KndNo1
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 627
- 2,049
- Thread starter
- #41
Zifahamu hatua halisi za kutoa gari bandariniHello naomba ni tag ule uzi wako wa namna ya kutoa gari bandarini
Huo.. Ila sio wangu..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zifahamu hatua halisi za kutoa gari bandariniHello naomba ni tag ule uzi wako wa namna ya kutoa gari bandarini
Kwa culture ya wajapan hubadili magari kuanzia November mpaka February hapa used car huwa kibaoNi kipindi gani hicho mkuu?
And for that I have no limitation-by Tom"Ac unaganda"
"gari haimjui fundi"
"..yakuwasha nakuondoka"
Ngapi?Gari kuna mzungu anasepa anaenda zake,anataka hela fasta.
Aisee kuna watu mna bahati Jamani Yaani ulinunua Harrier tako la nyani milioni 14, ukaiuza 24mil. Duh!!!, Hongera sana Mkuu.Hata Yale ya yard mengi Yana ujanja ujanja tu, pote ni kubahatisha, gari za mikononi kwa watu unaweza ukapata iliosimama mpka ukashangaaa! Nilinunua matako ya nyani kwa mwarabu mmoja hivi kwa 14.5m nikakaa nayo wiki 2 nikaiuza 24m kwa mtu wangu wa karibu sana na iko imara balaa, mpaka sasa ina km 68,000 haina shida yeyote.
Ni kosa kuandika jina la Muumba wetu kwa herufi ndogo,tumia herufi kubwa "MUNGU" au "Mungu".Herufi ndogo zote "mungu",humaanisha wale wa uongo aka miungu.Duuh mshukur mungu TU Wala sio huyo jamaa
Nilitaka kusema kuhusu hilo. Mie ikiwa na tatizo la kurekebisha kwenye injini narekebisha gari ikigongwa napiga rangi yote. Nashangaa mtu anasema gari haijarudiwa rangi. Kwani kupiga rangi ni kosa? Bongo kuna ukosefu mkubwa sana wa elimuGari haijawahi kufunguliwa engine...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa unajiuliza kama ikiwa inahitaji kubadilishwa head gasket itabadilishwa bila kufungua..
Hahaha yule jamaa kila gari utasikia mi ndiyo mmiliki Halali wa hii gari. Sasa jamaa sijui ana gari ngapi za kwakwe.. wakati tuna mjua ni dalali.Sasa kuna mdau humu JF,Kila gari anayoiuza anasema yake
Gari mpya ikirudiwa rangi thamani itashuka..!Nilitaka kusema kuhusu hilo. Mie ikiwa na tatizo la kurekebisha kwenye injini narekebisha gari ikigongwa napiga rangi yote. Nashangaa mtu anasema gari haijarudiwa rangi. Kwani kupiga rangi ni kosa? Bongo kuna ukosefu mkubwa sana wa elimu
Ngoja nim-tagg kabisa ManumbaSasa kuna mdau humu JF,Kila gari anayoiuza anasema yake
Mimi najiandaa kwenda kuipiga rangi gari kwa mara pili rangi yangu ni rahisi kuweka mikwaruzo yani ukipaki sehemu lazima ukute kuna watu wameshatia scratch...Nilitaka kusema kuhusu hilo. Mie ikiwa na tatizo la kurekebisha kwenye injini narekebisha gari ikigongwa napiga rangi yote. Nashangaa mtu anasema gari haijarudiwa rangi. Kwani kupiga rangi ni kosa? Bongo kuna ukosefu mkubwa sana wa elimu
Dark blue nn.. mana dark blue jau sanaMimi najiandaa kwenda kuipiga rsngi gari kwa mara pili rangi yangu ni rahisi kuweka mikwaruzo yani ukipaki sehemu lazim ukute kuna watu wameshatia scratch...
Kama ulikuwepo mzee inaitwa Dark Blue Mica aisee hata ukichukua kucha ukiscratch inapata scratch..ila ndo rangi nayo ipende...Dark blue nn.. mana dark blue jau sana
Kuna madalali wako humuhumu ni wahuniGari za mkononi hizo.. Dalali anataka ajenge kupitia gari ya Bosi..!
View attachment 2219604
View attachment 2219603