Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Akati nipo university hapa hapa DSM Kuna rafk angu mmoja now yupo serikalini.......Daktari aliyesoma anatumia pombe na anafanya kazi vizuri. Nikiwa sekondari kuna mwanafunzi mmoja ili ashushe formula zake anapata pombe kidogo na mambo yanaenda.
Yeye alikua Ili aingie kwenye mtiani lazima apige glass Moja au mbili za GONGO....
Kama hujui GONGO inauzwa sana hapa DSM na police 🚓 huenda kupitia magawiwo na Wengine hutumia....
Kuna siku Ali ingia bila kunywa akatoka analalamika pepa tena la uwanja wa NYUMBANI limemsumbuaa....
Alipenda kutuambia aki ingia kwenye mtiani akiwa amekunywa pombe kwake mtiani ni kitu kidogo............................
Anasema alikua anayashuka material balaaa.....