900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
ambao hawawezzi kusubiri usiku wa manane kuamka hawafai kuwa polisiFumo Lina sever za hovyo kabisa.
Hivi sisi Tanzania twaweza Nini ? Hadi hii imetushinda kuomba kazi TU usubiri usiku wa manane kama unaomba KAZI ya kuwanga duuh
mpaka hapa jumla ni 206 ukijumlisha na 4 na 6 tufanye 300 mbona ni wachache sana,ama hawa ni kwa ajili ya kwenda kuchakachua uchaguzi mkuu ujao nini
kwasie wabishi tunakesha nao mpaka kielewekeambao hawawezzi kusubiri usiku wa manane kuamka hawafai kuwa polisi
Tayari mfumo unafanya kazi ila kwasababu ya watu kuwa wengi mfumo unazidiwa, jaribu kuvizia usiku wamananeKwa muda gan na siku zilizoongezwa n tano tu?
Ni tatizo kubwa hilihttps://ajira.tpf.go.tz hata usiku hakuna kitu
Kumbe wew unahusika na haya mambo mkuu😳🙌System is under maintainance,tunaomba muwe na subira wakati tukifanya marekebisho ya mfumo
🤣🤣🤣🤣🤣 iyo n kwa wote mzeeThis site can’t be reached
The connection was reset.
Try:
ERR_CONNECTION_RESET
- Checking the connection
- Checking the proxy and the firewall
- Running Windows Network Diagnostics
kaa kwa kutulia acha kutetea vitu vinavyo tesa watukipenseli2021 kaa na utulie mjomba, unakesha siku ambayo ushaambiwa kabisa leo wapo kwenye under maintainece , unapoteza nguvu nyingi siku ambayo sio sahihi, then the right time waweza jikuta unalala kama nguruwe 😀
soma hii taarifa vizuriView attachment 2992043
Huyu nilim-quote kabla mods hawaja-edit kichwa cha uzi wake.Inatawa aandikaje?
umefanikiwa kuattach vitu vyote leo hii?Jamani msaada. Nimejaza taarifa zote nimechagua job category nieattach barua nimeapply lakini system inanirudisha inaandika you have not applied for any job yet
hii kasi kangu pia ivo ivo nshajaribh sana ila wapi inasema Process FailedJamani msaada. Nimejaza taarifa zote nimechagua job category nieattach barua nimeapply lakini system inanirudisha inaandika you have not applied for any job yet