Changamoto ya ulevi: Jinsi inavyoumiza familia na jamii

Unaongea nini wewe? Huyu ndugu yangu aliyekufa mwaka jana kwa maradhi mabaya ya ini alikua bingwa wa kumaliza bapa za konyagi na kipindi cha sikukuu akija ilikua friji nzima inajaa bia za kila aina.Amekufa tumemsahau,sasa wewe unaongea nini hapa? Una uhakika gani kua ini na figo zako ziko salama? Nikuulizwe swali jingine moja la msingi,kwanini pombe haipo katika nutritional guide?Jibu.
 
Hiyo 'Paragraph' ya mwisho hapo ulipoandika tu neno 'mpendwa' nikajua chuki yako kwa walevi iko namna gani! Shikilia tu unachoamini, haya maisha mengine waachie wengine. Figo ni zao, utimamu wa hovyo ni wao, pia pesa ni zao!
 
Ni mzuri na mbaya pia
What a joke! Yaani pombe ni nzuri halafu tena ni mbaya pia? Hahaha umeona jinsi ulivyojikanyaga mwenyewe?Umeshaishiwa hoja, yaani ni hivi kitu kibaya siku zote ni sawa na uongo, ukiwekwa hadharani ni aibu na fundisho.
 
What a joke! Yaani pombe ni nzuri halafu tena ni mbaya pia? Hahaha umeona jinsi ulivyojikanyaga mwenyewe?Umeshaishiwa hoja, yaani ni hivi kitu kibaya siku zote ni sawa na uongo, ukiwekwa hadharani ni aibu na fundisho.
😂😂
 
Kama pombe ni nzuri kwanini haipo katika nutritional guide jibu haraka hapa.
Alcohol is not food!!
You don't need it!
You can live without it!

Especially if you misbehave when you drink it then you should definitely live without it.

I just googled it, wamei classify kama dawa!

So you see, you can have your strong ginger tea daily as dawa and I can have just one glass of wine for the same.

 
Hiyo 'Paragraph' ya mwisho hapo ulipoandika tu neno 'mpendwa' nikajua chuki yako kwa walevi iko namna gani! Shikilia tu unachoamini, haya maisha mengine waachie wengine. Figo ni zao, utimamu wa hovyo ni wao, pia pesa ni zao!
"Figo ni zao,utimamu wa hovyo ni wao, pia pesa nia zao".mwisho wa kunukuu,sasa ni hivi, ukweli lazima usemwe na kitu kibaya lazima kipingwe na kiwekwe hadharani na iwe fundisho full stop.
 
Achana hizo perepeche zako ulizoandika hapo.The simple answer is if its not included in the nutritional guide then that means its harmful for your health full stop.
 
Achana hizo perepeche zako ulizoandika hapo.The simple answer is if its not included in the nutritional guide then that means its harmful for your health full stop.
That's a "false dilemma" over there. If it's not listed in foods then it's Poison!

Nishakwambia imekuwa listed kama dawa (a depressant), Hii mitishamba tunayokula ni harmful kisa haijaandikwa kwenye nutrition guide?

Sikia you ex alcoholic, pole kwa kuteswa na pombe na hongera kwa kuacha na usirudie kunywa, usituletee mabalaa

 
Huyu mjinga hatuache sisi tunywe beer hapa nimepata arosto tayari
 
Oh kumbe pombe umetumia kwa miaka mitatu tu na ukafanikiwa kuacha? Sisi tunaongelea ambao tumekuwa kwenye matumizi hayo zaidi ya miaka 20 sasa. Sikatai kila kitu starts with NIA
Asante
 
Kwahiyo hapo ndipo akili yako ilipofikiria na kufikia mwisho?
Enjoy maisha jinsi uwezavyo mkuu, utakwepa pombe utakufa na mambo mengine. Risk is everywhere and we all do take risk everyday, knowingly or unknowingly! Cheers🍻🥂
 
Acha kupotosha watu dopemine sio athari za ubongo hiyo ni moja ya kazi ya ubongo ya kawaida tu pale unapofanya kitu chochote cha kukufurahisha hiyo chemical inakua released kwenye ubongo wako ili ujiskie vizuri mfano sex au kula kitu chochote ambacho wewe unakipenda , na ndio inaleta kitu kinaitwa addiction pale unapozidisha matumizi ya kitu

Na kunywa pombe ni entertainment, mtu anaweza chagua kitu chochote cha kufanya ili ajipe entertainment

Madhara yapo kwenye kila kitu as long as ume tumia kupita kiasi hivyo cha msingi ni kutumia vitu kwa level sawa hata kama sio pombe
 

Labda nikuulize swali hapa..!!

Nini kilianza??
1. Kuvuta bangi kwa miaka 6 bila kutumia pombe kabisa halafu baadae ndo ukaanza pombe kwa miaka mi3? Au

2. Kuvuta bangi na pombe kwa pamoja, halafu baadae ukaacha bangi na kuendelea kunywa pombe kwa miaka mitatu..??

Maana ya maswali yangu ni kwamba; kama ulifanya vyote viwili kwa pamoja, na wala hujatuambia kiwango cha pombe ulichokuwa unakunywa na kiwango cha bangi ulichokuwa unavuta, basi UNA HAKI KABISA YA KUSEMA HAYA UNAYOSEMA…!!!

Na pia ikumbukwe kwamba KUTOKUNYWA POMBE SIO KIPIMO CHA KUWA MWEREVU kwa sababu wapo wasiokunywa na bado akili zao ni mbovu tu.

Ahsante…!!
 
walevi hovyo sana wanajazana ujinga bar mimi hupenda kwenda bar kupata mchemsho au juice huku nacheki mpira ukiwasikiliza mipango yao ya pesa wakiwa wamelewa na asubui wanavyo kwepana utacheka sana
Naenda kupataga mchemsho wa samaki pale small planet 16k walevi wanakaaga mbali na meza yangu
 
Weweee usitutishe bwana! Mbona wengine tunachangia tumekunywa na huwezi ona tofauti kati ya aliyetoka Kanisani au Msikitini na sisi tulio baa Sasa hivi?
 
Uhuru wa kuishi ni mapamoja na kuchagua aina ya maisha, Wanywapombe hawana SHIDA. SHIDA INALETWA NA WALEVI. Tu upige vita ulevi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…