ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Daah mwanamke ubongo mdogo kweli. Usikute hata tofali au balbu hajawahi nunua kwenye hiyo nyumba. Amemletea mzigo tu Dr wa watu. Alafu hawa wanawake nani aliwadanganya kwamba wakiolewa wanolewa na Yesu!!???Wanawake wenyewe ndio hawa?View attachment 2513369
Hawakatai kuoa, wanaoa na kuzaa na kujenga familia zao, bali wanakataa ndoa!Vijana wengi wanakazwa siku hizi,wanasimika hili jambo ili kuzika kabisa maswali dhidi yao kwanini hawaoi wala kuwa na partners.
Ukweli unajidhirisha kua upeo wako ni mdogo mno[emoji1545][emoji818]Ukweli unajidhirisha kua upeo wako ni mdogo mno, skiza hakuna ukristo wala uislam unaopendelea mwanamke kwenye ndoa zaidi yakumpa mamlaka mwanaume ya kumtawala mwanamke...
Upumbavu wa sasa mtawala analalamika kuonewa na mtawaliwa, tena kwenda mbali zaidi mtawala anamuogopa mtawaliwa... laana hii jamani...
Skiza we kahaba wa kiume, kubadilisha wanawake si urijali bali ni udhaifu mkuubwa... uanaume ni kukabiliana na majukumu, uaanaume nikutawala, uaanaume ni kutiisha.
Na kuwagongagonga usidhani ni sifa mademu wana siri nyingi juu yetu kuna unazadhani unawakomoa kumbe wanakulinganisha na wanaume waliopita wanakuona boya flani ivi.... wake up USHOGA unakunyemelea
Umri unachangiaPointi za hovyo sana. Ndo baba anakwambia kipindi tunasoma tunatembea KWA mguu maili10. Sasa baba mbona hilo la kawaida mliweza kuadapt hivyo kwakuwa kulikuwa hakuna alternative nyingine yaani huwa sipendi hizi sababu za kijinga sana[emoji23][emoji23][emoji23]mtu mzima kakaa anaona anaandika cha maana ovyo tu
jua kuna mlango wa mambo mengne ya ajabu unafunguka taratiiib.[emoji1545][emoji818]Mungu atutangulie tu.
Ukiona had vidume vina pigia debe Mambo ya kua single ambapo wanawake ndio ilikua kariba Yao,
jua kuna mlango wa mambo mengne ya ajabu unafunguka taratiiib.
Rudia kusoma utanielewa[emoji44].
Mtu aliyeoa anakuwaje single sasa? Mtu kaoa na ana watoto, hiyo ni single? Watu hawakatai kuoa, wanakataa kufunga ndoa!Mungu atutangulie tu.
Ukiona had vidume vina pigia debe Mambo ya kua single ambapo wanawake ndio ilikua kariba Yao,
jua kuna mlango wa mambo mengne ya ajabu unafunguka taratiiib.
Rudia kusoma utanielewa😲.
Yeah, waoe, wazae na wajenge familia, ila kwamwe wasifunge ndoa!Wakataa ndoaView attachment 2517322
Wewe ndo unanivuruga kabisaaa.... kwan hofu iko wap?Ndio maana tunashauri wanaume waoe mwanamke mmoja, wazae watoto na kujenga familia zao. Ila wasifunge ndoa, Kataa ndoa!
Hofu ni sheria kandamizi za ndoa dhidi ya wanaume zinazotumika kuwafilisi na kuwanyonya mahakamani! Kataa ndoa! Oa, zaa, Jenga familia, ila usifunge ndoa!Wewe ndo unanivuruga kabisaaa.... kwan hofu iko wap?
Mkuu mshana nmesoma kwa umakin mno , kiufupi tu umemaanisha vijna hawana nguvu za kiume ,je kwanini hao wake zenu ( mashangazi) wanapenda vijana wadogo wa sasa? , Na kwa nini nyie wazamni mlitumia mbinu ya ukeketaji kama njia ya kumtuliza mwanamke kwenye ndoa? Kama mlikua na nguvu za kutosha kwa nini mlitumia njia hii?, Tatu asilimia kubwa ya wakataa ndoa mfano mimi nina mke nipo nae mwaka wa 4 huu , wimbo wake kila sku anataka ndoa , mimi nikamwambia mpka naingia kaburini sitafunga ndoa kama hataki asepe ila naona ndo kwanza yupo apa anatoa manguo yangu machafu niliyosotea kazini wiki nzima[emoji16][emoji16] , mkuu mshana nilitegemea ungetoa matatzo ya hizi ndoa kwa upande wa mwanaume inapotokea ndoa inavunjwa hasara atakazo pata , kiufupi tu bado mkuu mshana unaona wakataa ndoa ni mashoga wakati wakataa ndoa hawajasema wanakataa mwanamke , wao walichokataa ni kufunga ndoa na huyo mwanamke kwa sababu sheria za ndoa sio rafiki ,imewapa viburi mno wanawake zaidi.
Ndoa ni Kwa wanaume tu wenye akili timamu hao wenye shidaa za akili haziwahusu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu ndoa apanaMi ningekuroga ungeoa tu
Miaka minne hutaki ndoa dadeki[emoji35]