Changamoto ya ulevi: Jinsi inavyoumiza familia na jamii

Changamoto ya ulevi: Jinsi inavyoumiza familia na jamii

Tatizo halikua hivyo vinywaji , tatizo lilikua ni wewe binafsi. Umepata laki moja yote unaitumia kwenye gambe hapo tatizo ni mtu binafsi siyo pombe .
Lahasha, mimi nilikua nanunua kwa bajeti yangu nzuri tu sio kwa pupa, nilicho kuja kugundua niku nilivyokua mwanzo sivyo nilivyokua baada ya vilevi vyote hivyo bangi kwa miaka 6, beer,whisky na gin kwa miaka 3, ukweli ndio huo nilijiona kua nipo gizani na kifungoni pia nikatoka huko kirahisi tu ndugu.
 
Pombe nazikata vizuri tu na haziathiri chochote kwenye harakati zangu Baba mnywaj mama mnywaji katulea vizuri tu
Kwahiyo ni kitu cha kusifiwa kabisa sio? Kwanini katika vitabu vya dini na vya kutulea kiroho tunaonywa kabisa kuhusu vilevi vyote na kua tutavuna mauti(kifo)? Huoni kua Mungu muumba aliyekuumba kwa upendo hapendi uangamie na akatuonya kabisa?Hilo wewe hulioni sio?
 
Kwahiyo ni kitu cha kusifiwa kabisa sio? Kwanini katika vitabu vya dini na vya kutulea kiroho tunaonywa kabisa kuhusu vilevi vyote na kua tutavuna mauti(kifo)? Huoni kua Mungu muumba aliyekuumba kwa upendo hapendi uangamie na akatuonya kabisa?Hilo wewe hulioni sio?
Tatizo unaleta facts za dini as if ww ni mdogo wa mungu sikia nikwambie kitu kimoja haya maisha we come and Go hakuna atakae ishi milele Alaf unaweza ukanywa pombe na usife pia unaweza usinywe na ukafa Hayo mambo sijui ya kiroho sijui nin sio kwamba siyajui nayajua vizur sana na nimelelewa kwenye dini pia
 
Ujerumani na urus wanakunywa sna ,muugiza wa kwanza wa yesu pombe ilihusika,pombe ni kinywaji cha kale zaid ,ila ulevi ni mbaya ata ulaji ulipitiliza ni ulevi ,kila kitu ukikifanya bila kiasi ni ulevi .
 
Hiyo kansa ya koo aliyoipata huioni? wewe unaangalia miaka sabini, huo ni ukipofu na ujinga toka gizani ndugu
Me natokea kwenye koo za wanywaji sijaona shida zaidi ya mtu umechoka unataka kurudi home wao bado wanaagiza ya mwisho mara ya nne 😂. Babu na bibi zangu wanakufa na 80+ bado wanakunywa!

Ambao hawapatani na pombe ni bora waziache. You know it when hupatani nayo, you mess up when you drink.

Hiyo cancer ni kwa sababu ya pombe?
 
Kwahiyo ni kitu cha kusifiwa kabisa sio? Kwanini katika vitabu vya dini na vya kutulea kiroho tunaonywa kabisa kuhusu vilevi vyote na kua tutavuna mauti(kifo)? Huoni kua Mungu muumba aliyekuumba kwa upendo hapendi uangamie na akatuonya kabisa?Hilo wewe hulioni sio?
Mhubiri 9:7-10

Nenda ukale chakula chako kwa furaha, ukanywe na divai yako kwa moyo mchangamfu, maana Mungu amekwisha ikubali kazi yako.

Vaa vizuri, jipake mafuta kichwani. Furahia maisha pamoja na mke wako umpendaye muda wote wa maisha yako ya bure ambayo Mungu amekujalia hapa duniani;

maana hilo ndilo ulilopangiwa maishani, katika kazi zako hapa duniani. Kila unachotaka kufanya kifanye kwa nguvu zako zote, maana, hakuna kazi, wala wazo, wala maarifa, wala hekima huko kuzimu unakokwenda
 
Sasa ndio umeongea nini wewe? Kwahiyo kutumia alcohol ndio kigezo cha kua tajiri,huo ulioandika ni upuuzi jitathimini tena ndio unijibu.
Nani kasema kutumia alcohol ndiyo kigezo cha kuwa tajiri? Jiangalie..!! KWENYE POST YANGU MIMI SIJASEMA KAMA MATUMIZI YA ALCOHOL NDIYO KIGEZO CHA KUWA TAJIRI.

By the way, kama unawasema wanaotumia alcohol, HAKIKISHA UNAWAZIDI KILA KITU. Kama kuna ambacho huwazidi, basi pambana kwanza UKIPATE kabla ya kuwasema..!!
NYOKOLO WEWE..!!
 
Ungekua umesoma thread yangu vizuri ungenielewa, nimesema wazi kabisa mimi nilikua mtumiaji wa bangi kwa miaka 6,pombe kama beer,gin na wisky kwa miaka 3 na vyote nimeviacha kirahisi tu baada ya kuona kua napoteza muda wangu,pesa,utulivu na amani yangu.
Nimeisoma na hiyo part ya kua ukikua mlevi pia nimeisoma.

Na sio kwamba siwaoni walioathirika na ulevi . Nawaona sana tu na wengi wao zinawadhuru kwa kuendekeza ulevi hadi kua waraibu.

Mtu kila siku analewa, au kila weekend lazima achoshe mwili kwa pombe. Huyu lazima mbeleni itamletea shida tu, nadhani hata wewe ulikua hivi.
 
Back
Top Bottom