Changamoto ya umeme nchini ilianza na Awamu ya Tatu, sasa ni mbaya zaidi. Kwanini maji ya Ziwa Victoria yasipelekwe hadi Mtera na JNHPP kupata suluhu?

Changamoto ya umeme nchini ilianza na Awamu ya Tatu, sasa ni mbaya zaidi. Kwanini maji ya Ziwa Victoria yasipelekwe hadi Mtera na JNHPP kupata suluhu?

Choma Nishati ili upate Nishati Au Kupeleka hayo maji huko hakuhitaji Nishati ? Let alone kelele za kidiplomasia ambazo hazina ulazima... by the way kuna cheaper shortcuts na Mvua za Bongo hi Bwawa eventually litajaa tu....

Ila for long term ultimatum solution itakayo-guarantee sio umeme tu unapatikana bali umeme wa bei nafuu ni hapo chini:-

 
Miundombinu ya gesi ya mtwara ilikuwa tayari, kilichotakiw ni kuongeza tu uzalishaji - mwendazake naye akaja ya yake kwamba eti gesi yote ishauzwa kwamba tulipigwa vibaya sana - hivyo CCM wakamshauri aachane na huo mradi na hilo bomba lao kisha aanzishwa mradi wake wa Rufiji ili ajizolee misifa kwamba ametengeneza umeme wa uhakika kwa bei nafuu, sasa mradi wenyewe umedoda.

Tanzania hatujui tunachokitaka !!
Binafsi mimi mtumiaji nataka Data moja tu hio Gas Tanesco wangenunua Bei gani kwa Unit ili sisi waje watuuzie Bei gani ?

Binafsi sitaki umeme tu kama mapambo yaani upo ila bei haikamatiki (watu tuna maoven yamegeuka kuwa makabati) alafu eti tunasema tuna umeme....
 
Zaidi ya nusu(50%) ya umeme unaotumika Tanzania kwa sasa unazalishwa kutoka katika gesi kwa wingi na mafuta kwa uchache.
Uliza swali lingine.
Binafsi mimi mtumiaji nataka Data moja tu hio Gas Tanesco wangenunua Bei gani kwa Unit ili sisi waje watuuzie Bei gani ?

Binafsi sitaki umeme tu wa bali mapambo yaani upo ila bei haikamatiki (watu tuna maoven yamegeuka kuwa makabati) alafu eti tunasema tuna umeme....
 
Zaidi ya nusu(50%) ya umeme unaotumika Tanzania kwa sasa unazalishwa kutoka katika gesi kwa wingi na mafuta kwa uchache.
Uliza swali lingine.
Umeelewa hata Swali la Kwanza ? Ngoja nirudie....

Hio Gesi Tanesco wananunua Bei Gani ? Issue hapa mwisho wa siku ni bei ya mwisho kwa mtumiaji; Kumbuka Hydro ni kwamba Tanesco sio Dalali; Kununua hapa ili auze hapa.., na kama mpaka sasa zaidi ya nusu ni Gasi na Mafuta ambayo Tanesco wakinunua na kutuuzia hata hawa-break even ndio imepelekea Units kwa mtumiaji kuwa bei ya Juu....
 
Bei ya umeme ni juu kulinganisha na wapi?

Sasa hivi unit ya umeme inauzwa shillingi ngapi na nyie mlitaka muuziwe shillingi ngapi au mnafikiri mtauziwa shillingi siku umeme wote ukitokana na maji?
Umeelewa hata Swali la Kwanza ? Ngoja nirudie....

Hio Gesi Tanesco wananunua Bei Gani ? Issue hapa mwisho wa siku ni bei ya mwisho kwa mtumiaji; Kumbuka Hydro ni kwamba Tanesco sio Dalali; Kununua hapa ili auze hapa.., na kama mpaka sasa zaidi ya nusu ni Gasi na Mafuta ambayo Tanesco wakinunua na kutuuzia hata hawa-break even ndio imepelekea Units kwa mtumiaji kuwa bei ya Juu....
 
Harafu acha upotoshaji wa kipumbavu..

Awamu ya 3 ya Mkapa ulitaka kubinafsisha Tanesco so uamzi wa mwisho haukufikiwa ndani Baraza la Mawaziri baadae wakaja wakafuta huo mpango na kufanya modernisation ya management ya Tanesco ila kwa Miaka yote ile ya mchakato wa ubinafsishaji Hakuna uwekezaji mpya wa Serikali uliofanywa kwa sababu ya hiyo sintofahamu..

JK alirithi Nchi ikiwa Hakuna Tanesco yenye vyanzo vipya vya umeme na Uchumi unajua so tunrescue situation ndipo Sasa mitambo ya mafuta almaarufu majenereta ikakodiwa na kuketwa maana huwezi kaa bila umeme huku wakiendelea na uwekezaji wa umeme wa Gas..

So Hadi anaondoka Madarakani Umeme wa gas ndio ukawa na proportion kubwa kwenye energy mix ya 63%.

Mwendazake akaja akaishia kupuuza gas na kuanza mradi wa bwawa ambao haujulikani ungeisha lini,Miaka 5 ikapita bwawa liko 30%.

Amekuja Rais Samia akakutana na Hali Kama ya aliyoikuta JK, mvua zikapungua umeme wa maji ukapungua na gas ilipuuzwa , Sasa kaongeza Pesa Wizara ya Nishati ili kupata umeme wa gas wakati wanaendela na kukomaa na bwawa..

Naomba hapa muelewe awamu ya 4 haitaki.kuzima Moto inaenda na ufumbuzi wa kudumu,bwawa litakuwepo na gas na vyanzo vinginevyo vitaanzishwa ili kuanzia 2026 huko walau kazi ibaki ya mainatanance na sio generation.

Muwe munaficha ujinga, sio lazima ushushe thread ya kujiaibibisha na kuaibisha Taasisi za Elimu Nchini.

Bora hata ungejikita Chit chat.

Pole, lakini umeniudhi.

Nilpofika hopo pa Ethiopia wanatumia maji ya Ziwa Victoria kupitia mto Nile... Siku endelea tena kusoma hiyo post yako.

Yaani unaonyesha unauelewa mdogo sana. Labda rudi darasani tena kasome Geography vizuri uuelewe mto Nile.

How? Maji ya Ziwa Victoria yapelekwe Kidatu na Mtera! .Hivi somo la Geography lilifutwa?

Kwa nini msimjibu Kwa hoja
 
Umeelewa hata Swali la Kwanza ? Ngoja nirudie....

Hio Gesi Tanesco wananunua Bei Gani ? Issue hapa mwisho wa siku ni bei ya mwisho kwa mtumiaji; Kumbuka Hydro ni kwamba Tanesco sio Dalali; Kununua hapa ili auze hapa.., na kama mpaka sasa zaidi ya nusu ni Gasi na Mafuta ambayo Tanesco wakinunua na kutuuzia hata hawa-break even ndio imepelekea Units kwa mtumiaji kuwa bei ya Juu....
Shirikia gani la umma nchi hii linalo break-even na kutengeneza faida?
 
Bei ya umeme ni juu kulinganisha na wapi?
Duh Kaazi kweli kweli..., Unataka kulinganisha na wapi ili iweje ?, Unaweza kulinganisha bei ya Tende Jangwani na Antarctica kwa Eskimos ?

Unajua Umeme ni Huduma kama vile Maji au unadhani Nishati ikiwa bei ya Juu unamkomoa nani ? (Hii ndio to cut your nose to spite your face)

Bei ipo juu sana kama watu wanashindwa kutumia baadhi ya vifaa vyao sababu ya gharama kwa nchi ambayo ina vyanzo lukuki..., Tuna geographical advantage ya kuwa na nishati ya kumwaga kwanini tusitumie hio advantage ya umeme kuwa bei ya kutupa ili kuchochea sekta nyingine?
Sasa hivi unit ya umeme inauzwa shillingi ngapi na nyie mlitaka muuziwe shillingi
Bei ambayo watu wanaweza kutumia majiko yao ya umeme..., bei ambayo inakuwa cost efficient kuliko kutumia gesi au mkaa kwa watu kupika, bei ambayo viwandani itakuwa ya chini mtu kuwekeza Tanzania kuliko sehemu nyingine Africa.
ngapi au mnafikiri mtauziwa shillingi siku umeme wote ukitokana na maji?
Sasa kama leo Tanesco ananunua umeme kwa dalali huoni kwamba kutakuwa na nafuu kama dalali akiondoka ? Mbona hili lipo wazi ? Na nani kasema umeme wote utokane na maji ? , Tukipata hizo double capacity ya sasa kwa maji hao wengine madalali wa mafuta na gesi itabidi wauzie Tanesco kwa bei equivalent au chini ya maji (hawawezi wakafanye biashara nyingine au hio Gesi waifanye LNG wapeleke ambapo watapata top dollar
 
Shirikia gani la umma nchi hii linalo break-even na kutengeneza faida?
Angalia State owned Companies za China; Tanesco wanaweza wakafanyia Service watu wa ndani na kuuza surplus nje

Pia faida sio monetary pekee wewe unadhani Utility company ya Maji ikihakikisha wananchi wanapata maji safi na salama na hence kuwa na afya ya kufanya kazi na kutokutumia gharama za Kutibiwa hio ni faida au hasara ?
 
Na kwa kuwa nchi yetu imejariwa mito mingi na kuzungukwa na maziwa makubwa makubwa mengi: kwa nini maji ya ziwa kama lile la Victoria yasipekwe kwa mabomba huko kwenye bwawa la Mtera na lile la Nyerere ili wakati wa ukame kwenye mabwawa hayo, yakafunguliwa kuyajaza?
🤣
 
Uganda wanajenga chanzo kipya cha umeme mto nile (mto kagera) kwenye mpaka wa uganda na tanzania kwa upande wa mrongo sijui sisi tunakwama wapi aisee wakati ni rasilimali ambayo iko upande wetu pia
 
Wewe unapiga porojo tu, huna data zozote za kuthibitisha malalamiko au matamanio yako.
Kwa namna hii mtaonekana wapiga kelele na mtapuuzwa tu.
Duh Kaazi kweli kweli..., Unataka kulinganisha na wapi ili iweje ?, Unaweza kulinganisha bei ya Tende Jangwani na Antarctica kwa Eskimos ?

Unajua Umeme ni Huduma kama vile Maji au unadhani Nishati ikiwa bei ya Juu unamkomoa nani ? (Hii ndio to cut your nose to spite your face)

Bei ipo juu sana kama watu wanashindwa kutumia baadhi ya vifaa vyao sababu ya gharama kwa nchi ambayo ina vyanzo lukuki..., Tuna geographical advantage ya kuwa na nishati ya kumwaga kwanini tusitumie hio advantage ya umeme kuwa bei ya kutupa ili kuchochea sekta nyingine?

Bei ambayo watu wanaweza kutumia majiko yao ya umeme..., bei ambayo inakuwa cost efficient kuliko kutumia gesi au mkaa kwa watu kupika, bei ambayo viwandani itakuwa ya chini mtu kuwekeza Tanzania kuliko sehemu nyingine Africa.

Sasa kama leo Tanesco ananunua umeme kwa dalali huoni kwamba kutakuwa na nafuu kama dalali akiondoka ? Mbona hili lipo wazi ? Na nani kabisa umeme wote utokane na maji ? , Tukipata hizo double capacity ya sasa kwa maji au wengine madalali wa mafuta na gesi itabidi wauzie Tanesco kwa bei equivalent au chini ya maji (hawawezi wakafanye biashara nyingine au hio Gesi waifanye LNG wapeleke ambapo watapata top dollar
 
Awamu ya baba wa taifa na ile ya mzee ruhusa hakukuwa na changamoto la katika katika kwa umeme maeneo ambayo huduma hii ilikuwa imeyafikia. Ni kweli kwamba maeneo hayo yalikuwa hasa kwenye miji mikubwa ya nchi. Shughuli za kiuchumi wa viwanda hazikuwa nyingi kama ilivyo sasa ambapo tumesambaza huduma hii ya umeme hadi kwenye karibu kila kijiji.

Jinsi uchumi wa viwanda ulivyozidi kukua na idadi ya watu kuongezeka, ndivyo changamoto ya umeme ilivyojitokeza na kukua kila kukicha. Zilianza hasa katika kipindi cha awamu ya tatu ya Mzee Mkapa ambaye suluhisho lake lilikuwa ni kuwapa kampuni ya makaburu wa South Africa kutuendeshea Tanesco yetu. Matokeo yake hatutayasahau. Tulipigwa tukapigika.

Ikaja awamu ya nne ya Mzee Kikwete. Wao wakaona suluhisho lake ni kukodi majenereta ya kuzalisha umeme wa dharura kutoka makampuni ya nje ya nchi kama yale ya Richmond, Dowans, Symbion na IPTL. Tukapigwa na kupigika hadi Waziri mkuu akatimuliwa na bunge la Mzee Sitta.

Ikaja awamu ya tano ya Mzee Magufuli. Nayo ikahangaika kwa kubana mafisadi na kuanzisha mahakama ya mafisadi kama suluhisho la changamoto hili la umeme. Kwa kiasi fulani kukawa na ahueni ya kuonesha kuwa ile ndoto ya Tanzania ya viwanda ifikapo 2025 labda ingaliweza kutimia.

Sasa imekuja awamu ya sita ya Mama yetu Mzee Salmia inayopenda kushirikisha wananchi wote kupata suluhisho la changamoto mbali mbali ya wananchi kidemokrasia. Kwa kuwa umeme wa bei rahisi kuliko wote ni ule unaotokana na maji. Na kwa kuwa nchi yetu imejariwa mito mingi na kuzungukwa na maziwa makubwa makubwa mengi: kwa nini maji ya ziwa kama lile la Victoria yasipekwe kwa mabomba huko kwenye bwawa la Mtera na lile la Nyerere ili wakati wa ukame kwenye mabwawa hayo, yakafunguliwa kuyajaza? Ethiopia wanatumia maji ya ziwa Victoria kupitia mto Nile kuzalisha maelfu ya maelfu ya MW za umeme hadi kuwauzia Wakenya.

Kwanini sisi tusitumie Ziwa hili ambalo liko kwetu? Kwani ni shilingi ngapi kupeleka maji ya ziwa letu huko? Kama hatuna hizo hela, tutafute pa kukopa kwani manufaa ya mkopo huu ni mkubwa sana. Hili litakuwa ni suluhisho la once and for all ya changamoto hili la umeme.

Tutaweza hata kuuza umeme nje ya nchi na kuachana na kuuza mahindi na mchele nje ya nchi wakati tukiwa tuna njaa. Tutaweza kupunguza sana bei ya umeme ili wananchi wote waweze kuitumia kama nishati rahisi ya kupikia na hivyo kuachana na ukataji wa miti wakitafuta kuni na mkaa. Mwananchi ataweza kutumia shilingi zisizozidi elfu tano tu kwa mwezi kwa nishati ya kupikia ya umeme.

Tanesco nao wataweza kukusanya matrilioni ya pesa kwani kila mwananchi atakuwa mteja wao. Viwanda vingi vitajengwa na kuzalisha bidhaa nyingi kwa bei nafuu. Kwa muda mfupi nchi yetu itakuwa upper middle income country chini ya uangalizi wa mama!

NB: Umeme utokanao na gesi mara zote bei yake ni ya juu sana (unaffordable to many of our people) ukilinganishwa na ule unaotokanq na maji. Umeme wa gesi ni kwa wakati wa dharura tu au kwa kuuza nje.
Ukitumia maji ya ziwa Victoria kuyapeleka huko unakotaka ujiandaye kuingia kwenye mgogoro mkubwa sana na nchi za Sudan,Ethiopia na Misri,kwani wenzetu wanategemea maji ya hili ziwa kwa kiwango kikubwa sana kwa shughuli za kiuchumi...
 
Mnateseka na kutapatapa sana kwa sababu mlilishwa matangopori kuhusu vyanzo vya umeme, hilo bwawa na gesi ya Tanzania.
 
Sasa kama kwa shirika la umma faida sio monetary peke yake kwa nini mishipa inakotoka ukitaka TANESCO nayo i break-even??
Angalia State owned Companies za China; Tanesco wanaweza wakafanyia Service watu wa ndani na kuuza surplus nje

Pia faida sio monetary pekee wewe unadhani Utility company ya Maji ikihakikisha wananchi wanapata maji safi na salama na hence kuwa na afya ya kufanya kazi na kutokutumia gharama za Kutibiwa hio ni faida au hasara ?
 
Miundombinu ya gesi ya mtwara ilikuwa tayari, kilichotakiw ni kuongeza tu uzalishaji - mwendazake naye akaja ya yake kwamba eti gesi yote ishauzwa kwamba tulipigwa vibaya sana - hivyo CCM wakamshauri aachane na huo mradi na hilo bomba lao kisha aanzishwa mradi wake wa Rufiji ili ajizolee misifa kwamba ametengeneza umeme wa uhakika kwa bei nafuu, sasa mradi wenyewe umedoda.

Tanzania hatujui tunachokitaka !!
Yule Jamaa alikuwa ni muongo na mpenda mijisifa ya kijinga.
 
Wewe unapiga porojo tu, huna data zozote za kuthibitisha malalamiko au matamanio yako.
Kwa namna hii mtaonekana wapiga kelele na mtapuuzwa tu.
Data kuhusu nini ? Kwamba Tanesco sasa hivi hanunui Units ili atuuzie sisi ?, Kwamba kama ataacha kununua gharama haitapungua ?

By the way malalamiko yangu na matamanio yangu ni yapi ? Na unahitaji Data za aina gani ili kufahamu kwamba kitu ni affordable au sio affordable , Kwanini tunapenda complications wakati KISS it inatosha....
 
Back
Top Bottom