Makabi Lilepo
Member
- May 28, 2023
- 95
- 148
Mi naona hyo kazi Tungetumia Posta tu kieleweke huko huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole nduguKaka mimi nmestuck kwenye kutuma barua ya maombi
Hatujakuelewa em kuwa open kidogoMfumo hauna shida changamoto za mtandao ni kote. nafasi zenyewe zipo open sana nahisi watapata ma laki ya applications.
Kaka mfumo ndio wenye shida na sio mtandao nilimtumia document jamaa yangu yupo ujerumani akashindwa ku access mfumoMfumo hauna shida changamoto za mtandao ni kote. nafasi zenyewe zipo open sana nahisi watapata ma laki ya applications.
Duuuh ad ujerumani naapply👊😅 mbn sas mnatuumiza vijan wa ilala bomaKaka mfumo ndio wenye shida na sio mtandao nilimtumia document jamaa yangu yupo ujerumani akashindwa ku access mfumo
Ni ajabu Sana hii, how can someone chose to be among of Killers?Because 'working for Killers is a sure way of booking the place in hell.'Hivi unaanzaje kuwa polisi
Mi maonaga ni kazi za watu wasio na chaguo lingineNi ajabu Sana hii, because 'working for Killers is a sure way of booking the place in hell.'
Ni aina ya watu waliopoteza dira na mwelekeo.Mi maonaga ni kazi za watu wasio na chaguo lingine
Sio kweli maan kuna watu wanatoka hadi vyuo wanaenda hukoNi aina ya watu waliopoteza dira na mwelekeo.
Kutoka chuo siyo tatizo, Unaweza ukawa umesoma Sana lakini ukawa haujaelimika. Aidha, Unaweza ukawa umeelimika lakini elimu yako ikawa haijakukomboa.Sio kweli maan kuna watu wanatoka hadi vyuo wanaenda huko
Ndugu watu wanapambana maisha ayajawai kuwa mepesi tumia mbinu zote kama unaweza nenda hata kwa sangoma mfumo ufungukeDuuuh ad ujerumani naapply👊😅 mbn sas mnatuumiza vijan wa ilala boma
Nsaidieni eti kazi ya public relation ipo category ipi maana kila nayoweka inakaa administration, education, communication zote zinasema aiendan
hivi mkuu sorry , niliweza kuopen account, iko ok, but nikifika kwenye hiyo sehemu ulo attach nikiweka kwenye kipengele cha 1v inaleta info tu, na nikihaweka zile detail za address, nida etc nikibonyeza nifinish hiyo sehemu niingie kuattach sasa zile documents inagoma (inaandika time out) tangu majuzi, shida ni gani mkuu? help me wakuu🙏Soma hii attachment
Basi nipo za sahihi naona need ishu ya mtandaoSoma hii attachment
namba ya nida mnaingizaje mbona mi kila nikiingiza naambiwa no record foundBado sijafanikiwa mtandao unasumbua sana
Kama ulfungua sku nyng anza upya mm nlifungua kila kitu lakn baadae tarifa wakasema not found nkiwa na log in so nkanza mojanamba ya nida mnaingizaje mbona mi kila nikiingiza naambiwa no record found
Umefanikiwa kuomba.Kama ulfungua sku nyng anza upya mm nlifungua kila kitu lakn baadae tarifa wakasema not found nkiwa na log in so nkanza moja