake ndio mtokeo ya vilio vyote hivi
 
salam wakuu, hii debate mimi ni mfatiliaji mzuri tu na huwa napenda kuona mawazo ya watu kuhusu kuingia kwenye ndoa na kukataa ndoa.

sasa mambo yamefika kubaya na majibu sijapata binti anataka ndoa au kama sivyo tusipate mtoto na tusiishi pamoja tuendelee tu na kusuguana.
View attachment 2528279

nawasilisha wakuu, hii imenitokea mda huu huu naombeni mawazo.
@National Anthem
fundi bishoo
Santos06

Hapo vipi [emoji17]
 
salam wakuu, hii debate mimi ni mfatiliaji mzuri tu na huwa napenda kuona mawazo ya watu kuhusu kuingia kwenye ndoa na kukataa ndoa.

sasa mambo yamefika kubaya na majibu sijapata binti anataka ndoa au kama sivyo tusipate mtoto na tusiishi pamoja tuendelee tu na kusuguana.
View attachment 2528279

nawasilisha wakuu, hii imenitokea mda huu huu naombeni mawazo.
Ushamba hu au Limbukeni sio kingine
 
salam wakuu, hii debate mimi ni mfatiliaji mzuri tu na huwa napenda kuona mawazo ya watu kuhusu kuingia kwenye ndoa na kukataa ndoa.

sasa mambo yamefika kubaya na majibu sijapata binti anataka ndoa au kama sivyo tusipate mtoto na tusiishi pamoja tuendelee tu na kusuguana.
View attachment 2528279

nawasilisha wakuu, hii imenitokea mda huu huu naombeni mawazo.
Huo mtego wa ndoa boss we endelea kula mbususu tu hata mahali usilipe Hamna pisi apo
Ogopa sana mwanamke anaefosi ndoa😀😀. Ukishamuoa utaona rangi zake zote
 
"Ile sauti uisikiayo ndani ya moyo wako ndiyo inaitwa kweli" Fid Q.

Ukitaka kusikia maoni ya watu hapa utaondoka kapa. Maana miluzi itakuwa mingi Sana.
mimi ni muumini wa non-directional hypothesis. mkuu. japo nna yangu kichwani kama ulivyosema but napenda kujifunza na kuongeza kitu kidogo. thank u mkuu kwa ushauri.
 
Back
Top Bottom