Kingpin76
Member
- Feb 22, 2020
- 18
- 12
Nmekwama katka kuchagua ajira mwisho yanUmefanikiwa kuomba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmekwama katka kuchagua ajira mwisho yanUmefanikiwa kuomba.
kwenu uko inafunguka mda huu? maana kwangu toka jana haifunguki ata kidogoNmekwama katka kuchagua ajira mwisho yan
Siku ngapi wameonggezaWameongeza siku
Sasa Server iko Tanzania kwwnye Shida mkuu ujeeumani itasaidia niniDuuuh ad ujerumani naapply👊😅 mbn sas mnatuumiza vijan wa ilala boma
5Siku ngapi wameonggeza
dah watu wamepasua anga hadi Berlini hatari sana hii ajira hali ni teteSasa Server iko Tanzania kwwnye Shida mkuu ujeeumani itasaidia nini
kila mmoja anataka kumiliki check namba,kitaa hali ni ngumu sanaKweli Sasa hivi kumekucha
Zamani polisi na Jeshi ilikuwa ngumu kupata watu.Watu walikuwa wanabembelezwa kujiunga.Sasa hivi Hadi server Ina jam Kwa maombi mengi Kila Mtu anataka kuwa polisi
Wameongeza siku lakini Bado system inanyataSasa tufanyeje ili tufanikiwe
Wametangaza wap kuongezwa sikuWameongeza siku lakini Bado system inanyata
Shida ni system Yao TU ndugu hata sisi wengine tunaipata hiyo page Kwa shida inaload Sana ni kubahatisha tu ndugu Wala akuna ujanja hapohivi mkuu sorry , niliweza kuopen account, iko ok, but nikifika kwenye hiyo sehemu ulo attach nikiweka kwenye kipengele cha 1v inaleta info tu, na nikihaweka zile detail za address, nida etc nikibonyeza nifinish hiyo sehemu niingie kuattach sasa zile documents inagoma (inaandika time out) tangu majuzi, shida ni gani mkuu? help me wakuu🙏
Bungeni waziri masauni kaongeza siku 5 na kama mambo yatakuwa bado mabaya watatoa njia ya kufanyaWametangaza wap kuongezwa siku
Yah ni kweli mkuuBasi nipo za sahihi naona need ishu ya mtandao
Wameongeza siku ngapi?Wameongeza siku lakini Bado system inanyata
Kumbe mnatamani sana kuwa Polisi ila humu mnajifanya mnawapingaKwa upande wa huku dar bado kila ninakoenda watu wengi wanalia mtandao
Kwa upande wa huku Dar bado kila ninakoenda watu wengi wanalia mtandao
TANZANIA POLICE FORCE-RECRUITMENT PORTAL| Published On: | 2024-05-09 21:49:34 |
| Deadline: | 2024-05-16 |
| Education Level: | ACSEE |
| Category: | |
| Location: | |
| Experience: |
We umekamilisha kwani maana mi hii ni siku ya tatu nakesha lkn wapi yaan kipengele cha ku upload cover letter na kuchagua mkoa ndio inazinguaAmka usiku