Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Choma Nishati ili upate Nishati Au Kupeleka hayo maji huko hakuhitaji Nishati ? Let alone kelele za kidiplomasia ambazo hazina ulazima... by the way kuna cheaper shortcuts na Mvua za Bongo hi Bwawa eventually litajaa tu....
Ila for long term ultimatum solution itakayo-guarantee sio umeme tu unapatikana bali umeme wa bei nafuu ni hapo chini:-
www.jamiiforums.com
Ila for long term ultimatum solution itakayo-guarantee sio umeme tu unapatikana bali umeme wa bei nafuu ni hapo chini:-
Jinsi ya kuifanya Kampuni ya Tanesco kuwa Kampuni Bora na ya Kujivunia Tanzania na Afrika kwa Ujumla
Tanzania tumebarikiwa vyanzo vingi vya nishati, Na Tanesco ni kati ya Makampuni mama ya Tanzania ambayo yanaweza yakaitangaza nchi yetu Africa na Pote Duniani (Yaani mfano wa kuigwa) Sio tu kutupatia nishati hapa bali tuweze kuwapa hata majirani zetu na kutuingizia fedha badala ya sasa kutumia...