Changamoto wanazopitia vijana wetu mpaka wanakuja na kampeni za kataa ndoa

Changamoto wanazopitia vijana wetu mpaka wanakuja na kampeni za kataa ndoa

Kwa hiyo hawa vijana wavivu wanachotaka ni kudinyana tu na kusepa?
Huku ni kukimbia majukumu jambo ambalo halikubaliki katika dunia ya wastaarabu.
Mtadinyana na kusepa, je matokeo ya kudinyana kwenu kwa maana ya watoto watatunzwa na nani na wapi?
Ndoa ni kujenga familia, huwezi kataa maisha ya familia ukawa salama hasa baada ya miaka 50.
Ndio maana siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la wanaotembea barabarani wakiongea wenyewe. Huu ni ugonjwa wa ukichaa unaosababishwa na mvurugano wa asili kutotunzwa kwa kulindwa.
Watoto tunao na tunawatunza vema sana, hata hao wanawake tunao na wengine tunaishi nao ila issue ya kuoana wasahau.
Mwanamke ni kiumbe bora sana kabla ya ndoa.
2023 #KATAANDOA
 
Tuwafunze watoto wa kiume wajitegemee jamani hizi aibu za rejareja hizi ukumbini[emoji848][emoji2212][emoji2212][emoji2212]...... Wanaume wenzangu hii haapna
 
Sehemu ya pili
2.MALEZI kwenye makuzi
Kutokana na utandawazi maendeleo ya tech na harakati za maisha siku hizi wazazi hawana muda wa kukaa na vijana wao na kuwapa ABC za maisha ukikuta familia imekaa pamoja basi kama sio wakati wa chakula basi ni kuangalia tv nk
Maisha ya sasa pia hayatoi nafasi kwa vijana kushiriki shughuli za kujijenga kimwili na kiakili, uwajibikaji nk.. Wazazi, watoto wote wako busy kutafuta maisha na muda kidogo unaopatikina basi unaishia kwenye starehe na mambo yasiyojenga uwajibikaji wala ukomavu wa akili, maono na mitazamo

3. Uchumba wa muda mfupi, ndoa katika umri mdogo, ndoa bila kujiandaa
Kampeni kubwa ya kataa ndoa mifano yake inasababishwa pamoja na mengineyo lakini na hayo hapo juu

Ndoa si kitu cha kukimbilia ni jambo la kuleta muunganiko wa kudumu wa kihisia maono na mapenzi.. Hivyo uchaguzi wa mwenza sahihi sio jambo la dharura
Japo kuna mengine yatagundulika mbele ya safari, lakini walau kaa na mtu si chini ya miaka mitatu, ukichukua muda wa kutosha kumchunguza kwenye kila kitu
Hisia zake kwako
Mapenzi yake kwako
Utayari wake kwako
Maono yake
Kiwango chake cha akili, maarifa na ufahamu
Hamu zake
Tamaa zake
Madhaifu yake nknk
Unaenda mbele zaidi kwa kuangalia background yake hasa kupitia familia yake, ndugu zake jamaa na marafiki

Haya mambo yote yanakuhitaji muda wako wa kutosha tuu.. Usiamini kwa asilimia mia yote anayokuambia kuhusu yeye! Mchunguze mood yake ukiwa huna, ukiwa na stress ukiwa unazo ukiwa na furaha nknk
Vijana wengi hukimbilia ndoa katika umri mdogo.. Ndoa katika umri mdogo nyingi huvunjika baada ya muda mfupi

Ndoa inataka maandalizi hasa na kutambua baadhi ya mambo ya msingi
Unaoa binadamu na sio mnyama wa kufuga ama mdoli..
Uchumba ni tofauti kabisa na ndoa
Mtashare sasa chumba kimoja, kitanda kimoja, nyumba moja kila siku.. Mtaonana kila usiku mnataka hamtaki
Passion of love ikiisha mnabaki na hisia zenyu halisi na hapo sasa ndio ndoa inaanza rasmi
Unaanza kuyaona mapungufu ya mwenzako
Unaanza kumchoka
Unaanza kujilaumu nknk.. Wengi hushindiwa hapa na kukimbilia mitandaoni kulaumu na kuomba ushauri kwa wasio wana ndoa ama walioshindwa kwenye ndoa zao

Ndoa ni ya wawili tuu wa tatu ni Mungu wa nne ni shetani.. Ndani ya hiyo cycle wengine wooote hawahusiki kabisa na kama wakihusika wana mipaka yao

Mwisho wa sehemu ya pili.. Nitaendelea sehemu ya tatu
Unajidhalilisha sana kwenye huu uzi. Mambo mengine acha yapite tu.
 
Ndoa ni njia ya maisha ya Mungu na yenye baraka kwa mwanamume na mwanamke kuwa waaminifu kwa kila mmoja wao, kuzaa, kuzaa watoto, na kuwalea na kuwalea kwa utukufu wa Mungu. Ndoa ni muhimu ili wanaume na wanawake waweze kuishi maisha safi na yenye adabu ndani ya agano la ndoa.

Kukataa ndoa ni kukataa agano la kiimani hasa kwa waamini na waumini..akataaye ndoa kama hana shida za kimtazamo basi ana shida za kiroho ama la za kimaumbile lakini kwa kukosa ujasiri wa kuziweka wazi atakimbilia sababu zingine zisizo na mashiko kabisa na baadhi ni za kitoto mno
 
Kama ni mwanamme wa Dar anakataa ndoa nitamwelewa maana wengi wao ni mashoga tu au wanaume batili (walioishiwa nguvu za kiume). We umeona wapi mtu anamuomba mwanamme mwenzake amvunjie biskuti? Wanaume wa Dar bwana, basi tu.
 
Kama ni mwanamme wa Dar anakataa ndoa nitamwelewa maana wengi wao ni mashoga tu au wanaume batili (walioishiwa nguvu za kiume). We umeona wapi mtu anamuomba mwanamme mwenzake amvunjie biskuti? Wanaume wa Dar bwana, basi tu.
 
Married people are both responsible for and responsible to another human being, and both halves of that dynamic lead the married to live more responsible, fruitful, and satisfying lives. Marriage is a transformative act, changing the way two people look at each other, at the future, and at their roles in society.

Hooligans don't know about it[emoji23]
 
MIMI NA KATAA NDOA KWA SABABU HIZI:
1. Ndoa nyingi hazina sifa ya zile alizokusudia Mungu. Na ndio maana Kuna anguko la ndoa nyingi/talaka Kwa sbb Mungu hahusiki.kama alicho kiunganisha Mungu,binadamu hawezi kutenganisha Sasa mbona talaka zimekuwa nyingi? Mungu kashindwa kazi?. Mahakama za mwanzo kila siku zinatengua alicho unganisha Mungu.
2.kukosekana uaminifu, kama Binti anatembea na waume za wengine watatu wanne watano. Anawezaje Kuwa na imani na mume wake?.Ni vijana wangapi Wanafanya 'matusi' na wake za wenzao?. Sasa nawezaje kikilia kuoa wakati mke atakuja kutiwa na wengine?. Sasa sababu za kuoa ni zipi hapo, unaoa mwanamke na alikuwa na anakuwa ni Mali ya umma.
3.Harakati za kumuinua mwanamke.Wengi Wanafanya karakati hasi na mbaya dhidi ya mwanaume.Mwanaume anaonekana ni mbaya, katili, mnyama, muaji Shetani, mbwa. Kesi nyingi za mahusiano mwanamke anasililizwa zaidi, bila kusikiliza ya upande wa pili.Ni kana Kwamba mwanaume ukioa basi unakuwa Shetani na sifa zake Zote, mwanamke akiolewa basi yeye ni mtakatifu mama wa Mungu asiye na mawaa.
4.Mapokeo toka nje, Tumepokea agenda za usawa wa jinsia, sina pingamizi.Lakini tumepokea na agenda chafu zaidi. Agenda za 50 50 ndio hizo hizo zimekuja na ushoga. MASHOGA WENGI NI MATOKEO YA HAWA SINGLE MOTHER. KWAMBA KWA SBB MWANAMKE SASA ANA PESA BASI HAITAJI KUISHI NA MWANAUME. YEYE NI WA KUBEBA MIMBA NA KULEA MWENYEWE. WATOTO WANAJIFUNZA KWA KUONA, JE WANAJIFUNZA NINI KWA MAMA KILA SIKU?

ZAMA ZINA KUJA NDOA ZA JINSIA MOJA NDIO ZITAKUWA IMARA ZAIDI KULIKO NDOA HIZI HIZI.

#Kataandoa
 
Inaonekana una uelewa mdogo mno. Sisi tunakataa ndoa ya kanisani/msikitini au Bomani inayompa haki zote mwanamke na watoto na kumpuuza mwanaume. Hatujawahi kupinga mahusiano ya mwanaume na mwanamke.
Binafsi nina watoto na nazichakata mbususu kisawasawa lakini sijawahi na sina mpango wa kuoa kutokana na madhara nnayoyaona kwa ndugu na jamaa wenye ndoa.
Ndoa ni hatari kwa afya
2023 #KATAANDOA
Ukweli unajidhirisha kua upeo wako ni mdogo mno, skiza hakuna ukristo wala uislam unaopendelea mwanamke kwenye ndoa zaidi yakumpa mamlaka mwanaume ya kumtawala mwanamke...

Upumbavu wa sasa mtawala analalamika kuonewa na mtawaliwa, tena kwenda mbali zaidi mtawala anamuogopa mtawaliwa... laana hii jamani...

Skiza we kahaba wa kiume, kubadilisha wanawake si urijali bali ni udhaifu mkuubwa... uanaume ni kukabiliana na majukumu, uaanaume nikutawala, uaanaume ni kutiisha.

Na kuwagongagonga usidhani ni sifa mademu wana siri nyingi juu yetu kuna unazadhani unawakomoa kumbe wanakulinganisha na wanaume waliopita wanakuona boya flani ivi.... wake up USHOGA unakunyemelea
 
Tuwafunze watoto wa kiume wajitegemee jamani hizi aibu za rejareja hizi ukumbini[emoji848][emoji2212][emoji2212][emoji2212]...... Wanaume wenzangu hii haapnaView attachment 2516924
Mwanaume kuomba iphone 14 kwa mwanamke ni jambo la aibu sana.., hapa nakuunga mkono, ni aibu na aibu hasa.., unaombaje kitu alichotakiwa akuomba mwanamke?

Back kwenye mada, hakuna anaekataa kuoa na kujenga familia, hayo tunafanya vizuri sana, ila ndoa hapana, kataa ndoa.
 
Ndoa ni njia ya maisha ya Mungu na yenye baraka kwa mwanamume na mwanamke kuwa waaminifu kwa kila mmoja wao, kuzaa, kuzaa watoto, na kuwalea na kuwalea kwa utukufu wa Mungu. Ndoa ni muhimu ili wanaume na wanawake waweze kuishi maisha safi na yenye adabu ndani ya agano la ndoa.

Kukataa ndoa ni kukataa agano la kiimani hasa kwa waamini na waumini..akataaye ndoa kama hana shida za kimtazamo basi ana shida za kiroho ama la za kimaumbile lakini kwa kukosa ujasiri wa kuziweka wazi atakimbilia sababu zingine zisizo na mashiko kabisa na baadhi ni za kitoto mno
Wanaume waoe, wazae watoto na kujenga familia zao, ila wasifunge ndoa. Ndoa ni kujiingiza kifungoni kwa sababu ya sheria kandamizi zinazotumika mahakamani kuwafilisi na kuwanyonya wanaume.
 
Kama ni mwanamme wa Dar anakataa ndoa nitamwelewa maana wengi wao ni mashoga tu au wanaume batili (walioishiwa nguvu za kiume). We umeona wapi mtu anamuomba mwanamme mwenzake amvunjie biskuti? Wanaume wa Dar bwana, basi tu.
Wanaume Hao wa Dar wanaoa, ila wanakataa ndoa!
 
Ila wazee wa zamani mna mambo nyie...Mentality yenu ipo stagnant kama Policies za French kutawala afrika. Let me break it down for you.

Zamani mlilima hivyo kwakua trekta na plau zilikua chache. Sasa hivi trekta zimejaa tele kwanini tulime kwa jembe la mkono. Teknolojia ya mwaka 10000 BC

Mlitembea hivyo sio kwa kupenda usafiri ulikua shida...kama bodaboda zingekuwepo hata nyie msingetembea umbali huo

Ni uamuzi wa mtu... Organic drink n food zipo. Hata nyie kama Mo energy zingekuwepo mngekunywa. Enzi hizo mlikua mnasafiri kwemda huko ili tu mpate soda.

Tutafanyaje kazi za jasho wakati maisha ya sasa ni tech based kila shughuli zipo ipo computerized. Hata nyie hamkupenda kuzifanya. Sema hamkua na options

Wala hizo sio sababu za kukataa ndoa kabisa. Maisha is about to chabge and adapt. Nyie wazee mnataka tuishi kama tupo karne ya 20.zamani chakula kiliwatosha coz mlikua watu wachache nchini ndo maana kuku wa kienyeji mliweza kusubiri ikae miezi 6. Sasa hivi tuko 60+ unategemea hao kuku watatutosha??? Lazima broiler na GMOs food zihusike.

Acheni kutufosi tuishi maisha yenu nyie wazee hata nyie mliyaishi bila kupenda

Ps. Mimi sipingi ndoa... tena kwa caliber yangu siwezi ishi bila partner so Sikupingi hoja yako ila nakupinga point ulizoweka kutetea hoja yako.
#Ndoa muhimu #Kubali ndoa
Pointi za hovyo sana. Ndo baba anakwambia kipindi tunasoma tunatembea KWA mguu maili10. Sasa baba mbona hilo la kawaida mliweza kuadapt hivyo kwakuwa kulikuwa hakuna alternative nyingine yaani huwa sipendi hizi sababu za kijinga sana😂😂😂mtu mzima kakaa anaona anaandika cha maana ovyo tu
 
Married people are both responsible for and responsible to another human being, and both halves of that dynamic lead the married to live more responsible, fruitful, and satisfying lives. Marriage is a transformative act, changing the way two people look at each other, at the future, and at their roles in society.

Hooligans don't know about it[emoji23]
Married unamaanisha waliooa au waliofunga ndoa? Kuwa specific ili tujibu vizuri
 
Vijana wengi wanakazwa siku hizi,wanasimika hili jambo ili kuzika kabisa maswali dhidi yao kwanini hawaoi wala kuwa na partners.
 
Back
Top Bottom