Kataa ndoa 😂 hujajibu hoja zao, kichaka unachotumia cha ushoga hakina mashiko, kwa sababu watu hawapingi kuoa, bali wanakataa ndoa! Wapo watu wameoa na hawafungi ndoa 😂
Hatupingi kuo tunakataa ndoa😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kataa ndoa 😂 hujajibu hoja zao, kichaka unachotumia cha ushoga hakina mashiko, kwa sababu watu hawapingi kuoa, bali wanakataa ndoa! Wapo watu wameoa na hawafungi ndoa 😂
Mtu aliyeoa huwezi mkuta hapo, hao watakuwa wanandoa hao na stress za ndoaWakataa ndoaView attachment 2521438
Msimamo ni uleule ndoa itabaki kua ndoa kinachotufelisha ni kutofuata taratibu zake ndio mtokeo ya vilio vyote hiviPitia na hapa kwanza kisha urudi hapa tuendelee, naomba usome comment za page zote
Mada maalum kwa wanandoa
Ni siku nyingine tena imepita, tumerudi salama majumbani mwetu, kuungana tena na wapendwa wetu, familia na watoto pia. Baadhi yetu hatujarejea, tuko mishe na viti virefu, baadhi tuna sababu za msingi na nyumbani wanafahamu na tumewapa taarifa, wanatusubiri watupokee kwa upendo, kwa furaha kwa...www.jamiiforums.com
@National Anthemsalam wakuu, hii debate mimi ni mfatiliaji mzuri tu na huwa napenda kuona mawazo ya watu kuhusu kuingia kwenye ndoa na kukataa ndoa.
sasa mambo yamefika kubaya na majibu sijapata binti anataka ndoa au kama sivyo tusipate mtoto na tusiishi pamoja tuendelee tu na kusuguana.
View attachment 2528279
nawasilisha wakuu, hii imenitokea mda huu huu naombeni mawazo.
Ushamba hu au Limbukeni sio kinginesalam wakuu, hii debate mimi ni mfatiliaji mzuri tu na huwa napenda kuona mawazo ya watu kuhusu kuingia kwenye ndoa na kukataa ndoa.
sasa mambo yamefika kubaya na majibu sijapata binti anataka ndoa au kama sivyo tusipate mtoto na tusiishi pamoja tuendelee tu na kusuguana.
View attachment 2528279
nawasilisha wakuu, hii imenitokea mda huu huu naombeni mawazo.
Nimefika boss ngoja nikae na halmashauri ya ubongo wangu tuchakate hili suala lako
me nimemtel nimtolee mahali but ndoa tuwait hata mwaka au miaka miwili, ili tufocus na kukuza biashara, i know mkishafunga ndoa wazazi wake nao umefunga nao so utulivu utakosekana mapema sana.
kivipi mkuu, nipe mawazo yako.Ushamba hu au Limbukeni sio kingine
Huo mtego wa ndoa boss we endelea kula mbususu tu hata mahali usilipe Hamna pisi aposalam wakuu, hii debate mimi ni mfatiliaji mzuri tu na huwa napenda kuona mawazo ya watu kuhusu kuingia kwenye ndoa na kukataa ndoa.
sasa mambo yamefika kubaya na majibu sijapata binti anataka ndoa au kama sivyo tusipate mtoto na tusiishi pamoja tuendelee tu na kusuguana.
View attachment 2528279
nawasilisha wakuu, hii imenitokea mda huu huu naombeni mawazo.
FactsHuo mtego wa ndoa boss we endelea kula mbususu tu. Hamna pisi apo
Ogopa sana mwanamke anaefosi ndoa[emoji3][emoji3]
kweli mkuu kama umenifungua kitu.Huo mtego wa ndoa boss we endelea kula mbususu tu hata mahali usilipe Hamna pisi apo
Ogopa sana mwanamke anaefosi ndoa😀😀. Ukishamuoa utaona rangi zake zote
mimi ni muumini wa non-directional hypothesis. mkuu. japo nna yangu kichwani kama ulivyosema but napenda kujifunza na kuongeza kitu kidogo. thank u mkuu kwa ushauri."Ile sauti uisikiayo ndani ya moyo wako ndiyo inaitwa kweli" Fid Q.
Ukitaka kusikia maoni ya watu hapa utaondoka kapa. Maana miluzi itakuwa mingi Sana.