ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Daah mwanamke ubongo mdogo kweli. Usikute hata tofali au balbu hajawahi nunua kwenye hiyo nyumba. Amemletea mzigo tu Dr wa watu. Alafu hawa wanawake nani aliwadanganya kwamba wakiolewa wanolewa na Yesu!!???Wanawake wenyewe ndio hawa?View attachment 2513369
Hakunaga kitu kinaitwa parfect husband!!??
Tunavumiliana tu hivyo hivyo
Ukiolewa kubali Ku surrender baadhi ya haki ili kulinda ndoa.
Sometime naanza kuelewa watu wanaokataa ndoa