Changamoto ya ulevi: Jinsi inavyoumiza familia na jamii

Changamoto ya ulevi: Jinsi inavyoumiza familia na jamii

Tatizo unaleta facts za dini as if ww ni mdogo wa mungu sikia nikwambie kitu kimoja haya maisha we come and Go hakuna atakae ishi milele Alaf unaweza ukanywa pombe na usife pia unaweza usinywe na ukafa Hayo mambo sijui ya kiroho sijui nin sio kwamba siyajui nayajua vizur sana na nimelelewa kwenye dini pia
Umebwatuka tu hapa,listen nakuuliza kama point ya msingi pombe ni kitu kizuri au la?
 
Nani kasema kutumia alcohol ndiyo kigezo cha kuwa tajiri? Jiangalie..!! KWENYE POST YANGU MIMI SIJASEMA KAMA MATUMIZI YA ALCOHOL NDIYO KIGEZO CHA KUWA TAJIRI.

By the way, kama unawasema wanaotumia alcohol, HAKIKISHA UNAWAZIDI KILA KITU. Kama kuna ambacho huwazidi, basi pambana kwanza UKIPATE kabla ya kuwasema..!!
Duuh! What a joke, wewe si uliniquote ukisema nyumba za watuamiaji wengi ni mansion na kua watumiaji ni matajiri au sio wewe?
 
Duuh! What a joke, wewe si uliniquote ukisema nyumba za watuamiaji wengi ni mansion na kua watumiaji ni matajiri au sio wewe?
Acha UWONGO WEWE MUONGO WA MWAKA 2023. WEKA HIYO POST NILIYOTAJA MANSION..!! PIA WEKA NILIPOTAJA MATAJIRI..!! MUONGO MKUBWA WEWE..!!!

By the way, ukimzidi mtu kitu wewe ni tajiri.!!???
 
Nimeisoma na hiyo part ya kua ukikua mlevi pia nimeisoma.

Na sio kwamba siwaoni walioathirika na ulevi . Nawaona sana tu na wengi wao zinawadhuru kwa kuendekeza ulevi hadi kua waraibu.

Mtu kila siku analewa, au kila weekend lazima achoshe mwili kwa pombe. Huyu lazima mbeleni itamletea shida tu, nadhani hata wewe ulikua hivi.
What? Yaani unasema kua mtu hadhuriki kwa kunywa mara moja kwa wiki au mwezi?Ni hivi listen careful, pombe ni hatari na nisumu kwa figo na ini siku zote na mtumiaji awe wa mara moja au mbili kwa wiki au mwezi lazima anajidhuru mwenyewe.Pombe ni sumu huo ndio ukweli ndio mana haipo katika nutritional guide,elewa hivyo.
 
Habari wapendwa,

Leo napenda tuzungumzie hili suala la ulevi na athari zake na jinsi linavyoumiza familia na jamii kwa ujumla.
Wapendwa ulevi ni tabia mbaya ambayo mtu hujijengea taratibu akizani ya kua yupo sawa kumbe anajimaliza siku hadi siku.

Kwa mfano ulevi wa pombe tuache bangi na sigara hivi pia nitavizungumzia mwishoni,sio siri madhara ni makubwa watu hujidangaya kunywa kwa kujilinda na kujipa matumaini kua mfano bia mbili tatu hazitanidhuru lakini ukweli ni kua unapokua katika utumwa huo jua fika unaharibu mwili wako mpendwa, akili zako utajidanganya kua zitakuwa salama zaidi unavyotumia pombe lakini ukweli wa kisayansi ni kua unapelekea kemikali aina ya dopamain kuzalishwa kwa wingi katika ubongo na kupelekea ubongo kuratibu matendo ya mwili vibaya, yaani kupungukiwa utimamu, huu ndio ukweli na uache ukuingie vizuri na uelewe na kubadilika wewe kama mtumiaji

Achilia mbali hizo athari za ubongo lakini ukweli ambao unauma na wengi hujipa matumaini na hawataki kuusikia ni kwamba mwili hau hitaji kemikali ya alcohol na sivyo Mungu alivyokuumba.

Binafsi nilishawahi kua mtu miaji wa vilevi laini kama bia hadi gin na whisky.Ukweli ni kuwa wakati nimeshatumia mwili ulikua ukipata shida hasa mfumo wa upumuaji, ile hali kuhisi hewa kubanwa puani na kuvuta hewa kwa shida.

Athari nyinginezo ni pamoja na kua mjinga mfano kupoteza concentration na mambo yako binafsi huku ukijali na kupigania muda wa unywaji zaidi.

Athari ni nyingine ni kuponea chupuchupu kupata ajali.Mifano niliyoishihudia kwa macho yangu mawili ni vifo kwa upande wa ndugu,mtu aliyekua akisifika kwa kugida chupa za bapa na pombe laini alifariki dunia mwaka jana mwishoni kwa maradhi mabaya ya ini.

Inasikitisha sana wapendwa kuona jinsi jamii inavyoumia na kupoteza nguvu kazi ya taifa katika ulevi, sasa hivi ulevi umekua ni kitu cha kujivuna na kuongeza status yaani kama wewe sio mlevi basi utaonekana mjinga na mpumbavu katikati ya watu na marafiki.

Mimi binafsi nilikua mlevi wa bangi na sigara kwa miaka sita sasa na pombe karibia miaka mitatu,ukweli ni kua hakuna faida niliyopata au cv niliyojenga kutokana matumizi ya vilevi hivyo zaidi yake ni hasara,kupoteza heshima na uhusiano wangu na familia na jamii kwa ujumla.

Nakusihi mpendwa kama wewe sio mtumiaji mwombe sana Mungu kwa kunia usiingie katika mtego huu ni hatari mno mno na tena mno kwa maisha yako mazuri hadi uzeeni, na kwa wale watumiaji jitahidi uache mara moja maana inawezekana mtu asikudanye kua eti punguza kidogo kidogo huo ni uongo na ni ngumu kuacha kwa namna hiyo,mimi binafsi ni shahidi na niliacha vyote mara moja kirahisi tu.

View attachment 2591129

Nakaribisha maswali.
Wewe upo kwenye majuto ya ukiyopitia, pole sana.

Utarecover tu, waache watu waishi maisha yao na ww umechagua yako, unaumia kwa lipi tena?
 
What? Yaani unasema kua mtu hadhuriki kwa kunywa mara moja kwa wiki au mwezi?Ni hivi listen careful, pombe ni hatari na nisumu kwa figo na ini siku zote na mtumiaji awe wa mara moja au mbili kwa wiki au mwezi lazima anajidhuru mwenyewe.Pombe ni sumu huo ndio ukweli ndio mana haipo katika nutritional guide,elewa hivyo.
Mzee hata chai ni sumu, soda pia inaharibu hizo parts.
Kunywa maji mengi, matunda nk.

Halafu inategemea unakunywa pombe gani, sio kila pombe ukinywa kiasi unaharibu ini na figo.

Kula vizuri, kunywa maji, kula pombe.

Hata nyama ukila sana ina madhara, usicomplicate maisha kiasi hicho.

Babu yangu kanywa pombe toka udogoni mpaka uzeeni kavuta akiwa na 72 yrs, na yeye alikua anapenda kujaribu kila pombe mpya inayotoka.
 
NENO LA MUNGU LINASEMA WAZI MUNYWE MUFURAHI NA WAKE ZENU,

Nyie mnakunywa na malaya halafu mnapata mabalaa mnasingizia pombe.

😂
Unaleta maneno rahisi hapa ili kujipa moyo na ulevi?
Sikia neno la Mungu linavyosema kutoka katika kitabu cha nabii Isaya 5:11-12,Ole wao waamkao asubuhi na mapema,wapate kufuata kileo; wakishinda sana hata usiku wa manane mpaka mvinyo imewaka kama moto ndani yao! Na kinubi, na zeze, na matari, na filimbi, na mvinyo, zote ziko katika karamu zao; lakini hawaiangalii kazi ya BWANA wala kuyafikiri matendo ya mikono yake.
 
Mzee hata chai ni sumu, soda pia inaharibu hizo parts.
Kunywa maji mengi, matunda nk.

Halafu inategemea unakunywa pombe gani, sio kila pombe ukinywa kiasi unaharibu ini na figo.

Kula vizuri, kunywa maji, kula pombe.

Hata nyama ukila sana ina madhara, usicomplicate maisha kiasi hicho.

Babu yangu kanywa pombe toka udogoni mpaka uzeeni kavuta akiwa na 72 yrs, na yeye alikua anapenda kujaribu kila pombe mpya inayotoka.
Bibi yangu ana miaka 100 plus na alianza pombe toka msichana hadi leo anakunywa, sema saivi anakunywa moja tu tena safari ndio analala
 
Wewe upo kwenye majuto ya ukiyopitia, pole sana.

Utarecover tu, waache watu waishi maisha yao na ww umechagua yako, unaumia kwa lipi tena?
Mpumbavu habadiliki kamwe hata akipewa funzo,ila mjinga hukubali na kubadilika pale anapopewa funzo.
Sasa wewe ndugu chagua mawili kati ya hayo.
 
Mzee hata chai ni sumu, soda pia inaharibu hizo parts.
Kunywa maji mengi, matunda nk.

Halafu inategemea unakunywa pombe gani, sio kila pombe ukinywa kiasi unaharibu ini na figo.

Kula vizuri, kunywa maji, kula pombe.

Hata nyama ukila sana ina madhara, usicomplicate maisha kiasi hicho.

Babu yangu kanywa pombe toka udogoni mpaka uzeeni kavuta akiwa na 72 yrs, na yeye alikua anapenda kujaribu kila pombe mpya inayotoka.
Sikia wewe kichwa kizito usiyetaka kuukubali ukweli na kusingizia vitu visivyo husika kabisa.Kama umachagua pombe hilo ni jeneza lako na litakulipa kile unachostahili,kumbuka tu, mchuma janga kulia hulia na nduguze, kwani ni uongo?shuhuda ngapi tumeona vifo vya aibu vya ulevi, kisukari,presha pamoja na kufeli kwa ini na figo vikisindikiza hivyo vifo.Sasa wewe endelea tu,kunywa sana pombe za kila aina, kunywa tu ukifikiri tutadhurika na wewe,utalia wewe na familia yako.
 
Sijui ww ni Wakili wa nini? Kama ww zimekuletea madhara ni ww si ww ulikua Teja hacha tunywe pombe maisha ni mashort
Taahira mkubwa wewe,pombe ni nzuri eeh? Sasa sikia nitarudi sana huu msemo, mchuma janga kulia hulia na nduguze.Fakamia kabisa hizo pombe za kila aina mavuno yake utayala mwenyewe.
 
Bibi yangu ana miaka 100 plus na alianza pombe toka msichana hadi leo anakunywa, sema saivi anakunywa moja tu tena safari ndio analala
HUuyo babu yangu ilikua ukimletea story kama hizi za mleta uzi anaweza kukata kofi.
Na yeye kila siku ilikua lazima anywe bia 3(enzi za uzee wake).
 
Sikia wewe kichwa kizito usiyetaka kuukubali ukweli na kusingizia vitu visivyo husika kabisa.Kama umachagua pombe hilo ni jeneza lako na litakulipa kile unachostahili,kumbuka tu, mchuma janga kulia hulia na nduguze, kwani ni uongo?shuhuda ngapi tumeona vifo vya aibu vya ulevi, kisukari,presha pamoja na kufeli kwa ini na figo vikisindikiza hivyo vifo.Sasa wewe endelea tu,kunywa sana pombe za kila aina, kunywa tu ukifikiri tutadhurika na wewe,utalia wewe na familia yako.
Punguza jazba, pombe haikupendi mkuu achana nayo wewe na ukoo wako.

Alokwambia wenye matatizo ya figo na ini ni walevi pekee ni nani??

Nshakwambia hata ukinywa chai, soda, vijuice vya kiwandani, bites na makitu mengi ya madukani humo unajiharbu pia.
Acha kuikandia pombe kisa tamaa zako za pombe za bure.
 
Taahira mkubwa wewe,pombe ni nzuri eeh? Sasa sikia nitarudi sana huu msemo, mchuma janga kulia hulia na nduguze.Fakamia kabisa hizo pombe za kila aina mavuno yake utayala mwenyewe.
Taahira Bibi yako kama ulikua unaona sio nzuri uliwezaje kunywa Miaka 3 mfulilizo?
Usitutishe we Mungu?
 
Mwaka wa 20 huu nakunywa pombe,zamani ilikua ni kila siku lazima nile chombo ...kwa sasa nimepunguza nakunywa wkend tu kwa sababu kazi zinanibana.
Maini na Figo viko safi kama mtoto mdogo ..

Hao ndugu zako wanaoumwa kansa ya koo na maini wambie waache kunywa taputapu
 
walevi hovyo sana wanajazana ujinga bar mimi hupenda kwenda bar kupata mchemsho au juice huku nacheki mpira ukiwasikiliza mipango yao ya pesa wakiwa wamelewa na asubui wanavyo kwepana utacheka sana
Haha haha hah we kama wewee hiii
 
Back
Top Bottom