Mijadala Migumu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 380
- 422
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama utaapply kwa kutumia cheti cha form 4&6 CV haitajiki utatujazia server na kama unavyojua server yetu ni 500gb storege na bandwith 2-3, ila kwa wale certificate, diploma na degree ndio wanaattach cv
hivi mkuu sorry , niliweza kuopen account, iko ok, but nikifika kwenye hiyo sehemu ulo attach nikiweka kwenye kipengele cha 1v inaleta info tu, na nikihaweka zile detail za address, nida etc nikibonyeza nifinish hiyo sehemu niingie kuattach sasa zile documents inagoma (inaandika time out) tangu majuzi, shida ni gani mkuu? help me
Lakin mbona inaanika REQUEST TIME OUT?kama utaapply kwa kutumia cheti cha form 4&6 CV haitajiki utatujazia server na kama unavyojua server yetu ni 500gb storege na bandwith 2-3, ila kwa wale certificate, diploma na degree ndio wanaattach cv
Kwasasa mfumo upo under maintaince kwaiyo kuwa mpoleI
Lakin mbona inaanika REQUEST TIME OUT?
Barua umeattach vp mkuu mbna mm nashindwaMkuu kweli nilifanikiwa Kwa kujaza kidogo kidogo Leo ndio nimekamilisha ku attach barua Kwa mbinde Santa mda SI mrefu hapa
Mkuu mbna umeajiachia details zako Tena😁We umekamilisha kwani maana mi hii ni siku ya tatu nakesha lkn wapi yaan kipengele cha ku upload cover letter na kuchagua mkoa ndio inazingua
Sawa afande🥴🥴System is under maintainance,tunaomba muwe na subira wakati tukifanya marekebisho ya mfumo
Kwa muda gan na siku zilizoongezwa n tano tu?Sawa afande🥴🥴
Kwahyo mpk trh 21 ausioKwa muda gan na siku zilizoongezwa n tano tu?
Ivo yanila cable si zilikatika huko baharini Wakuu, au mshasahau hizo taarifa?
kama naelewa alafu sielewi
Unamaana gani🤪🤪
wamesha tosha
Af Kuna muda hutaki kuelewakama naelewa alafu sielewi
Nawe choma ndaniwamesha tosha
https://ajira.tpf.go.tz hata usiku hakuna kituAmka usiku