Changamoto ya kutuma Maombi ya Ajira Jeshi la Polisi

Changamoto ya kutuma Maombi ya Ajira Jeshi la Polisi

We umekamilisha kwani maana mi hii ni siku ya tatu nakesha lkn wapi yaan kipengele cha ku upload cover letter na kuchagua mkoa ndio inazingua
Hapana, kikawaida kwenye applications kama hivi hia zinazingua sana systems zetu hizi njia rahisi ni hiyo ya kuqmkq usiku na kupambana
 
jaribuni kutumia browser ya firefox,vpn(weka location ya vietnum au algeria) na kama unatumia simu set network prefference 2G,3G,2G/3G/auto usitumie 4G maana wengi wanaofungua huo mfumo prefference zao wanatumia 4G bila kujua inkua ngumu mfumo kukupa upekee(previllage) kama kuna mtu anatumia kalilinux au hacking machine yoyote atumie browserv yandani ya hiyo tool kain azime tpc protocal atumie udp
 
jaribuni kutumia browser ya firefox,vpn(weka location ya vietnum au algeria) na kama unatumia simu set network prefference 2G,3G,2G/3G/auto usitumie 4G maana wengi wanaofungua huo mfumo prefference zao wanatumia 4G bila kujua inkua ngumu mfumo kukupa upekee(previllage) kama kuna mtu anatumia kalilinux au hacking machine yoyote atumie browserv yandani ya hiyo tool kain azime tpc protocal atumie udp
Ko tunaotumia crome haifai?
 
Ko tunaotumia crome haifai?
inafaa ila inatakiwa uangalie browser ambayo watumiaji sio wengi ili server izingatie(privalage) request yako kwakua saizi na uhakika 80% wanatumia chrome jaribu kubadili browser kunifanya server itofautishe request yako na zungine
 
Nimejaribu firefox naona bado nzito sasa ipi unahisi itakuwa nyepesi mkuu
inafaa ila inatakiwa uangalie browser ambayo watumiaji sio wengi ili server izingatie(privalage) request yako kwakua saizi na uhakika 80% wanatumia chrome jaribu kubadili browser kunifanya server itofautishe request yako na zungine
 
Naomba aliyepo karibu na jeshi la polisi mfumo wa ajira portal unafaa sana. Waelekeze maombi yote yatumwe kwa ajira portal kama single documents halafu watachuja wao
Huu mfumo umezidiwa
 
Amna kitu mzee nimefanikiwa kumuombea mtu mmoja kwa mbinde Sana yaonekana ana bahati Sana huyu.kwa hii hali wataongeza siku assume hii sasa ni saa 01:31 usiku lakini mfumo haufunguki Sasa watu wafanze nini
Yaani ni balaa, nimejaza pote, nimeweka CUVER LETER nime CHOOSE LOCATION, lakini ukubonyeza APPLY FOR JOB, inaload mda kidogo then inaandika (REQUEST TIME OUT) (saver time out waiting for the HTTP request from the client) yani nimeshajaribu sana, nmeshadamka sana usiku lakin wapi😲
 
Yaani ni balaa, nimejaza pote, nimeweka CUVER LETER nime CHOOSE LOCATION, lakini ukubonyeza APPLY FOR JOB, inaload mda kidogo then inaandika (REQUEST TIME OUT) (saver time out waiting for the HTTP request from the client) yani nimeshajaribu sana, nmeshadamka sana usiku lakin wapi😲
Ku choose location kwenu ikoje hii?
Mbona mm kuja options mbili tu Tz bara na Znz nchague moja?
 
Back
Top Bottom